Inaskitisha na inahuzunisha,
Wakuu mko poa?
Naenda kwenye maada,: hapa jirani imezuka kelele ya kufa mtu ambapo naishi kuna mke wa rafikiangu ambae ni mke wa mwalim, mkewake katobw,,,, na mganga wa kienyeji bila kinga imeleta vurugu sana,
Iko hivi, ni mke wa rafikiangu ambae wameoana...