Kitu kingine ukiachana na kuongea ukweli kuhusu wayahudi, Kanye amedai kuwa wasanii wengi walio Marekani ni waoga sana kiasi kwamba hawana sauti juu ya haya makampuni makubwa. Miaka miwili iliyopita alieleza kuwa kuna wamarekani weusi wamepelekwa gerezani na vielelezo vyote vinaonyesha hawana...