kidato cha sita

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. demarine

    Shule 10 bora matokeo kidato cha sita 2021 hizi hapa

    Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) limetangaza matokeo ya kidato cha sita mwaka 2021 na kutaja shule kumi bora zilizofanya vizuri katika mtihani huo. Akizungumza leo Jumamosi Julai 10, 2021 visiwani Zanzibar wakati akitangaza matokeo hayo, Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani Tanzania...
  2. Shujaa Mwendazake

    Matokeo ya kidato cha sita na ualimu 2021 haya hapa

    Fuata hiyo Link ya Serikali: https://matokeo.necta.go.tz/
  3. rakeyescarl

    Njia ipi ni njema kidato cha sita au chuo kwa mtoto anayetaka kusomea tiba? Amemaliza kidato cha 4.

    Mtoto wangu alifaulu vizuri sana kidato cha 4 na kwenda shule nzuri sana kidato cha 6 na tukakubaliana kuwa akimaliza kidato cha 6 atakwenda chuo bara lolote anapotaka yeye. Ghafla baada ya muhula wa kwanza akabadirika anasema anataka kwenda kwenye chuo kiko SA. Na amekwishajaza makaratasi na...
  4. KIBEBENYEKE

    Nimemaliza kidato cha sita mwaka 2020 ila sijachukua cheti changu cha shule nahitaji kuomba mkopo je natakubaliwa bila kuambatanisha cheti hicho

    Nimemaliza kidato cha sita mwaka 2020 nahitaji kuomba mkopo mwaka huu je nitakubaliwa bila kuambatanisha cheti changu cha kidato cha sita maana shule niliyotoka nadaiwa ada.
  5. G Sam

    DC mteule ndugu "Mchopanga" alisoma shahada ya kwanza bila kuwa na matokeo ya kidato cha sita licha ya kuisoma kwa miaka mitatu

    Niliposoma gazeti la MWANANCHI la leo ni kuwa yupo DC mmoja mteule ambaye anatokea kwenye tasnia ya wasanii ambaye alienda nchini India kwenye chuo kikuu cha Bangalore akisomea shahada ya kwanza kwenye mambo ya sanaa huku matokeo yake ya kidato cha sita yakiwa hayajatoka. Kwa mujibu wa gazeti...
  6. Kifaru TANZANIAN

    Msaada: Shule zenye Kidato cha Sita zinazotoza ada chini ya 900,000 mchepuo wa HGL

    Jamani kwa wanaojua shule za advance za bei nafuu under 900000, HGL naomba msaada sina ada ya shule za gharama.
  7. Mr. Purpose

    Fursa kwa wamiliki wa stationary, shule, wanafunzi, waalimu na wadau wa elimu

    Habari wakuu, ni matumaini yangu mko vizuri. Leo nimewaletea fursa kwa wale wamiliki wa stationary, wamiliki wa shule au taasisi za kiellimu, wanafunzi kuanzia shule za msingi hadi kidato cha sita na hata wazazi pia wanaweza nufaika. Upatikanaji wa material ya kujisomea kwa wanafunzi umekuwa...
Back
Top Bottom