kupitia ukurasa wake rasmi wa instagram, aliyewahi kuwa mbunge wa mbeya mjini amepost clip inayomuonyesha akimtunza mwanamziki cristian bella jukwaani.
link hii hapa:
NB:
nikiwa kama shabiki wa mziki wa live na mziki wa rumba nimefuhia sana tukio hili.
kwa wadau wa mziki wa rumba hili ni...