Kuepuka gharama, rushwa na mlolongo mrefu wa majukumu.
Napendekeza hivi:
Diwani awe na elimu ya chuo,
Mbunge atokane na madiwani,
Mkiti/Meya wa jiji/halmashauri/Mji/Manispaa
Wawe mbadala wa mbunge anapofariki au tatizo lakiafya.
M/Kiti Msaidizi:
Meya msaidizi apande na madiwani wamchague...