katuni

  1. S

    Katuni za Watu wazima zinapatikana Tanzania tu,

    Yaani kama umeshavuka miaka 25 basi kuangalia Tom & Jerry inakuwa ni vioja na kuonekana mtu wa ajabu sana,bado hujakua.Ila kama unataka kufurahi kama enzi zile basi angalia viongozi wa Tanzania wanapozungumza ,wawe wa serikali au wa vyama vya siasa,hata huko kweny vyuo au hata wale maprofesa...
  2. Red Giant

    Madhara ya katuni kwa watoto

    Kwa sisi Waafrika, katuni na movies zina madhara makubwa sana kwa watoto. Kwenye movies na katuni asilimia kubwa ya heroes ni wazungu. Hili suala huwa linamjenga mtoto kisaikolojia kwamba wenye uwezo, wenye maadili, wazuri na wenye sifa zingine nzuri ni wazungu. Hili linamfanya asijithamini...
  3. Point less

    Natafuta muvi kali zenye sifa kama hizi!

    Kwanza ziwe za kuchekesha Pili ziwe za kutisha Tatu ziwe za maajabu Nne ziwe na mkono wa kufa mtu Kusiwe na huzuni kwenye muvi hiyo Na pia kama katuni pia napendelea Naombeni tafadhali NA PICHA ZAKE IKIWEZEKANA
  4. Father of All

    Unajifunza nini toka kwenye katuni hii?

  5. B

    Kipanya na Katuni hii, aliona Mbali

    Pigisha hata kura ya maoni ulipo au hata katika ulio nao karibu: Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Kibonzo hapa kina hoja nzito.
  6. OKW BOBAN SUNZU

    Kushikiliwa kwa Fwema: Umoja wa wachora katuni waonya

    My Take 1. Je, tuseme hii ni serikali ya mkono wa chuma na tuanze maombi ya kupata serikali ya awamu ya 7? My Take 2. Akitiwa nguvuni mtu mmoja kiajabu-ajabu basi tuungane wote kukemea. Sio kusubiri mpaka yawakute. Watu wa media mmekuwa wanafiki sana.
  7. USSR

    Masoud Kipanya alimaanisha nini kwenye mchoro huu?

    Nimeona mchoro huu nikajiuliza aliwaza nini kabla ya mdau kutoa ufafanuzi wake, Kama iko vivyo mdau alivyosema basi Kipanya ametukosea Sana watanzania, mtu akifa aachwe afe. Kusema Samaia anajifunza ya JPM ni kukosea sana hasa ukisema anajifunza mabaya tu. USSR
  8. Gordian Anduru

    Aliyeilewa katuni hii ya KIPANYA

  9. Equation x

    Anahitajika mtengenezaji wa video za katuni (animation)

    Habari wakuu, Anahitajika kijana mchapakazi mwenye ujuzi wakutengeneza video za katuni (animation). Kama una hicho kipaji,tengeneza 'clip' yenye maudhui yafuatayo na utume kwenye email: businessideas2f@gmail.com ,mwisho wa kutuma ni tarehe 30/09/2021; malipo kwa mwezi yataanzia 250,000/=...
  10. S

    Tukio la kurushiana risasi kati ya Polisi na Mtu asiejulikana: Nasubiri katuni ya Masoud Kipanya

    Hili tukio limetokea katika kipindi ambacho kuna tuhuma fulani fulani kwa mtu/watu fulani hivyo nawaza mengi sana. Teyari mitandaoni kuna madi kuwa yule mtu alieuwa alikuwa anatamka maneno fulani, maneno yanyoweza kabisa kubadili sura ya hili tukio iwapo ni ya kweli na kuna uthibitisho wa video...
  11. Mmawia

    Masoud Kipanya na taswira ya viongozi wetu wabadhirifu

    Yule msanii nguri ameendelea kuonyesha uzareeendo wake kwa watanzania . Wametuwekea picha inayo waonyesha viongozi wetu wa serikali jjnsi wanavyo jipatia mapato haramu na kuishi maisha ya kifahari. Tazameni wenyewe hiyo picha ndiyo tutaelewana.
  12. Shujaa Mwendazake

    Katuni ya Kingo na Tafsiri rahisi ya kivuli kirefu cha madaraka ya Rais

    Hii ndo tafakari niliyoielewa toka kwa bwana Magiri. Je, ni nini unachokiona kutoka kwa mchoro huu wa Bwana Kingo?
  13. Political stability

    Masoud Kipanya anamaanisha nini hapa?

    Alikuwa ana maana gani, kwenye hii cartoon Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
  14. T

    Sinema (movie) za Vichekesho za watoto ambazo sio Katuni

    Wadau naomba msaada wa kujua sinema (movie) za vichekesho za watoto kuanzia miaka 3, ambazo si za vibonzo (katuni). Endapo zipo nyingine nzuri za katuni unakaribishwa pia kunipa msaada. Ila ningependa kuzijua zaidi ambazo si za katuni.
  15. Nafaka

    Yuko wapi Dr. Levy mchoraji wa Katuni ya Baba Ubaya na mwimbaji wa Wimbo wa Kura yangu?

    Huyu jamaa alikuwa ndiye mchoraji wa katuni maarufu ya baba ubaya kwenye Gazeti la Kiu kabla ya kuacha kazi na nafasi yake kuchukuliwa na mtu mwingine. Sijui kama hili gazeti bado lipo mtaani? Alikuwa rafiki yake Sugu, na nakumbuka alitoa kibao mwanana kinachojulikana kama Kura yangu. Kilikuwa...
  16. Cicadulina

    Ipe maneno matatu katuni hii

  17. Replica

    Uchaguzi 2020 Tume ya Uchaguzi yatupilia mbali mapingamizi ya Tundu Lissu. Magufuli na Lipumba ni wagombea halali

    Mkurugenzi wa Uchaguzi: Tume ya uchaguzi baada ya kupokea pingamizi dhidi ya wagombea hao, imewataarifu wawekewa pingamizi mapema iwezekanavyo na wahusika wamewasilisha utetezi wao. Pingamizi dhidi ya mgombea wa CUF kwamba hakurudisha fomu kwa mujibu wa masharti yaliwekwa na sheria, tume baada...
  18. Hashpower7113

    Gene Deitch: Mvumbuzi wa katuni za Tom and Jerry aliyekufa na utajiri wa kutisha

    Na Hash Power Kuna msemo mmoja kwamba ukipenda kazi unayoifanya, lazima ufanikiwe maishani mwako! Gene Deitch, ni miongoni mwa mifano inayoishi ya jinsi kujituma, kupenda unachokifanya na kuelekeza nguvu zako kwenye hicho kitu, kunavyoweza kukutoa maishani. Yawezekana jina la Eugene Merril...
  19. Chief Kabikula

    Katuni Hii Inafikirisha Sana, ina Ujumbe Mzito

    Jionee mwenyewe.
Back
Top Bottom