juice

  1. Chance ndoto

    INAUZWA Nauza juice dispenser njia tatu

    Nauza juice dispenser njia tatu.. ipo vizuri inatumia umeme mdogo sana.. unaweza weka juice ata siku sita ikawa inazunguka bila kuharibika. Pia inatoa ubaridi ule ule wa juice ya kwenye fridge. Nzuri kwa restaurant, hotelini hata pick na pay. Bei rahisi kabisa Bei: 580,000 Location: Kimara...
  2. M

    Inaitajika: Mashine ya Kutengeneza Juice ya Miwa

    Wadau salaam! Naitaji nshine ya kutengeneza Juice ya miwa kwa Dar. Iwe mpya au used kwa bai rafiki! Naomba ni PM kama u a offer.
  3. F

    #COVID19 Kama sanitizer inauwa virus wa Corona kwenye mikono, kwanini zisiwepo santizer za kunywa Kama maji au juice?

    Wakuu habari, samahan kuuliza si ujinga na kama ni ujinga basi ukinipa jibu utakuwa umenipunguzia ujinga. Tunashauriwa kunawa mikono kwa maji tiririka. Iman yangu naamini tukinawa virus wanaondoka na maji, hiyo sawa. Tukitumia sanitizer, tunapaka kwenye mikono na kuhamin virus wamekufa. Sasa...
  4. VIRTUOUS

    Nanunua chupa tupu za maji na juice. Kama unazo tuwasiliane

    .
  5. T

    Ni sehemu gani inakuzwa mananasi, maembe, na machungwa, ambapo mtu anaweza jenga kiwanda cha juice

    Natarajia mko salama wakuu na wanajamii forum. Niko na swali ambalo natarajia hapa ni pahari pazuri pa kupata jibu, sasa nataka kuwekeza kiwanda au viwanda vya kutengeneza juices, toka mananasi. Maembe na machunga na pia matunda mengine kama passion fruits and mapapai, sasa swali langu ni hili...
  6. B

    Nina changamoto ya namna ya kupima chakula na juice ya kutengeneza ili kupata faida kwenye biashara yangu

    Habari zenu wadau, Naomba kuuliza namna ya kupima chakula cha biahara mfano wali na nyama au ugali na mboga zake ili kupata faida Pia juice ya parachichi na embe au embe na passion huniletea hasara sijajua kuna kitu cha nyongeza cha kuweka ili kuifanya iwe nyingi au labda natengeneza nzito...
  7. Dr Akili

    Juice na unga wa ngano kutoka viwanda vya Kenya vitaingia Tanzania bila vikwazo na sementi kutoka viwanda vya Tanzania vitaingia Kenya bila vikwazo

    Viwanda vyetu hususani kama vya Azam vijiandae kwa maumivu kwani itakuwa ngumu kushindana na maviwanda ya Kenya. Pia na sisi tunaotaka kujenga tujumba twetu tujiandae maumivu kwani cementi ya kutoka viwanda vyetu ambayo ina ubora wa hali ya juu hususani ile ya Dangote, kiasi kikubwa kitakuwa...
  8. S

    INAUZWA Mashine ya juice ya miwa na banda lake

    Nauza mashine ya juice ya miwa na banda lake na kila kifaa cha kazi ikiwepo vyombo vya wateja,vya maji na extension ya umeme wewe ni kununua miwa tu na kuanza kazi.. Inatumia umeme Imetumika MIEZI MITATU TU!!! Kila kitu 1M
  9. Mwita Mtu Mrefu

    Zipo Juice za kunywa ila sio kama hii

    Dah hii juice ina sukari nyingi sana.. Haijakaa sawa haswa kwa matumizi ya watoto na wazee..
  10. yasini jawadu

    Naomba kuelekezwa kutengeneza barafu na juice ya Matunda

    Habari wapendwa wa JamiiForums. Naomba mwenye elimu ya kutengeneza barafu na juice ya matunda mchanganyo wa nanasi ndizi na parachichi aweze kunisaidia, email yangu ni yasinijawadu@gmail.com Asante sana. Pia soma: Juisi mbalimbali nzuri kwa afya yako
  11. master of cities

    Mtaalamu wa kutengeneza fresh juice anatakiwa

    Natafta mdada anayeweza kutengeneza fresh juice , umri Kati ya miaka 18-30 Awe msafi (extremely) awe mvumilivu na ,mwelewa , Elimu form 4 ad above ..... Ajue location bora ya kuweka biashara Kwa Dar es salaam ..... Anichek PM... Mtaji upo so nahtaji mtaalam na mshauri pia ...first task aje...
  12. S

    Natafuta eneo la kuuza juice

    Natafuta eneo la kuuza juice ya miwa,nina mashine na banda na kila kifaa kinachohitajika hivyo natafuta eneo. Likiwa Tabata segerea stand itafaa zaidi Ni lazima kuena mzunguko mkubwa wa watu. Kwa yeyote mwenye eneo anichek dm
  13. Mwita Mtu Mrefu

    INAUZWA Mashine ya juisi ya miwa, Nzuri sana kwa bei nafuu sana

    Habari Jf. Nauza mashine ya kukamulia juice za miwa. Mashine inatumia engine ya petrol. Mashine iko vizuri na mwamvuli wake kwa ajili ya kukukinga na Jua. Bei ya kuuza ni 1.1 milion, dukani ina 1.3milion. Mashine iko Ubungo River side. Atakayenunua namtolea elfu 30 ya usafiri. Piga simu au...
  14. Heci

    Pika na Dr. Gill Biz maini gin na juice

    Mahitaji:- Kilo moja ya maini Vitunguu vikubwa 2 Nyanya kubwa 2 Hihi 1 Carrot 1. Ndizi 2 Viazi vikubwa 2
  15. Mikhail Tal

    Nahitaji mashine ya kukamua juice ya miwa

    Habari wakuu nahitaji msaada wa kupata mashine ya kukamua juice ya miwa. Nipo Dar es salaam kama kuna mtu unaweza kunielekeza zilipo kwa hapa Dar ntakushukuru sana Au kama unaweza kunisaidia contacts za mahali nitapata hizo mashine.
  16. Abdistar

    INAUZWA Mashine ya kukamulia juisi ya miwa inauzwa

    Tunamashine mpya za kukamulia juice ya miwa ➡ Zinatumia betri hvyo unaweza fanya biashara hata mahali ambapo hakuna umeme, ➡ Bei ni 2.3 ml 📞±255657291795 WhatsApp kwa maelezo zaidi .
  17. K

    Naomba ufafanuzi katika hili la mtoto kunywa juice ya nanasi na kutoa jasho jingi

    Naamini mmesherehekea salama pumziko la pasaka na poleni kwa ambao haikuwa amani kwa namna moja au nyingine. Aidha poleni kwa misukosuko na taaruki ya ugonjwa wa COVID -19 najua imeleta athari kadhaa zikiwemo vifo na makatazo ya kujumuika katika shughuli mbalimbali za mikusanyiko. Zaidi kwa ili...
  18. Johari msabila

    Uuzaji wa fresh juice

    Nahitaji kutengeneza fresh juice nataka kujua viungo vya kuweka hasa kwenye juice mix
  19. Podcast

    Nahitaji mashine ya juice ya miwa ya kukodi

    Habari ndugu zangu, Leo nimekuja hapa mapema hii nikiwa na shida ya hii mashine ya kutengeneza juice ya miwa, nahitaji kutoka kwa mtu atakayeweza kunikodisha na sio kununua. Awe Dar es salaam na bei ya kukodisha iwe affordable
  20. B

    Hii Juice ya ukwaju ni ukwaju kweli au ni mchanganyiko

    Hi wanabodi Napenda kujua hii juice ya ukwaju ni ukwaji kweli au tunakunywa mchanganyiko tu. Na hii maziwa ya asas nayo siku nimeyanywa siku ya pili niliyaacha wazi nikakuta yameharibika inakuwa ni maziwa au dawa ndo zimejaa huko...maana maziwa ya mtaani aisee yanamaji balaa
Back
Top Bottom