joseph mbilinyi

Joseph Mbilinyi (born 1 May 1972), known for his stage names Mr. II, Sugu and 2-proud, is a Tanzanian politician, human rights activist and rapper. He was also elected to the Tanzanian Parliament in 2010 and then 2015 to 2020.Mr. II was stems from Songea in Southern Tanzania, started to rap in 1990, in his youth when he was still in school. His inspirations were Ice Cube, Niggaz With Attitude and above all Tupak Shakur. Mr. II was the first Tanzanian rap artist to have major success with his music. Through his music and language he express and addresses politics, social inequalities and other problems that affected Tanzanians. Most would consider his music as a voice for the voiceless, his brand of rap is soulful, lyrical, rhythmical and from the heart. This is because Mr. II is not afraid to tell it like it is, undertaking sensitive issues of concern to many Tanzanians such as democracy, child prostitution, police brutality and corruption.He became so popular that his music reached audiences even in rural areas where rap had not been heard before. Due to the quality of his music and the message in his music, older people were more acceptance to his music and contributed to making him the first Tanzanian rapper to have a mainstream hit. Also making Mr II the M-Net Best Male Artist Grammy Award Winner for Tanzania in 2001. Mr. II is the African Great Lakes region's most popular Bongo Flava icon, and through this genre he was able to make a difference and create opportunities for the youth.

View More On Wikipedia.org
  1. Erythrocyte

    Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi kufanya mkutano wa hadhara Mbeya Mjini 10/07/2024

    Hatutaki lawama zozote kwamba hatukukuambia Mapema. Taarifa ikufikie Popote ulipo kwamba, Kiongozi wa Juu zaidi wa Kanda ya Nyasa anapeleka cheo chake kipya nyumbani kwao Mbeya Mjini, kutakuwa na Mkutano Mkubwa wa hadhara unaotarajiwa kuvunja rekodi yake yeye mwenyewe ya Mikutano ya hadhara...
  2. Erythrocyte

    Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa akutana tena na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania

    Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Ubalozi wa Marekani Nchini Tanzania Umekutana na Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi kwa Mazungumzo Bado hatujafahamu kilichozungumzwa, tuasubiri Taarifa Rasmi ya Ubalozi.
  3. J

    Pre GE2025 Joseph Mbilinyi (Sugu) atagombea Ubunge Mbeya mjini au Katiba ya CHADEMA hairuhusu Vyeo viwili?

    Nauliza tu maana Siasa za Mbeya mjini zinazidi Kuwa Ngumu Katiba ya Chadema inazungumziaje Kofia mbili? Ahsanteni in advance 😀
  4. Erythrocyte

    Pre GE2025 Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Nyasa, Joseph Mbilinyi akutana na Profesa J na kufanya naye Mazungumzo

    Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Joseph Mbilinyi amemtembelea nyumbani kwake Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Kilosa na kufanya naye mazungumzo. Wawili hao ambao wote ni wanamuziki wa kiwango cha Juu wamezungumza mambo kadha wa kadha, mengi yakihusu ugumu wa Maisha Nchini Tanzania na mambo...
  5. Erythrocyte

    Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa Joseph Mbilinyi akutana na Maranja Masese na kufanya naye Mazungumzo Mazito

    Mwenyekiti huyo, ambaye pia ni Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Kimataifa mwenye mafanikio, amekutana na Maranja Masese jijini Dar es Salaam na kufanya naye mazungumzo. Bado haijafahamika hasa kilichozungumzwa , Japo tetesi zinadokeza kwamba Mazungumzo yao yalihusu hali ya kisiasa ya Tanzania...
  6. Erythrocyte

    Pre GE2025 Viongozi wapya wa Kanda ya Nyasa Waanza kazi rasmi

    Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba viongozi wapya waliochaguliwa hivi karibuni Kanda ya Nyasa, Wameanza Kazi Rasmi leo. Wamefika kwenye ofisi za Kanda ya Nyasa na kuanza kazi mara moja, Vigogo hao wazito wameongozwa na Mwenyekiti wao Joseph Mbilinyi, yumo pia Makamu Mwenyekiti Frank...
  7. Erythrocyte

    Joseph Mbilinyi arejesha Fomu ya kugombea Uenyekiti Kanda ya Nyasa, Asindikizwa na William Mungai

    Bwana Sugu ambaye ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema , leo Amerejesha fomu ya kuomba uenyekiti wa Kanda ya Nyasa. Bilionea huyo amesindikizwa na Umati wa Matajiri wa Kanda hiyo kutoka Kyela, Mbeya yenyewe, Njombe na Iringa. Hali ilikuwa hivi .
  8. P

    Naomba kujuzwa Historia ya Otabenga

    Anaejua historia kamili ya Otabenga atiririke hapa
  9. Erythrocyte

    Joseph Mbilinyi (Sugu) apanda Mazabauni kushiriki Ibada ya kuchangia Ujenzi wa Kanisa, Achangia hela ndefu

    Mbunge ajaye wa Mbeya Mjini, Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Nchi mbalimbali (kimataifa) , Bilionea Joseph Mbilinyi, leo ameshiriki ibada Maalum ya kuchangia Ujenzi wa Kanisa katika Parokia ya Ruanda Jijini Mbeya . Mbali na yeye mwenyewe kuchangia kitita kizito kitakachosogeza mbele Ujenzi wa...
  10. Erythrocyte

    Mbeya: Balozi Mpya wa Marekani Nchini Tanzania amtembelea Joseph Mbilinyi

    Kuwa wa kwanza kufahamu kwamba siku ya leo Mkoa wa Mbeya ulibahatika kutembelewa na Balozi wa Marekani , Ambaye hakuwa na jambo jingine Mkoani humo , zaidi ya kukutana na Mwekezaji Mzalendo Bilionea Joseph Mbilinyi kwa Mazungumzo. Bado Timu ya Balozi huyo haikuweka wazi kilichojadiliwa , wala...
  11. Replica

    Sugu baibai Mbeya Mjini? Ili Tulia aendelee na urais IPU anatakiwa asipoteze ubunge miaka mitatu

    'The IPU Governing Council elects the IPU President for a term of three years. He or she must be a sitting Member of Parliament throughout the term of the presidency' Leo Tulia Ackson amechaguliwa kuongoza umoja wa mabunge duniani kwa kipindi cha miaka mitatu. Moja ya sifa ya kuendelea kuwa...
  12. J

    Sugu ataka ATCL nayo ibinafsishwe Dubai kwani imeshindwa kutoa Huduma

    Mbunge wa Zamani wa Mbeya mjini Joseph Mbilinyi aka Sugu Baada ya kukaa zaidi ya saa 6 pale JNIA akisubiri Ndege ameitaka Serikali iwape Waarabu na ATCL. Bilionea Sugu amelalamika kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii. =====
  13. Michael Uledi

    Dkt. Tulia tayari kashampa "Chakula" Sugu

    Hakuna Hisani kubwa ambayo aliyekuwa Mbunge wa Mbeya kwa tiketi ya Chadema Osmond Mbilinyi amewahi kuipata kutoka kwa Mbunge wake na Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Dr Tulia ACKSON MWANSASU! Habari nyepesi kutoka "kitaa" Mbeya zinasema kama Mr II angekuwa na busara na hekima...
  14. K

    Urafiki wa Joseph Mbilinyi (Sugu) na Rais Samia unampa shida Dkt. Tulia

    Sugu na Mama ni marafiki bila kujali siasa. Hakuna kitu wala mtu yeyote anaweza kubadilisha hilo maana ndiyo ubinadamu kuna wakati watu wanakuwa marafiki bila kujali siasa. Uhusiano wa Dkt. Tulia na Rais ni wa kisiasa tu na ni vigumu kuona hata Mama akicheka akiwa na Tulia. Hii inamuogopesha...
  15. Mmawia

    Kwaheri Tulia, karibu sana Sugu jimboni Mbeya

    Kufuatia shughuli za siasa kuruhusiwa rasmi nchini sasa rasmi sisi wana Mbeya tumeshamuaga Tulia na kumkaribisha mh Sugu. Namaanisha kuwa tulipatiwa mbunge ambaye halikuwa chaguo letu sisi wana Mbeya. Sasa wakati umefika wa wana Mbeya kuonyesha hasira zetu kwa kumchagua mbunge ambaye atakuwa...
  16. Dr Matola PhD

    Kwa watu walio karibu na Joseph Mbilinyi Sugu, wamfikishie ushauri huu wa bure

    Sugu aachane na mambo ya kitoto, kukubalika kwa Sugu Mbeya au popote pale hakuna uhusiano wowote kwamba kwa miaka 10 ya ubunge wake kuna jambo la ajabu au la maana sana amefanya jimboni Mbeya mjini la hasha, Bali ni kazi yake ya Sanaaa ndio imeendelea kumuweka mioyoni mwa watu hasa vijana, hata...
  17. Erythrocyte

    Sugu afika Club ya Wazee Isanga kwa lengo la Kuwasalimia

    Mfanyabiashara na Mwekezaji wa Mbeya Mjini , Joseph Mbilinyi (Sugu) , leo ameendelea na ukarimu wake , ambako amefika Maskani ambayo wanajipumzisha wazee wa Isanga , baada ya shughuli za kutwa nzima (KILABUNI) , kwa lengo la kuwajulia hali zao na kuwasalimia . Ama kwa hakika huyu jamaa...
  18. Erythrocyte

    Manunuzi ya Joseph Mbilinyi Sugu kwenye Soko la Igawilo huko Mbeya Mjini yaleta mtikisiko mkubwa

    Leo hii huko Mbeya Mjini kulikuwa na ziara ya manunuzi ya nyanya na mishikaki iliyofanywa na Mbunge wa zamani wa Jimbo hilo bilionea Joseph Mbilinyi ambaye pia anafahamika kama Sugu au Real Jongwe kama anavyofahamika siku hizi, ama waweza kumtambua kama mfungwa wa kisiasa. Kama masihara tu...
  19. Kamanda Asiyechoka

    Joseph Mbilinyi: Prof Kabudi ashitakiwe kwa kulidanganya taifa juu ya tril 360. Aliunga mkono udikteta enzi za hayati

    Sugu ameandika kwenye ukurasa wake wa twitter "Kwa jinsi hii, huyu mzee anatakiwa awe ‘held accountable’ kwa kulidanganya Taifa kama anavyokiri hapo… Huyu mtu ana rekodi ya ovyo sana serikalini na ni mmoja wa watu waliokuwa wakichochea udikteta (Henchmen) kwenye awamu ya Mwendazake…" Na...
  20. B

    Joseph Mbilinyi (Sugu): Waandishi na wasanii walishiriki nionekane adui mbele ya jamii

    WAANDISHI WA HABARI NA WASANII WALISHIRIKI KUTENGENEZA TASWIRA HASI Mbunge mstaafu katika mzungumzo exclusive aelezea jinsi sekta ya habari na wasanii walivyoshirikiana kumpatia nafsi ya enemy of the state. Wasanii wa Tanzania waliogopa kupiga picha na Waziri Kivuli wa michezo na sanaa pia...
Back
Top Bottom