Kwanza niwape pole sana uongozi na wanachama wa CHADEMA kwa madhila anayopitia kiongozi wao mkuu wa chama, hakika ni majaribu makubwa sana kwake yeye Mbowe binafsi, chama, na familia yake kwa ujumla.
MNYIKA AMEPEWA NINI NA CCM?
Hivi kweli CHADEMA leo ni wa kua wapole kiasi hiki kiongozi wao...