jini

Jini (), also called Apache River, is a network architecture for the construction of distributed systems in the form of modular co-operating services. JavaSpaces is a part of the Jini.
Originally developed by Sun, Jini was released under the Apache License 2.0. Responsibility for Jini has been transferred to Apache under the project name "River".

View More On Wikipedia.org
  1. GENTAMYCINE

    Jean JINI Baleke karejea Dar es Salaam na Simba SC hivyo taabu iko pale pale

    Mwambieni Yule Meno Kuungua wenu, mla Mirungi na Mporwa Wake zake aliyeandika katika Instagram Page yake kuwa Baleke kaondoka rasmi Simba SC kuwa amerejea rasmi Tanzania na Simba SC hivyo asipende kuwa na Kiherehere. Imeisha hiyo.....!!
  2. The Eric

    Hivi kuna mtu alishawahi kuwa na uhusiano na kiumbe jini

    Salaam wote! Nimeaona sio vibaya nikawashirikisha hili wakuu daah, maisha ya duniani kama huyajui unaweza dhania unayajua kumbe kuna vingi vitu huvijui. hata ule chumvi nyingi lakini vipo bado vingi hutakuwa huvifahamu. Hawa viumbe tunawasikia wanaitwa majini wapo lakini mara nyingi...
  3. Mwachiluwi

    Hadithi ya Kweli: Jini wa Daraja la Selander

    JINI WA DARAJA LA SALENDA.......EP.1 Majira ya saa nane za usiku msichana Suzana alikuwa akitoka kujirusha katika ukumbi wa Bilicanas. Kilichomshtua kilikuwa kutoweka kwa mpenzi wake Sammy ambaye aliondoka bila kumuaga. Wazo lake la kwanza lilikuwa Sammy kaondoka na msichana mwingine akijua...
  4. DR HAYA LAND

    Jerry Silaa hauwezi kurudi bungeni. Asia Msangi popote ulipo jiandae kwenda Bungeni 2025

    Mkuu Jerry Slaa popote ulipo nakwaambia kuwa barabara za Kivule na Bomba mbili hadi kwa Mkoremba watu wamevunjika migongo. Barabara chafu, hazina lami, zina mashimo, hivi unakwama wapi yaani nyie CCM! Sasa popote ulipo Asia Msangi jiandae kwenda Bungeni.
  5. Balqior

    Draft la playok online: Nahisi mkulima ni jini

    Huyu jamaa hajulikani ni nani haswa, ana copy/kete zisizojulikana na finishing kali sana anafunga nazo watu, Ronaldo pale manyanya alisema mkulima anatumia dalmax ya kulipia ya tshs laki 3, hiyo software inauzwa wapi Google play?Mbona nlitafta sijaiona? Mwenye account ya mkulima nasikia anaitwa...
  6. Chizi Maarifa

    Mzee ameanzisha mahusiano na 'jini' na anacheza na chanzo cha kifo chake. Sidhani kama atamaliza mwaka

    unakuta alikuwa mdingi na heshima zake na nyie mnamwamkia na kumtambulisha kwa watu kuwa huyu ndo mdingizela, kumbe anavyozidi kukua akili zake zinarudi utotoni. imagine siku upo umechill sehemu unaona video ya mdingezela anacheza na 'jini' lake hivi? Si watu huwa wanasema pesa za wastaafu zina...
  7. Mamujay

    Njia nyepesi kumtambua jini

    Hakuna mbambamba let's go directly on point Kumtambua jini haraka hizi hapa 1.chek mikono 2.cheki mguu 3.cheki kiini Cha macho Sasa nataka like 100 nichambue kimoja baada ya kingine Kama Kuna mtu anazijua ruksa leta nondo hapo chini Mimi mpakq nipate like 100 ndio nitaleta
  8. Teslarati

    Alikuwa mtu au nilikutana na jini au ubongo wangu ndo ulikuwa una-hallucinate: Mwanamke mzuri kapendeza, na hanijui aliniomba 2000 ili akale

    Habarini mabibi na mabwana... Nimekaa na hiki kisa natafakari mara mia mia lkn sipati jibu, naishia kupata mixed feelings tu. Ilikua hivi, Jumamosi iliopota nilitoka zangu kwenda mazoezini mida ya saa kumi na mbili. Niko zangu nakimbia kwenye barabara ya rami, mida hio ilikua bado tupu kiasi...
  9. Poker

    INSYUKA ni movie bora sana kuwahi kuigizwa na wasanii wa Tanzania haina mpinzani

    Hi movie ilitakiwa ipewe heshima yake katika ulimwengu wa sanaa kwa namna bora ya uigizaji na namna ilivyoweza kuleta muamko mkubwa ndani na nje ya tasnia ya bongo movies. Nadhani hio ndio ilikuwa turning point ya bongo movies. Sidhani kama itakuja kuwa na mpinzani labda kwa baadae sana. Kudos...
  10. Bujibuji Simba Nyamaume

    Je, jini mahaba, wachawi na popobawa wanaweza kubikiri na kumpa mtu mimba?

    Tukiachana na tereza wa kule Kigoma ambao ni wanaume ambao walikuwa wakitembea uchi usiku huku mwili mzima wakiwa wamejimiminia mafuta ya mawese kisha kwenda kwenye majumba ya watu, kuvunja milango na kisha kuwaingilia wanawake kimwili, ambapo mwanamke akishtuka hutoka mbio na hawakamatiki...
  11. Pettymagambo

    Huyu Mayele ndio mnamwita straika jini?

    Eti mazee huyu anayekosa magoli ya wazi ambayo hata mimi na uzee wangu huu siwezi kukosa! Ndio huyuhuyu alieanzishiwa uzi na jamaa mmoja hapa jukwaani kwamba kwa miaka mi5 hakutatokea straika kama huyu! Ni yakweli hayo?
  12. Holly Star

    Ndoto: Je, nimefunga ndoa na jini?

    Habarini Aisee nimeota ndoto ya ajabu sana leo. Nimeota nafunga ndoa na mwanamke mzuri mweusi kabila mhaya and nimeonana hadi na wazazi wake usiku huo tena nikiwa nusu nafahamu. Hii ndoto nimeiota karibu usiku mzima coz nlikuwa nikistuka nikipitiwa tu usingizi inaanza tena. Nimefunga hii ndoa...
  13. J

    Leo nakuondolea dhahama ya jini mahaba buree

    Habarini za wakati huu ndugu zangu, moja kwa moja niende kwenye mada Kumekuwa na wimbi kubwa na mateso makali sana ya haya matakataka (majini mahaba) kutesa watu wa jinsia zote kwa muda mrefu bila msaada na kusababisha huzuni kubwa katika maisha ya wahanga hawa. Dalili zake ni nyingi sana na...
  14. Samatime Magari

    Mark 2 Grande Gx 110 aka Jini Mkata Kamba

    . Hii ni moja ya sedan za Toyota nzuri kuwahi kutokea, huyu na Crown ni kama wanashare Baba sema Mama tofauti, Hii ndo zile gari unasikiaga zinakopa speed yani zinafika 180 hafu mshale unaenda mbele zaidi, kaa vizuri ule madini.. . Mark II kama Mark II ina generation 9 ni gari flani old school...
  15. Balqior

    Hivi anaetumia id ya mkulima kwenye draft la playok ni nani haswa? Ni jini au?

    Nasikia huyo mkulima aliwafunga Ronaldo, sisqo na noel, Nimeshuhudia hata mabingwa wengine wa playok wenye point 1500+ anawafunga, halafu cha kushangaza zaidi nasikia hachezi copy.. Huyu mtu anachezea kijiwe kipi? Maana anaetumia id ya mkulima Kwenye playok nasikia sio mangwelele
  16. Kiokotee

    Uzi maalum: Jini mahaba

    Baada ya kuona hili janga limegusa watu wengi sana hata humu Jukwaani kuna mada nyingi za Shuhuda mbalimbali kuhusu hili lijamaa. Uzoefu unonesha hakuna aliyefanikiwa kupambana na hili Lijamaa yaani Binaadamu tumelishindwa Mimi kama muhanga mkubwa wa hili janga sina haja ya kutoa ushuhuda...
  17. da45king

    Nawezaje kuiokoa familia yangu na mateso ya jini huyu?

    Naitwa Ododi 35yrs Mkazi wa Kimara Korogwe. Nipo kwenye ndoa kwa muda wa miaka 6 nimebahatika kupata mtoto 1 ambae anafikisha mwaka mmoja tangu kuzaliwa na kuja kwenye hii dunia yetu ukiachana na wengine 7 ambao wapo kwenye ulimwengu mwingine. Najua unaweza usinielewe nikisema ulimwengu...
  18. F

    Jini la vita limejamba EU

    Jitahidi usome mwanzo mwisho. Mlipuko wa vita ya Russo-Ukrainian War umeiweka dunia njiapanda katikati ya chagizo linaloendelea la Uviko. Tayari dunia imegawanyika ambapo NATO chini ya US ina ushirika mkubwa dhidi ya Urusi ambayo hadi sasa inaonekana kuwa peke yake. US inaingia kwenye vita...
  19. The MaskmaN

    Nimeletewa mdada wa kazi "jini"

    Habari za humu JF KAZI IENDELEE! Kiukweli mie sio muandikaji mzuri au mtu wa kuelezea jambo kwa urefu sana tena ki ustadi ila acha tu niandike mtajua namna ya kunielewa. Nina miezi 6 toka mke wangu alete mdada wa kazi nyumbani baada ya kuona muda wetu wa kufanya au kutoa huduma kwa watoto...
  20. handsome boy wa jf

    Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

    Moja ya kitu ambacho sitaweza kukisahau katika maisha yangu ni siku niliyokutana na jini kwenye daladala nakumbuka ilikuwa ni mwaka 2019 wakati nipo Chanika nilikiwa natoka kariakoo narudi ghetto ilikuwa ni mida ya saa 1 usiku sasa nikiwa kwenye gari akaja mdada mmoja akapanda kwenye dala dala...
Back
Top Bottom