jini

Jini (), also called Apache River, is a network architecture for the construction of distributed systems in the form of modular co-operating services. JavaSpaces is a part of the Jini.
Originally developed by Sun, Jini was released under the Apache License 2.0. Responsibility for Jini has been transferred to Apache under the project name "River".

View More On Wikipedia.org
  1. Bujibuji Simba Nyamaume

    Umeshawahi kukutana na mtu aliyepandisha jini/ mwenye majini? Tupe uzoefu wako

    Nakumbuka miaka ya nyuma kulikiwa na mkuu wa mkoa mwanamke jijini Dar es Salaam. Huyu mama hakuwa mwingine ila Mary Chipungahelo au waweza mama Chips. Huyu mama alikuwa ni mbabe haswa, asiyeyumbishwa wala kuburuzwa wala kupelekeshwa. Ameshawahi kumzingua kichizi Jenerali Ulimwengu. Basi...
  2. exalioth

    Mganga wa kienyeji katembea na mke wa rafiki yangu akimdanganya ni jini

    Inaskitisha na inahuzunisha, Wakuu mko poa? Naenda kwenye maada,: hapa jirani imezuka kelele ya kufa mtu ambapo naishi kuna mke wa rafikiangu ambae ni mke wa mwalim, mkewake katobw,,,, na mganga wa kienyeji bila kinga imeleta vurugu sana, Iko hivi, ni mke wa rafikiangu ambae wameoana...
  3. Mtoto wa Nyerere

    Machinga wasilete siasa waondolewe haraka miji yote Tanzania

    Fremu leo zimedoda mikoa yote, ina maana Machinga wanashindwa kujiunga hata watatu watatu wakachukua fremu wakaripa Kodi? Nchi imekuwa ya kipuuzi sana mama ntilie wanashindwa kujiunga wakatengeneza taasisi inayolipa Kodi na wakafanya derivali ya chakula kwenye maofisi mida ya mchana? Mpaka...
  4. Balqior

    Huyu changudoa wa Corner bar, nahisi ni jini aliyevaa umbo la binadamu ila sina uhakika

    Anaitwa Jacky, nilimfahamu mwaka 2019, huo mwaka nulimchukua mara moja kwa ajili ya short for first time, sasa tukajenga mazoea kwa vile akiwa chumbani ni mchangamfu sana, aliiona picha yangu kwenye simu, akaniambia hiyo picha ya siku nyingi, nikamuuliza amejuaje akaniambia kwasababu ameona...
  5. Mkushi Mbishi

    Msaada: Kila mwanamke ninayemuoa anakuwa na huyu kiumbe ndani yake, ni nani huyu?

    Natumai mko poa wakuu na mwenye matatizo Mungu amuondoshee. Kuna Hali naipitia maishan mwangu, mwanzo niliidharau lakini kwa Sasa naumiza Sana kichwa kuujua ukweli wa hili jambo. Kwa kuwa najua humu Kuna wenye ujuzi juu ya mambo mbalimbali naomba niwashirikishe hili kupata ushauri wenu. Mara...
  6. Mlaleo

    Swali je Inawezekana Mwigulu katupiwa jini ''Sakizi'' ? linakufanya ufanye vitu vya ajabu

    Wadau nahisi huyu Waziri katupiwa hilo Jini angewahi au awahishwe kwa mafundi.. Jini Sakizi ukitupiwa linafanya maajabu ajabu tu yaani mtu akikuudhi unaweza hata muua hapo hapo Watu waliwahi tupiwa mifano yake kama Ditopile alichukizwa tu na Dereva wa Daladala kusimamisha bus barabarani...
  7. L

    Uchawi au Majini hayapo! Nani ameshawahi kukutana na jini

    Kuna nadharia za ajabu sana Africa ambazo huwezi ziona dunia ya kwanza. Uchawi ni nini. Nani ambaye anaweza kutupa proof uchawi upo? Nani alimuona mchawi? Nani anaujua uchawi? Uchawi una nguvu gani? Hayo Majini ni nini? Hakuna cha majini wala babu yake na majini? Hizo ni drama za kufikirika...
  8. sky soldier

    Huyu mtu alikuwa jini au? Nilisoma na mwanafunzi kipanga ambaye ni mtoro, mtundu, anavuta bangi, kila kesi yumo, n.K

    Huyu Bwana alikuwa anatukimbiza vibaya mno darasani, form 4 alipiga division 1 ya 11 ya enzi hizo kabla ya 2010, (zilikuwa adimu mno), shule ilikuwa haijawahi kupata mtu aliefaulu kwa ufaulu huu, shule ilikuwa ya kawaida sana Siffa za huyu mtu 1. Alikuwa mtoro sana 2. Form 2 alianza kuvuta...
  9. Ta Muganyizi

    Mtandao - Jini linalosumbua ofisi za Serikali Tanzania, TANESCO hawakosi

    Habari Wadau. Imenibidi niseme tena maana najua imeshasemwa sehemu kibao. Kwa serikali yetu hii ilivyo kasi katika kutuletea maendeleo naona suala la mtandao wa internet limekuwa tatizo kubwa hata katika awamu hii. Mfano unaenda TANESCO kujaza fomu ili uwekewe umeme lakini inamaliza hadi wiki...
  10. Bujibuji Simba Nyamaume

    Jini jipya laingia Ethiopia

    First ever Pan African #Swahili School Launched in #Ethiopia by New Africa Networking Africa is coming together and embracing Swahili as a business language. Free Classes! #AfCFTA for Africa for Africans on our own terms and conditions. We are taking on Language Barriers in readiness for...
  11. Kanungila Karim

    Mkasa wa kweli: Jinsi Mwanamke Jini Alivyonipenda na Kunipeleka Ujinini!

    NAITWA Omar Ibrahim Msangi. Nilikuwa ndiyo kwanza nitimize umri wa miaka thelathini. Masomo niliyochukua yalikuwa ni ufundi wa kompyuta na nilikuwa nimeajiriwa na kampuni binafsi iliyokuwa ikishughulika na uuzaji wa aina zote za kompyuta na utengenezaji. Mimi nilikuwa upande wa ufundi na...
  12. Chizi Maarifa

    Kisa cha Mimi kugombea demu na Jini

    Hili jambo sikuwa napenda sana kuwahadithia wadau. Lakini leo naona niwape kisa hiki kilichonipata miaka ya 2000s. Mimi nimekulia Sinza kivulini kwa miaka yangu yote na washkaji kibao ambao wengi walienda Usa na South Afrika. Bongo tulibaki wachache sana ktk group letu. Akina Mandawe na Jitu...
  13. Da'Vinci

    Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka

    Mates; Binaadamu tumeumbwa kwa matabaka tofauti tofauti sio wa rangi wala jinsia, katika upande wa Personalites binaadamu yupo katika makundi mabalimbali. Kuna Makundi makuu mawili ya personalities,ambazo ni Extroverts na Introverts. Kwa upande wa introverts dunia kwao si kikwazo au haina...
  14. Dam55

    Simulizi: Mpenzi jini

    SIMULIZI:MPENZI JINI. MTUNZI:LAMECK PETER SEHEMU YA 1. ...Kwa Jina Ninaitwa KETARO Ilikuwa Ni Mwaka 2015 Nikiwa Na Umri Wa Miaka 21 Nikiwa Nimezaliwa Mwaka 1994.Nilikuwa Ninaishi Na Bibi Yangu Mzaa Mama Katika Mkoa Wa Rukwa Sumba Wanga.Bibi Yangu Huyo Alikuwa Ni Kabila La Mfipa.Bibi Yangu...
  15. Chizi Maarifa

    Safari hii Jini Kizaizai atakuwa anazunguka tu ndani ya CCM yenyewe

    Uchaguzi huu ukipitishwa tu na CCM kugombea Udiwani au Ubunge, UMESHINDA. Wala hauna tena mashaka sijui upinzani. Yaani huku Lumumba ni watu kutafuta tu connection za watu majimboni. Sasa hivi ubaya ubaya unafanyika ndani kwa ndani; yaani usishangae tu ukasikia mtu kapitishwa na Chama kesho...
  16. kenzi

    Kupigwa Marufuku Makanisa ya Kilokole, Gwajima amjibu mkuu wa mkoa wa Arusha, ni mtoto wa Dawa

    Baada ya mkuu wa mkoa wa arusha kusema kuwa makanisa ya walokole yadhibitiwe kwa kuwa wanapiga kelele (Makanisa ya kilokoke kudhibitiwa) Gwajima ameamua kumjibu mkuu huyo Amesema kuwa Tanzania ni nchi huru kila mtu ana haki ya kuabudu, muda wowote na wakati wowote Amesema kuwa waumini wa...
  17. Zero IQ

    Heri ukutane na jini kuliko kukutana na mwanamke shoga

    Mwanamke shoga ni yule mwanamke anayelalwa mbele na nyuma yaani kuna muda ni mwanamke na muda mwingine ni shoga ule wakati wa kuliwa makinikia/Kisamvu/Mtaro. Kwa sisi mabaharia tusiopenda ule mchezo wa kishetani huwa inatuwia vigumu sana kumrizisha demu wa namna hii. Yeye atataka umkaze mbele...
  18. Herbalist Dr MziziMkavu

    Njia Rahsi za Kumwita Jini Mpole na Kumuamrisha unayoyataka na atakufanyia.

    LEO nawafundisha njia fupi ya kumwita JINI mpole Kisha mwambie haja zako. nunua aina ya taa Za chemli mbili weka utambi wa Sanda iwe kama tambi kila chemli weka mafuta ya taa kipimo cha vikombe vya kahawa kila chemli weka vikombe saba saba Kisha ktk kila tundu LA chemli weke mchanga wa...
Back
Top Bottom