Russia imefanya jaribio la kombora la nuclear, ambalo Rais wa Nchi hiyo, Vladmir Putin amesema kwamba litawafanya maadui wao kuacha kuwafikiria.
Jaribio hilo limefanyika miezi miwili tangu Russia ilipoivamia Ukraine.
Putin alionekana kwenye televisheni akiambiwa na wakuu wa jeshi kwamba...