kibu

In the mythology of the Mabuiag people of the Torres Strait, Kibu is the mythical land of the dead, believed to exist over the horizon far to the west. The correct full term is Kibukuth Horizons End. The basic meaning of the word kibu is midpoint of an upright broad object, such as small of back, mid-slope of a hill, and horizon, which is the midpoint of the universe, between the bottom part which is the earth (apagœwa lower-ground, or arkath pit), and the top half, which is the sky (dapar). The reference to Kibu, the land of the markai (the spirits of people who have travelled to Kibu after death) is a specialised, religious use of the word. Traditional Torres Strait religion can be characterised as totemic and ancestor worship, and as such the markai are the ancestors, and are specially revered. The ancestors are with the augadh totem, and the augadh generates the buwai clan/moiety, and the markai ultimately has a direct relationship to the augadh, though not necessarily being seen as being the augadh.
In the traditional mythology, the world (arkath hole, apagoewa underfurrow/ditch/garden) is at the bottom of a sphere, with the sky (dapar) above and around it. The markai live in Kibu, the main gateway of which is in the west (Kibukuth Horizons End). However, the markai often come back to visit. The land of the markai actually surrounds the world, so markai can be seen passing from east to west as well as west to east, coming down from the sky, and sometimes even coming up from under the ground via Apangab Netherway, Underway, the mythical pathway under the earth used by markai and others, such as dhogai long-eared witch women, maidhalaig magic-men, and others to travel under the earth and the sea from place to place.
Before becoming markai, the spirit of the dead person is called mari. Mari are the spirits of the dead who have not yet passed to the other side. The passage to the other side is made on the sand banks just west of Boigu, in north-west Torres Strait. At Boigu, the mari either leave a sign or otherwise talk to the mariumulaimoebaig spirit talker, to let people know how he or she died, and if he or she was murdered (and if so, who killed them). This is done where the cemetery is at Boigu, just west of the village.
In the passage over to the other side, at the sandbanks west of Boigu, the mari, which is black (kubikub) just as in life, becomes white (gamulnga) (this is a belief common to many Pacific and Australian peoples). Therefore, when Asians and Europeans visited Torres Strait, they were at first believed to be markai returning. In the modern language, markai is still often used to refer to Europeans, though no longer to Asians. However, this is considered to be impolite, and the correct term is either Yurupau Moebaig European or Gamulmoebaig (Light) Coloured Person. One favourite means of transport of the markai is the markaigub spirit wind, that is to say, waterspouts, which appear in the North-West Monsoon season, the favorite time for the markai to come to Torres Strait. As this was the season the Makkasarese and similar Indonesian fishermen came to Northern Australia, they were associated with the markai.

View More On Wikipedia.org
  1. William Mshumbusi

    Kibu Denis mamilion ya Simba yamemchanganya anahiyaji msaada wavushauri nasaha mapema yasimkute ya Mwisho Mwampamba au Idrisa Sultan

    Huwezi kumwekea milion 200 kijana aliyekulia kambi ya wakimbizi bila kumuongoza. Kibu anahitaji washauri kabla ya kuwekewa mzigo kama ilivyo kwa Aziz ki au kijana yoyote kama Feitoto. Wote mnamuita Mama au Baba mnamshauri nini afanye. Madhara ya starehe na kilakitu ndio mnaweka mzigo...
  2. Majok majok

    Sakata la Kibu Denis na Simba linanifikirisha, kwanini mchezaji anajiamini kiasi hiki?

    Ninapata mashaka sana kwenye hiki kinachofanywa na KIBU DENIS, kwanini ANAJIAMINI sana na kufanya mambo ya ajabu namna hii? Mchezaji umesaini mkataba mpya ata mwezi aujaisha alafu unagoma makusudi kujiunga na Kambi ya timu yako na unajua kabisa Sheria zinazoongoza mpira duniani zilivyo unapataje...
  3. Shooter Again

    Wajinga ndio waliwao, aisee Simba ni mbumbumbu

    Aisee katika klabu mbumbumbu ni Simba yaani Kibu Denis msimu uliopita alifunga goli Moja yenyewe yakakurupuka yakampa mkataba na million 400 baada ya kusikia Yanga wanamhitaji. Kilichofuatia ni kilio unaambiwa Kibu hayupo nchini yupo zake Norway ameomba ukimbizi amekimbilia huko na kasema...
  4. SAYVILLE

    Nilitabiri Denis Kibu atakuja kucheza Ulaya na kuwafunga midomo

    Kutokana na sintofahamu na tetesi zinazoendelea kuhusiana na Denis Kibu (mpaka leo sielewi kwa nini watu wanamuita Kibu Denis badala ya Denis Kibu lakini hilo tuliache kwa leo), nimekumbuka kauli yangu niliyowahi kuitoa kuhusu future yake. Niliwahi kusema kuweni na akiba ya maneno, kuna siku...
  5. ngara23

    Nitachukia kama Yanga watashiriki kumrubuni Kibu na baadae kumsajili

    Nimeona mitandaoni ati team yangu ya Yanga ndo wanacheza hizi drama za kumrubuni Kibu ili kumsajili. Huu sio weledi ni jambo baya na uhuni. Sisi ni watu tushindane katika uhalali sio dhuluma. Kibu aache mambo ya ajabu akatumikie team yake Simba. Simba wamempa heshima wakampa mkataba na kalipwa...
  6. Best Daddy

    Kibu kuisumbua Simba, Taswira mbaya kwa timu

    Moja ya nguvu kubwa ya binadamu aliyopewa ni uwezo wa kufanya chaguo(Choices). Japo knowledge yangu bado ni limited, ili sina imani kama hata malaika wamepewa nguvu ya kufanya machaguo kama alivyopewa mwanadamu. Unaweza kuamua hata sasa kufanya mabaya au mema, kujenga au kubomoa, kuishi au kutoa...
  7. GENTAMYCINE

    Uongozi wa Simba SC tunaomba Taarifa za wapi alipo sasa Kibu Denis

    Na mlituaminisha muda tu kuwa mmeshamalizana nae sasa ni kwanini hata Kambini katika Pre Season wala hayuko?
  8. M

    Chama, Kibu na Mickson kama wako vizuri wacheze vs KMC, gemu ni ngumu sana hiyo viongozi wa Simba

    Michi vs KMC ni ngumu, ili tuwabamize mabao 5 ni lazima tuwenna quality players, Ile mechi ya Jana vs Geita angekuwepo Chama, Kibu ambaye alikuwa majeruhi na Mickson wangeweza kuibuka na hata mabao 6 jana, hawa akina Balua bado utoto na uchale mwingi, Jana kama Onana angeanza angalau na yule...
  9. S

    Kibu Denis Kuikamua Simba Milioni 760

    Kibu Denis amesaini mkataba wa miaka 2 kuendelea kusalia simba kwa Ada ya usajili ni milioni 350, mshahara wa 15 na Gari yenye thamani ya milioni 50. Kibu jumla atakusanya milioni 760 ndani ya miaka 2, kama pesa za usajili, mshahara pamoja na gari.
  10. L

    Kama Mgunda anaokoteza wachezaji na anapata matokeo angekuwa na akina Babacar, Chama, Kibu, Saido ingekuwaje?

    Nimejaribu kuangalia mechi ya Simba na Namungo kule Ruangwa ambako nilikwenda kushuhudia live mtanange huo, nikaangalia Simba vs Mtibwa na jana Simba vs Tabora naona wachezaji wanaotumika ni wa kawaida mno lakini Simba inapata matokeo chini ya Mgunda, kwa mfano kule Namungo nilivyoona listi na...
  11. Mkalukungone mwamba

    Rais wa Yanga atangaza atakavyo watambulisha Chama na Kibu

    Rais wa Yanga atangaza atakavyo watambulisha Chama na Kibu Rais wa Yanga amesema watamtambulisha mchezaji mpya ambapo kwa taarifa za ndani ni kati ya Kibu au Chama kabla ya msimu huu kutamatika Ameyasema hayo katika live ilikuwa katika page ya Instagram ya Ali Kamwe jana jioni ambapo wameacha...
  12. Mkalukungone mwamba

    Kibu analeta sanaa ya mpira kama walifanya wakina Fei na Dube, Simba wajiandae kwa lolote

    Kibu analeta sanaa ya mpira kama walifanya wakina Fei na Dube, Simba wajiandae kwa lolote Kiungo mshambuliaji wa Simba sc Kibu Densi amegoma kusaini mkataba mpya akiwa ameweka vikwazo vingi kwa viongozi wa Simba. Na inavyoonesha Kibu aonekana ana ofa kubwa zaidi nje ya mipaka ya Tanzania...
  13. L

    Wale wale wahuni waliopo nje ya mfumo wa Simba wanampandisha mabega Kibu ili wale 10%

    Lile kundi la wahuni ambalo liko nje ya mfumo ndani ya klabu ya mnyama ambalo limesababisha uongozi ushindwe kufikia malengo kwa kuharibu mipango na mikakati yote ya uongozi wa Simba limeanza usanii, utapeli, hadaa na wizi waziwazi. Wao ndio walimleta Kibu ndani ya Simba na kwa vile Kibu...
  14. D

    Wewe ndo Kibu Denis, una offer ya 30k usd per month na signing fee ya 300k usd. will you sign?

    I will be short Simba since last season wamepata offer nyingi za kibu denis wamegoma kuchukua hela. contract yake inaisha wanataka kumpa new contract then wamuuze kwa faida. maana kuna over 600k usd to 1 m usd for kibu denis. simba wanatoa 500 million contract. He is leaving for free. end of...
  15. mdukuzi

    Sijawahi kusikia mtu akisema Kibu Denis snajua mpira,bali husema anajituma sana

    Hii huwa inanishangza,je mpira ni kipaji au kujituma? Kibu ana kipaji au anajituma Utaambiwa anajituma
  16. ward41

    Kibu Dennis hana maarifa ya mpira

    Kibu Dennis anajichosha tu na mikimbio yake, maarifa kidogo Sana. Kwa haraka anaonekana kwamba ana bidii lakini ni mchezaji mbovu Gwede haonekani Sana lakini ana maarifa makubwa. Gwede anabadilisha matokeo muda wowote. Hana mengi uwanjani Ila jamaa ana target sana.
  17. Mr mutuu

    Kibu Denis anakaza anapokutana na Yanga tu

    Huyu jamaa ni tapeli sana, anajua mashabiki wa Simba ni bendera fata upepo na hawana maarifa hivo kaamua kuwaingiza kwenye mfumo wake Jamaa ye mechi anazokaza ni vs yanga tu maana anajua akipiga hata goli Moja watamsifia msimu mzima, haiwezekani msimu mzima kibu Kila mechi anacheza alafu ana...
  18. J

    lets be real, Mzize is just another Kibu Denis

    Iko hivi i will be short. mzize ni copy paste ya kibu denis. worthless in front of the goal. ila kwenye swala la mikimbio yupo vyema sana. my views kwa mzize 1. Mzize ni useless player in striking force sema Yanga sijui wanamuona ana nini? statistics zinanibeba kwenye hili. 🚮🚮 ni kibu...
  19. mdukuzi

    Kocha wa Al ahly asema anamtaka Kibu Denis kuziba nafasi ya Percy Tau

    Sio maneno yangu bali ya kocha wa Al ahly,msikilize hapa
  20. LIKUD

    Said Mwamba Kizota has come back to life as Kibu Dennis and Mohamed Mwameja has come back to the pitch as Djigui Diarra

    Said Mwamba Kizota ni nani? Said Mwamba Kizota ni mchezaji bora kabisa wa wakati wote, wa mpira wa miguu kutoka Tanzania. Nikiambiwa nimtaje mchezaji mmoja alie wapi kucheza mpira wa Tanzania ambae ndio bora kabisa kuliko wachezaji wote basi kwa haraka sana nitamtaja Said Mwamba Nassoro Kizota...
Back
Top Bottom