kibu

In the mythology of the Mabuiag people of the Torres Strait, Kibu is the mythical land of the dead, believed to exist over the horizon far to the west. The correct full term is Kibukuth Horizons End. The basic meaning of the word kibu is midpoint of an upright broad object, such as small of back, mid-slope of a hill, and horizon, which is the midpoint of the universe, between the bottom part which is the earth (apagœwa lower-ground, or arkath pit), and the top half, which is the sky (dapar). The reference to Kibu, the land of the markai (the spirits of people who have travelled to Kibu after death) is a specialised, religious use of the word. Traditional Torres Strait religion can be characterised as totemic and ancestor worship, and as such the markai are the ancestors, and are specially revered. The ancestors are with the augadh totem, and the augadh generates the buwai clan/moiety, and the markai ultimately has a direct relationship to the augadh, though not necessarily being seen as being the augadh.
In the traditional mythology, the world (arkath hole, apagoewa underfurrow/ditch/garden) is at the bottom of a sphere, with the sky (dapar) above and around it. The markai live in Kibu, the main gateway of which is in the west (Kibukuth Horizons End). However, the markai often come back to visit. The land of the markai actually surrounds the world, so markai can be seen passing from east to west as well as west to east, coming down from the sky, and sometimes even coming up from under the ground via Apangab Netherway, Underway, the mythical pathway under the earth used by markai and others, such as dhogai long-eared witch women, maidhalaig magic-men, and others to travel under the earth and the sea from place to place.
Before becoming markai, the spirit of the dead person is called mari. Mari are the spirits of the dead who have not yet passed to the other side. The passage to the other side is made on the sand banks just west of Boigu, in north-west Torres Strait. At Boigu, the mari either leave a sign or otherwise talk to the mariumulaimoebaig spirit talker, to let people know how he or she died, and if he or she was murdered (and if so, who killed them). This is done where the cemetery is at Boigu, just west of the village.
In the passage over to the other side, at the sandbanks west of Boigu, the mari, which is black (kubikub) just as in life, becomes white (gamulnga) (this is a belief common to many Pacific and Australian peoples). Therefore, when Asians and Europeans visited Torres Strait, they were at first believed to be markai returning. In the modern language, markai is still often used to refer to Europeans, though no longer to Asians. However, this is considered to be impolite, and the correct term is either Yurupau Moebaig European or Gamulmoebaig (Light) Coloured Person. One favourite means of transport of the markai is the markaigub spirit wind, that is to say, waterspouts, which appear in the North-West Monsoon season, the favorite time for the markai to come to Torres Strait. As this was the season the Makkasarese and similar Indonesian fishermen came to Northern Australia, they were associated with the markai.

View More On Wikipedia.org
  1. Wakala wa Mpanzu acha kutumika, Kibu Dennis Simba imekulea acha hayo mambo

    Huyu wakala aache kusumbua eti kufikia ijumaa saa 10 installment yapili iwe imefanyika, kwanini ijumaa? Nani kamwambia kuwa hatalipwa? Aache uswahili. Na wewe rasta hutaki kwenda mazoezini kisa bonus uchwara, wanaokwenda wao hawana akili au tulikosea kukudhamini uraia? Hebu ukue basi.
  2. Wakili Madeleka ukipeleka mahakamani suala la uraia wa wachezaji SBS Usisahau Kibu wa Simba

    Wakili Madeleka ametangaza Nia yake kumpeleka pingamiza mahakama ya uraia wa wachezaji 4 wa Singida Black Stars ambao walipewa uraia wa Kimagumashi Nakukumbusha Madeleka huu uhuni watangulizi wake ni Simba na hapa Singida waliiga Kibu anadai alikuwa nchini Toka zamani mwaka 1998, lakini Kibu...
  3. L

    Wanasimba Tuache kuwakatisha tamaa wachezaji wetu,tuwe na subira,mmemuona Kibu?

    Leo hii KIBU D kawa mchezaji Bora kabisa katika Klabu yetu.kawa muokozi,mleta faraja,mkombozi na mfunga magoli muhimu. Lakini Kibu huyuhuyu miaka miwili iliyopita hakuna tusi aliacha kutukanwa. Kibu alilaumiwa na analaumiwa kwa kufunga goli moja TU msimu mzima na kutofungq kabisa katika...
  4. M

    Kibu Dennis amebadilika sana, hawezi kuendelea kucheza Simba msimu ujao

    Simba sasa hiv inabebwa sana na Kibu Dennis, huyu mwanaume amefika hapa kwa sababu ya zomea zomea yetu mashabiki wa Simba kwake, alikuwa akifanya makosa mengi sana kiasi kwamba tulidhani hastahili kuchezea Simba, nayakumbuka sana maneno ya Mzee Magori alipomzungumzia mchezaji huyo wakati...
  5. Kibu Denis arejea na kusafiri na Kikosi cha Simba SC kuwafuata Singida Black Stars

    Kibu Denis ni miongoni mwa wachezaji walioungana na kikosi cha timu yao jioni hii kuelekea Singida kwa ajili ya mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Singida Black Stars. Kibu alikosa michezo miwili ya awali dhidi ya Kagera Sugar na JKT Tanzania kufuatia safari ya kushughulikia matatizo ya...
  6. Siku ilikuwa nzuri mpaka Kibu alipokuja iharibu

    Ilikuwa inaelekea mwisho mzuri. Huyu dogo Kibu Denis akaja iharibu mwishoni kabisa. Simba kutoa draw ingenifanya nifurahie sababu wote sisi tungekuwa hakuna wa kumcheka mwenzie. Lakini. Dk za jioni Kibu Denis anakuja kuipatia simba bao la ushindi. Sikupenda na sikufurahishwa. Ila nikubali...
  7. K

    Kibu na Ukandaji Kimataifa

    Kibu hajaimbwa sana kwenye ligi ya NBC..! Wachambuzi hawamuoni ama wanajifanya hawamuoni. ' Role ' anayoivaa kwenye Mechi Muhimu za Kimaamuzi za Kimataifa ndizo zinazomfanya awe 'distinct'..! Rejea Mechi Ya Al Ahly Tripoli alivyoilainisha Mechi kwa Bao lake Maridadi La Tick taka .! Isingekuwa...
  8. Kibu Denis afunguka baada ya kuibeba klabu yake ya Simba mechi na CS Sfaxien

    Kibu Denis amefunguka baada ya kuibeba klabu yake ya Simba kwa kufunga magoli kwenye mechi na CS Sfaxien
  9. Kibu Denis aibuka shujaa kwa Mkapa, CS Sfaxien wapagawa na kumpiga Refa dakika za jioni

  10. K

    KIBU DENIS a.k.a KASONGO " NGILI" iwekwe namba yake hapa tumpe pesa

    Kibu ameheshisha taifa , tumpongeze
  11. Hatimaye Kibu Denis amaliza msimu wake mapema kabisa

    Baada ya kiwango kizuri alichoonesha siku ya leo akiisaidia timu yake kupata goli la kusawazisha akifunga yeye mwenyewe na mechi kumalizika kwa jumla ya magoli matatu kwa moja. Sasa ndio Kibu Denis amemaliza msimu. Hii inatokana na kuwa na kawaida ya kufunga goli moja kila msimu na kisha kuja...
  12. Kwa hili la Kibu Denis viongozi wa simba mtaendelea kupandwa vichwani na wachezaji

    Viongozi wa Simba wanaendelea kufanya makosa yale yale Kila mara na awabadiliki! Kibu Denis kwa kitendo alichokifanya alistahili adhabu ya maana na asingeruhusiwa kujiunga na wenzake kwenye mazoezi, angetumikia kwanza adhabu yake ili liwe fundisho kwa wengine, lakini Cha ajabu kibu anaonekana...
  13. Kwa kumuacha huku Onana hapa sasa tumeenda sawa na Kunifurahisha, ila naomba Kibu Denis apewe Adhabu Kali au aombe Radhi leo kwa Mkapa

    Ujio wa kipa mpya kutoka Guinea, Moussa Camara 'Spider' umemfanya winga wa Simba, Willy Onana kung'oka Msimbazi baada ya taarifa kuvuja kuwa yeye ndiye anayempisha kipa huyo aliyetua kuziba nafasi ya Ayoub Lakred aliyeumia kambini Misri. Taarifa ambazo Mwananchi tangu awali ilishazidokeza...
  14. Kibu Denis leo amefanya mazoezi na wachezaji wenzake kuelekea Simba Day

    Mchezaji wa Simba SC Kibu Denis leo ameonekana katika mazoezi na timu yake akiendelea kujiweka sawa kuelekea katika kilele cha Simba day itakayo fanyika kesho. Kibu awali hakuoneka akijiunga na wachezaji wezake wa Simba wakati wakijiandaa na msimu mpya. Na tetesi zilizokuwepo ni kuwa alikiwepo...
  15. Safi sana Uongozi wa Simba SC kwa 'Kumkomoa' hivi Kibu Denis

    Klabu ya Simba SC ( kupitia Msemaji wake ) imesema kuwa kwa Klabu yoyote ambayo inamtaka Kibu Denis basi Dau la Kumsajili ni Dola za Kimarekani Bilioni Moja tu. Si mnajifanya Wajanja kwa kutaka aende Norway kwa muda kisha Dirisha dogo arejee Kwenu Mafurikoni sasa Price Tag yake ni Dola hizo za...
  16. Kibu Denis atapanya zaidi ya milioni 200 Ulaya akisaka timu, aangukia pua! Awaomba radhi Simba

    Hivi vilabu kuna vizee vina midomo michafu,vikikuombea dua baya hutoboi kama hauko vizuri. Ukitaka kumchokoza mtu wa Kigoma muite Mrundi,atakypiga ngumi,watu wa Burundi wana stress muda wote,wana msongo wa nawazo,wanawaza vita,wanawaza kutorokea ulaya kama wakimbizi. Kibu Denis ana jinamizi au...
  17. Shairi: Twakuita Kaka Kibu

    TWAKUITA KAKA KIBU, CHONDE TWATAKA MAJIBU Mara upo Marekani, Mara upo kijijini, Mara haupo kambini, Hatukuoni ndegeni, Twakuita kikosini, Sasa upo nchi gani? TWAKUITA KAKA KIBU, CHONDE TWATAKA MAJIBU. Maokoto, nyumba pia, Vyote tulikupatia, Bado umetukimbia, Pesa hatutapokea...
  18. Yametimia: Hatimae Kibu Denis azungumzia sakata lake na Klabu ya Simba

    Kwenye mkataba wa Kibu Denis na SimbaSC kuna kipengele walichokubaliana kuwa, akipata timu Ulaya aruhusiwe kuondoka. Kipengele hicho ndicho kinampa uhakika na jeuri ya kuondoka katika klabu ya Simba. ℹ️ Klabu ya Kristiansund BK imeandika barua rasmi kwenda Simba SC ili kumnunua mchezaji huyo...
  19. Simba sc katika harakati za kumtafuta kibu d #ubaya_ubwela

  20. Kibu Denis amkataa meneja wake rashid/ atoa cheche "simjui, tulimalizana"

    Msikie alichokizungumza Mchezaji wa Simba Kibu D baada ya sitofahamu inaendelea kati yake na Klabu yake na Simba Ambapo hapa ameeleza kila kitu na kumuhusu Meneja wake ambaye ndiye alikuwa anatoa taarifa zake
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…