JJIWE HILI JIWE GANI HAPA KWETU KIJIJINI?
Kwenye mwanga waliona, kwenye giza hulioni,
Waliokwisha liliona, wakatoa zao warn,
Wa kijiji wakagoma, wakaziba zao mboni,
Jiwe hili Jiwe gani, hapa kwetu kijijini?
Wale waliolileta, nao sasa wanajuta,
Linawapiga mieleka, na viuno kuvunjika,
Wasotaka...