kariakoo derby

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Pdidy

    Bodi wamehairisha derby kusubiri uchunguzi, hapohapo watatangaza siku ya kurudiwa mechi. Kama ushatangaza marudio uchunguza wa nini kama sio uhuni?

    BODI hii imejaa wahuni sana sana sijui tunaelekea wapi. Hawa jamaa ukisoma barua zao wanasema wamehairisha kwa sababu ya uchunguzi. Hapohapo wanasema watatangaza siku nyingine ya marudiano. Kama mmeshaamua kurudiwa unachunguza nini? huu ni ushenzi na uhuni si mngesema tu tumehairisha kwaajili...
  2. Magwangala

    Huyu Jemedari Said ndio maana Yanga hawampendi, amenyooka sana

    Rais wa Yanga amekaa na kamati yake ya utendaji wanadai hawatacheza mechi itakayopangwa.Yaani vichwa vyote vile vinatarajia kupewa point 3 za mezani!
  3. GENTAMYCINE

    Wana Yanga SC mlioko hapa JamiiForums ili niamini kuwa mna Akili na kweli mnazitaka alama 3 za mezani nijibuni haya maswali yangu

    1. Ili mpewe Alama (Points) Tatu za bwerere mnazozitaka Kikanuni kulipaswa Kwanza kuwe na tukio gani Kikanuni? 2. Aliyesababisha Mchezo kutochezwa ni Klabu ya Simba au ni Bodi ya Ligi chini ya TFF? 3. Ni lini Yanga SC imewahi kuwa na Kesi popote pale (ndani TFF na nje CAF au FIFA) na ilishinda...
  4. S

    Inawezekana kuna rushwa imetumika katika kuhujumu mchezo baina ya Simba na Yanga uliokuwa ufanyike jana tarehe 08/03/2025

    Huu ndio mtazamo wangu, na ili ukweli ujulikane, iundwe kamati ya uchunguzi na kamati hiyo iundwe na CAF au FIFA na wajumbe baadhi watoke nje ya nchi na ikiwezekana wajumbe wote watoke nje ya nchi(wasiwe watanzania). Soma Pia: Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya...
  5. ACT Wazalendo

    Kuahirishwa kwa Mechi ya Simba na Yanga, Bodi ya Ligi Kuu ijitafakari

    Uamuzi wa kamati ya uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara (TPLB) kuahirisha mchezo namba 184 kati ya Young Africans (Yanga SC) na Simba SC uliokuwa uchezwe tarehe 08 Machi 2025, haukuzingatia hasara mbalimbali zilizotokana na kuahirishwa kwa mchezo huo, ikiwemo nafasi...
  6. Kommando muuza madafu

    Je, video hii ni kweli au imerekodiwa baada ya jamaa kukimbia mkono wa nyani jana?

    Nimeiona hii video mtandaoni. Je ni kweli huyu jamaa aliyasema haya ya Simba kutokuja uwanjani kabla ya Jana au wameirekodi jana na kuifanya ionekane ya zamani?
  7. Upekuzi101

    Siku nyingine ya derby mashabiki Simba na Yanga hatutakuwepo

    Nimefuatilia sakata la derby ya Simba na Yanga Tanzania 08.03. 2025, itoshe kusema Bodi ya ligi mmehujumu ligi kuu ya mtanzania na mnapaswa kuwajibika, Simba na Yanga mnapaswa kuwajibika, mashabiki tumekwishawajibika. Siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu kubwa na wapenzi wa soka Duniani imekuja...
  8. Waufukweni

    Video: Timu ya Yanga tayari imewasili uwanjani Mkapa, ila ndani hakuna mashabiki wametolewa

    Wakuu Yanga tayari wamewasili uwanjani benjamin mkapa, ila ndani hakuna mashabiki wametolewa. Soma, Pia Licha ya mechi kuahirishwa, Yanga watuma Kikosi chao kwa TFF wakisisitiza mchezo upo Bodi ya Ligi kuu yaahirisha Mechi ya Derby kati ya Yanga dhidi ya Simba Ahmed Ally awaomba radhi...
  9. Allen Kilewella

    Msikilize Manara anavyoizungumzia Deby

    Haya mambo yapo jinsi yalivyo. Kama kuna kanuni ni lazima ifuatwe janja janja ni uhuni kwenye mpira. Flash back!
  10. Gudasta

    TFF toeni tamko kuhusu mechi ya Yanga vs Simba watu waendelee na mishe nyingine

    Toeni tamko mapema, ili watu wajue Nini kinaendelea, watu wana ratiba zao za mambo yao ...kama mechi hamna utaarifuni umma mapema.
  11. M

    Uongozi wa Yanga uhusike na kulipa gharama zote za kuharibu mechi ya Derby iliyotakiwa kufanyika hivi leo. Uhuni kwenye soka haukubaliki

    Ahlan bik Football ukipenda iite Soccer ni mchezo wa kiungwana sana unaozingatia sheria , kanuni na taratibu zilizowekwa na shirikisho la mpira duniani kwa maana ya FIFA na shirikisho la mpira katika nchi husika. Kanuni zipo wazi kabisa na uongozi wa Yanga unafahamu fika kuwa timu ambayo...
  12. Mbabani

    TFF & Bodi ya ligi watakuwa dhaifu mbele ya Simba na Yanga hadi lini?

    Salam wapenda "kandanda". Kwa muda mrefu shirikisho la mpira wa miguu Tanzania limekuwa dhaifu inapotokea inshu ya SIMBA & YANGA. TFF na bodi ya ligi (bodi dhaifu kabisa) wanakua tayari kuvunja kanuni na sheria walizotunga wenyewe ili kuwanufaisha SIMBA & YANGA . Hii derby ya 08/03/2025 Simba...
  13. GENTAMYCINE

    'Jeuri' ya Klabu ya 'Yanga' na 'Makomandoo' wake inatokana na huyu Mstaafu na hawa Viongozi Waandamizi wa Serikali ya Rais Samia

    1. Rais Mstaafu Kikwete 2. Makamu wa Rais Dk. Mipango 3. Waziri wa Fedha Dk. Nchemba 4. Waziri Mavunde 5. Waziri Kikwete 6. Msemaji wa Serikali Msigwa 7. Mkuu wa Mkoa DSM DC Chalamila Laiti hawa Wachache niliowataja hapa (pamoja na wengine ndani ya Chama CCM) wasingekuwa wanaonyesha wazi wazi...
  14. Waufukweni

    Hiki hapa Kikosi muunganiko (combined XI) Yanga vs Simba kwa kuzingatia form na balance!

    Wakuu Bado saa kadhaa kuelekea Kariakoo Derby! Mechi ya miamba wa soka la Tanzania (Yanga SC vs Simba SC) inakaribia, na Hans Rafael mchambuzi wa Soka ametengeneza muunganiko wa kikosi cha kwanza kwa kuzingatia form na balance kuelekea mtanange huo. Hans Rafael - Crown FM Naomba kuona...
  15. CAPO DELGADO

    Fadru Davis, nimekuita mara tatu bila hiki kikosi hutoboi March 8. Pokea ushauri wa bure

    Kuelekea Siku ya Jumamosi nimeona nimshauri kocha Fadru kupitia hili Jukwaa la Jamii Forum. Ninaamini hapa JF kuna viongozi wa simba, Wanachama, Mashabiki na wapenzi wa simba watamfikishia Kocha kwa namna Moja Aman Nyingine. Baada ya Kocha Fadru Kupoteza Michezo miwili dhidi ya Mshindani wake...
  16. upupu255

    Yanga wameshinda derby 3 kati ya 4 za mwisho alizochezeha Ahmed Arajiga

    Takwimu zinaibeba Yanga, mechi za derby za mwisho alizochezeha Ahmed Arajiga Mwamuzi Ahmed Arajiga amechezesha michezo minne ya derby kati ya Yanga na Simba, ambapo Yanga wameshinda mechi tatu na moja Simba. Hizi ni takwimu za matokeo ya michezo aliyochezesha Arajiga: Yanga 2-1 Simba...
  17. mwehu ndama

    Maono: Yanga SC anashinda kwa kishindo tena

    Hayaa ni maono niliyoshushiwa Mimi mwehu, katika njozi na wenye mamlaka ya DUNIA kuhusu mchezo wa tarehe 8 march 2025, baina ya Yanga sc dhidi ya Simba sc. Nami kwa unyenyekevu mkubwa nayaleta kwenu enyi wakuu!! Katika maono haya, wachezaji wa bwanyenye Mo dewj, wanaonekana ni wenye hofu kuu...
  18. Teko Modise

    Bashiri utabiri wako kuelekea Kariakoo Derby

    Tuone kipawa chako cha ubashiri. Kuelekea mchezo wa weekend hii, Yanga Vs Simba, tabiri matokeo yatakuaje. Mimi naanza Yanga 1-3 Simba, Tutakuepo
  19. upupu255

    Mbunge Tarimba atoa ya moyoni kuhusu Dabi ya Kariakoo, awataka marefa kutenda Haki

    Mbunge wa Jimbo la Kinondoni na Shabiki mkubwa wa timu ya Yanga SC Mhe. Tarimba Abbas kupitia mahojiano aliyofanya na ITV Digital ametoa maoni yake kuelekea kwenye Dabi ya Kariakoo kati ya timu ya Yanga SC na Simba SC. Kwenye Mazungumzo hayo Mhe. Tarimba amewataka marefa kutenda haki na kusema...
  20. GENTAMYCINE

    Jumamosi ndipo wote mtakubaliana nami kuwa Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally ni mwana Yanga SC 100% tukishatoka kupewa Kichapo cha uhakika

    Na ninasisitiza tena sina Chuki nae kama Mwanahabari mwenzangu, ila simkubali kwakuwa ninamjua ni Yanga SC 100%.
Back
Top Bottom