kabila

  1. sky soldier

    Sifa ya wanawake kuwa wepesi kutoa penzi siyo kwa kabila zima bali ni tabia ya mtu binafsi, Tuache kujumuisha tabia hii ionekane ni ya wote

    Huwa nashangaa sana watu wenye akili finyu wana mawazo ya kizamani kwamba mabinti wote wanaotokea makabila yenye asili ya uenyeji kwenye mikoa ya Singida, kondoa na Bukoba kwamba wote wana tabia ya kuwa wepesi sana na kugawa kirahisi. Tabia ya mtu binafsi ni yake haiwezi kufanywa kuwa ya...
  2. NetMaster

    Maoni: Ubinafsi na uchoyo ndio huchangia zaidi kabila kukosa maendeleo

    UBINAFSI Ni tabia ya kujiona wewe ni bora kuliko wengine hutaki wengine wawe kama wewe pale unapokuwa na nafasi fulani kudharau wengine Katika baadhi ya makabila kuna watu miongoni mwao wamepata nafasi kubwa ya kuwasaidia wengine lakini wameshindwa kwa sababu ya ubinafsi matokeo yake jamii zao...
  3. NetMaster

    Ndio najua leo kuwa bado kuna makabila Tanzania bara ukioa nje ya kabila unategwa na ukoo!

    Katika story za jioni baada ya kazi leo hii nimejifunza kitu kigeni nanyi ningependa kuwashirikisha. Amini usiamini hadi sasa kuna makabila watu hulazimika kuoana wao kwa wao si kwa kupenda bali ni kuogopa kutengwa na ukoo. Moja ya kabila hili ni Wasafwa, ni kabila kubwa Mbeya kwa kuwa na...
  4. SAYVILLE

    Nataka kuanzisha Kabila jipya na la kisasa

    Kuna faida kubwa kwenye umoja. Makabila mengi yalianza bila vision. Mazingira tu yalipelekea watu kukutana sehemu moja na baada ya muda muingiliano, mfanano wa lugha, mila na desturi zilizojengeka ukawaunganisha. Imagine sasa haya yote uyafanye kwa makusudi na kwa kufuata vision mliyojiwekea...
  5. S

    Sukuma gang ni itikadi siyo kabila

    Sukuma gang ni itikadi liyoasisiwa na Magufuli inayoamini katika ukatili unaohusisha matusi, utekaji, uporaji, mauaji na uonevu. Kwahiyo itikadi hii isihusishwe na kabila la Wasukuma. Mfano, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, ndugu Sabaya yeye ni Sukuma gang lakini siyo Msukuma. Wengine ni...
  6. Lycaon pictus

    Hivi ndivyo Afrika ingekuwa iwapo kila kabila lingekuwa na nchi yake

  7. Lycaon pictus

    Nchi yenye watu wenye rangi, dini au kabila tofauti inaweza kustawi?

    Hivi inawezekana kwa nchi yenye watu tofauti ikastawi. Maana kwa kuangalia harakaharaka naona nchi karibu zote ambazo zina usalama na zimeendelea ni zile ambazo watu wa rangi, dini na lugha moja wanakaa pamoja. Kuna exceptions chache sana. Ni kama haiwezekani kwa nchi yenye diversity kubwa...
  8. HERY HERNHO

    Kabila la Waluguru na asili yao kutoka Ufilipino

    Asili ya neno Morogoro ni Mluguru ili kujua zaidi twende pamoja. KAMA utairejea historia ya Morogoro ya miaka ya kati ya 1870 hadi 1888, kipindi ambacho Sultan wa Zanzibar alikuwa Sayyed Barghash, uitagundua kuwa kwenye safu ya Milima ya Uluguru na pembezoni mwake kulikuwa chini ya Machifu wa...
  9. L

    Watu wa kabila la Wamiao mjini Liuzhou mkoani Guangxi China washerehekea Tamasha la Manghao

    Februari 7, 2023, Kaunti ya Rongshui ya kabila la Wamiao, mjini Liuzhou, mkoani Guangxi, China ulikaribisha tamasha la kila mwaka la "Manghao." Mang Hao ni mungu wa milima katika hadithi ya kabila la Wamiao, ambayo inaashiria afya na maisha marefu, uadilifu na urafiki, bidii na ujasiri, na...
  10. NetMaster

    Kina "Chacha" ni watu wa wapi na ni kabila lipi?

    Habari zenu, husikeni na kichwa cha swali hapo juu,. Niliwahi kumfatilia nikajua kazaliwa huko Dar maeneo ya Ukonga ila sijawahi kusikia kuna mzaramo anaitwa Chacha. Kuna kijana hapa naona yupo na mdogo wangu wa kike kwa takribani mwaka na nusu sasa, kapata kazi idara flani na anaonesha nia ya...
  11. M

    Katiba Mpya Inaitwaje kwa KABILA LAKO

    HAPA KAZI TU NA KAZI IENDELEE HATUTAKI KUFA TUTAMPATAJE!? MCHEZO TUNAUPENDA LAANA ZA KUJIAJIRI WAPO 2 KAMA MILIONI 677... TUTAMPATAJE TUMUANDAE (Katiba Mpya Inaitwaje kwa KABILA LAKO MAANA LABDA IPO SIKU WATU WAKO NDIO WANATAKIWA WAELEWE) Waakie Waakiek Waalagwa (pia: Wasi) Waarusha Waassa...
  12. MSAGA SUMU

    Wachaga ndio kabila pekee ambalo haliwezi kuua sababu ya pesa

    Niko Moshi mida hii, aiseee wachagga wanajua kula Bata. Na pia Wana mshikamano na upendo. Huku ni chupa juu ya chupa. Mbuzi hadi nawaonea huruma, halafu utaratibu ni ule ule kila nyumba. Hii ikanikumbusha juu ya uaminifu walionao ndugu zetu kutoka milimani Kilimanjaro. Mchagga ni mtu pekee au...
  13. Bujibuji Simba Nyamaume

    Hivi ni sababu ya kabila au utundu tu wa mshughulikaji?

    cute love, To yeye, Miss Natafuta, Evelyn Salt, Flowerpot Ndindwa hivi hii imeshawahi kuwatokea? Je ni kwa uwezo wako binafsi, uwezo wa mshughulikaji au ni sababu ya kabila lako?
  14. NetMaster

    Jeshi la polisi kutaja makabila ya madada poa sio sawa kabisa, Tabia hii inajenga sterotyping ya kudhalilisha kabila zima.

    "UMALAYA , UMALAYA , UMALAYA" - " MALAYA AKIKAMATWA ANAVALISHWA BANGO, KUNA SEHEMU YENYE KABILA LAKE HALAFU UNAPIGWA PICHA " HII SIO SAWA!! Mfano hawa ni wale walikamatwa kwenye maanguro hawa walikamwatwa wakijiuzza mitandaoni
  15. NetMaster

    Hata kama majigambo ni asili yao ila hii imezidi sasa, ni kabila gani hili wemeanza sifa za kuzika kwa kutumia crane?

    Ukisikia sifa zinaua ndio huku, Hapa kwa mporomoko huu wa jeneza sijui kama waliodondokewa na jeneza walipona? Humo kwenye jeneza mwili wa marehemu ushavunjika vunjika kwajili ya hizi sifa. Utasikia kisingizio ni jeuri ya pesa lakini ukifatilia unakuta pesa zenyewe ni mshahara wa kuajiriwa...
  16. Pang Fung Mi

    Naomba Pendekezo la kabila la pwani ambalo mwanamke anakaa kitako home na wasio wavigoma na shughuli

    Kwenye mada straight wadau nataka kuchagua kuvuta jiko hitajika la kuishi nalo nataka mtoto wa pwani nshapata inbox kama 50 chuguo langu nataka chombo Cha pwani,kwenye sampuli kuna wafuatao. 1. Mluguru 2. Mkwere 3.Msagara 4.Mzigua 5. Mzaramo 6.Msambaa 7.Mbondei 8. Mdigo 9. Mjikenda 10...
  17. L

    Watu wa kabila la Wamiao nchini China washerehekea mavuno

    Kwenye eneo la Kusini Mashariki mwa mkoa wa Guizhou, China watu wa kabila la Wamiao walivaa mavazi ya kijadi na kusherehekea mavuno.
  18. 44mg44

    Hali ya kutokupenda ujulikane wewe ni kabila gani maofisini ni uzalendo au ni usaliti?

    Mnaofanya Kazi katika ofisi za Uma na za private lazma mtakubaliana na mim kuwa Kuna watu huwa hawataki wajulikane kuwa yeye Ni kabila gan,mfano watu wa Kanda ya ziwa waliobahatika kusoma na kuajiliwa kwenye ofis za Uma huwa hawapendi wajulikane walikotoka. Wanawake wa Kisukuma ndo wanaongoza...
  19. Sozo_

    Kukosea kupiga simu kwanini iwe kwa watu wa kabila moja?

    Mimi sio mfuasi wa kuponda makabila, nawapenda wote, hata mwenzi wangu sio wa kabila langu. Lakini najiuliza kwanini kila ninapopigiwa simu ya kukosewa huyo mtu anakuwa msukuma, kama sio mwanaume atakuwa mwanamke. Nawajuaje? Mara nyingi husalimia kikwao, ama kuita majina yao, tunaposhindwa...
  20. Gordian Anduru

    KABILA LA AFRIKA MASHARIKI LENYE MAFANIKIO MAKUBWA DUNIANI

    Mjaluo lupita amechukua tuzo Kubwa has filamu OSCAR, Mjaluo Obama Ana Nobel mjaluo Divork origi Alichukua uefa akiwa no Liverpool pia alichezea Belgium world cup 2014
Back
Top Bottom