Bukoba, Jeshi la polisi mkoani Kagera linamtafuta mtu mmoja anayeshukiwa kuhusika na mauaji ya mtoto mmoja mwenye umri wa miaka 11 mwanafunzi wa darasa la nne, shule ya msingi Kahororo manispaa ya Bukoba.
Mwanafunzi huyo alibakwa, kulawitiwa na kisha kupigwa na kitu kizito bila huruma.
RPC...