kidemokrasia

The Democratic Republic of the Congo (DRC) (pronunciation French: République démocratique du Congo (RDC) [kɔ̃ɡo]), also known as Congo-Kinshasa, DR Congo (French: RD Congo), the DROC, the DRC, or simply either Congo or the Congo, and formerly Zaire, is a country in Central Africa. It is, by area, the largest country in sub-Saharan Africa, the second-largest in all of Africa (after Algeria), and the 11th-largest in the world. With a population of around 105 million, the Democratic Republic of the Congo is the most populous officially Francophone country in the world, as well as the third-most populous country in Africa (after Nigeria and Ethiopia) and the 14th-most populous country in the world. It is a member of the United Nations, Non-Aligned Movement, African Union, and COMESA. Since 2015, the Eastern DR Congo has been the site of an ongoing military conflict in Kivu. The capital and largest city is Kinshasa.
Centered on the Congo Basin, the territory of the DRC was first inhabited by Central African foragers around 90,000 years ago and was reached by the Bantu expansion about 3,000 years ago. In the west, the Kingdom of Kongo ruled around the mouth of the Congo River from the 14th to 19th centuries. In the northeast, center and east, the kingdoms of Azande, Luba and Lunda ruled from the 16th and 17th centuries to the 19th century.
In the 1870s, just before the onset of the Scramble for Africa, European exploration of the Congo Basin was carried out, first led by Henry Morton Stanley under the sponsorship of Leopold II of Belgium. Leopold formally acquired rights to the Congo territory at the Berlin Conference in 1885 and declared the land his private property, naming it the Congo Free State. During the Free State, his colonial military unit, the Force Publique, forced the local population to produce rubber. From 1885 to 1908, millions of Congolese people died as a consequence of disease and exploitation. In 1908, Leopold, despite his initial reluctance, ceded the so-called Free State to Belgium, thus it became known as the Belgian Congo.
Congo achieved independence from Belgium on 30 June 1960 under the name Republic of the Congo. Congolese nationalist Patrice Lumumba was elected the first Prime Minister, while Joseph Kasa-Vubu became the first President. During the Congo Crisis, Joseph-Désiré Mobutu, who later renamed himself Mobutu Sese Seko, officially came into power through a coup d'état and renamed the country Zaire in 1971. The country was run as a dictatorial one-party state, with his Popular Movement of the Revolution as the sole legal party. By the early 1990s, Mobutu's government began to weaken. Destabilisation in the east resulting from the 1994 Rwandan genocide led to a 1996 invasion led by Rwanda, which led to Mobutu's ousting in the First Congo War the following year.Laurent-Désiré Kabila then became the new president, reverting the country's name to the Democratic Republic of the Congo. Tensions between President Kabila and the Rwandan and Tutsi presence in the country led to the Second Congo War from 1998 to 2003. Ultimately, nine African countries and around twenty armed groups became involved in the war, which resulted in the deaths of 5.4 million people. The two wars devastated the country. President Laurent-Désiré Kabila was assassinated by one of his bodyguards on 16 January 2001 and was succeeded eight days later by his son Joseph, under whom human rights in the country remained poor and included frequent abuses such as forced disappearances, torture, arbitrary imprisonment and restrictions on civil liberties according to NGOs. Following the 2018 general election, in the country's first peaceful transition of power since independence, Kabila was succeeded as president by Félix Tshisekedi, who has served as president since.The Democratic Republic of the Congo is extremely rich in natural resources but has suffered from political instability, a lack of infrastructure, corruption, and centuries of both commercial and colonial extraction and exploitation with little widespread development. Besides the capital Kinshasa, the two next largest cities, Lubumbashi and Mbuji-Mayi, are both mining communities. The DRC's largest export is raw minerals, with China accepting over 50% of its exports in 2012. In 2019, DR Congo's level of human development was ranked 175th out of 189 countries by the Human Development Index. As of 2018, around 600,000 Congolese have fled to neighbouring countries from conflicts in the centre and east of the DRC. Two million children risk starvation, and the fighting has displaced 4.5 million people.

View More On Wikipedia.org
  1. Lycaon pictus

    Taasisi yoyote makini haiwezi kujiendesha kidemokrasia

    Duniani Taasisi yoyote ile iliyo makini haiwezi kukubali kuendeshwa kidemokrasia. Taasisi inayotaka kuwa imara haiwezi kuendeshwa kidemokrasia. Ndiyo maana majeshi hayaendeshwi kidemokrasia. Yanaendeshwa kwa uwezo. Katika nchi nyingi majeshi ndiyo huwa taasisi zenye ufanisi zaidi. Angalia...
  2. Lycaon pictus

    Kwanini Umoja wa Mataifa hauendeshwi kidemokrasia?

    Nchi kubwa kubwa kama Marekani, Uingereza na Ufaransa hupigia sana kelele na kuhubiri uzuri wa demokrasia, na hasa wakishinikiza nchi changa zifuate demokrasia. Lakini watu hao hao hawataki taasisi kubwa zaidi duniani, Umoja wa mataifa iendeshwe kidemokrasia. Nchi hizo pamoja na Russia na China...
  3. M

    SoC03 Tanzania: Katiba Mpya sio 'Tatizo', Viongozi wetu wanapatikanaje?!

    Miongoni mwa udhaifu mkubwa wa mfumo wa demokrasia ni nadharia yake ya 'wengi wape'. Nadharia maarufu ya utawala inayotaka kiongozi achaguliwe na kundi kubwa la watu bila kujali wasifu au uwezo wa watu hao kwenye kuchambua ubora wa kiongozi wanayemtaka. Viongozi wengi wanaofanikiwa kuingia...
  4. O

    Balozi Karume amechokonoa ustaarabu wa kidemokrasia

    Kihistoria, Afrika baada ya ukoloni, karibu kila nchi ilipitia hatua tatu. Hili limewekwa sawia na mwanazuoni mzawa wa Ghana, anayeishi Afrika Kusini, Profesa Kwesi Prah. Andiko la Profesa Prah “Multi-Party Democracy and It’s Relevance in Africa” – “Demokrasia ya Vyama Vingi na Uhusika wake...
  5. Mwl.RCT

    SoC03 Tofauti Kati ya Kiongozi Bora na Mtawala Mbaya: Sifa za Uongozi wa Kidemokrasia na Utawala wa Kiimla

    TOFAUTI KATI YA KIONGOZI BORA NA MTAWALA MBAYA: SIFA ZA UONGOZI WA KIDEMOKRASIA NA UTAWALA WA KIIMLA Imeandikwa na: MwlRCT UTANGULIZI Katika historia ya binadamu, kumekuwa na watu waliopewa jukumu la kuongoza na kutawala jamii zao. Hata hivyo, si kila mtu aliyekuwa na jukumu hilo alikuwa na...
  6. B

    Benki ya CRDB yapata leseni kufanya biashara Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC)

    Kinshasa DRC 2 Mei 2023 – Benki Kuu ya Congo (BCC) imeipatia leseni ya kufungua kampuni tanzu nchini humo Benki ya CRDB. Leseni hiyo imekabidhiwa leo katika mkutano maalum kati ya BCC na ujumbe wa Benki ya CRDB ulioongozwa na Afisa Mkuu wa Fedha wa Kundi, Fredrick Nshekanabo. Akikabidhi leseni...
  7. Analogia Malenga

    Congo wagundua mawe yenye umeme, tutarajie ugomvi zaidi?

    Mambo ya Congo haya,
  8. R

    Taifa la kidemokrasia linapaswa kuepuka kwa nguvu zote desturi na mila ya mauaji ya siri; hakuna maendeleo yakudumu kwenye damu inayolia

    Nimejaribu kutafakari ni kwanini wauaji wengi ukamatwa kirahisi baada Tu yakufanya mauaji ila waalifu wengine uchukua muda? Nimetafakari ni kwanini watu wengi wanaweza kukaa kimya pale wanaposikia ndugu Yao kauwawa lakini NI vigumu kusamehe likaisha? Nimejiuliza kwanini MTU maarufu akiuwawa...
  9. Roving Journalist

    Rais Samia akimpokea Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Felix Tshisekedi, Oktoba 23, 2022

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akimpokea Rais wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, Felix Antoine Tshisekedi, Oktoba 23, 2022 kwa Ziara ya Kiserikali
  10. Roving Journalist

    Uzinduzi wa Ripoti ya Utafiti wa HakiElimu: Zaidi ya 80% ya Vijana walioko Shuleni hawajawahi na hawahamasishwi kushiriki mikutano ya Kampeni na Siasa

    Ripoti ya Utafiti wa Mchango wa Elimu ya Uraia Shule za Sekondari na Ushiriki wa Vijana katika Michakato ya Kidemokrasia imezinduliwa rasmi Dar es Salaam, leo Alhamisi Septemba 22, 2022 Kamishna wa Elimu Tanzania Dkt. Lyabwene Mtahabwa akiwa na baadhi ya wanafunzi wa shule za sekondari...
  11. C

    Kuwe na Uhuru wa Mahakama katika masuala ya Kidemokrasia

    Kama wote tutakuwa sawa chini ya sheria na hakuna hata mmoja atakayekuwa juu ya sheria hiyo ndiyo itakapokuwa nchi yenye misingi ya kisheria. Sheria inatakiwa imuhusishe kila mtu ndani yake ukiingiza na serikali ndani yake kwani serikali pia imebeba watu inaowatumikia katika kufanya kazi katika...
  12. Lycaon pictus

    Nchi za kidemokrasia zinakopa sana

    Zamani wakati wa ufalme, nchi ilikuwa mali ya mfalme. Mapato yote ya nchi ni yake mwenyewe. Akikopa akashindwa kulipa anafilisika mwenyewe. Wafalme walikuwa makini sana kwenye kukopa. Maana walijua wasipolipa watafilisiwa. Mfalme wa Misri, Mohammed Ali alikopa sana. Deni liliposhindwa kilipwa...
  13. Lycaon pictus

    Michakato ya kidemokrasia inachelewesha sana mambo

    Cheki mchakato kama wa wabunge kumi na tisa wa CDM. Nikupotezeana tu muda. Mwananchi anafaidika nini? Leo nchi kama US wanahangaika na habari za bunduki lakini hawawezi kufanya kitu sababu ya michakato ya kidemokrasia yenye kuchosha. Leo China inaweza anzisha sera kwaajili ya maendeleo ya nchi...
  14. JanguKamaJangu

    Askofu Gwajima: Madikteta wote walishinda uchaguzi wa kidemokrasia lakini hawakuwa na maono

    Kauli za Mbunge wa Kawe, Josephat Gwajima, Bungeni leo Juni 21, 2022 "Inapotokea utawala mmoja unamaliza na kuingia utawala mwingine, na kwa sababu mtazamo wa utawala uliopita ni tofauti na unaokuja, inabidi viongozi wengi sana wabadilike kwa sababu inaonekana kwamba maono mapya yanaingia...
  15. R

    Kwa asili ya Watanzania tunahitaji Rais wa kidemokrasia ila mwenye tabia za kidikteta au Katiba yenye Meno Makali

    Watanzania wengi Wana sifa kuu Tatu ambazo sio nzuri kwa afya ya Taifa lolote:- 1. Wavivu 2. Wezi na sio waaminifu 3. Wanapenda sana starehe /maisha mazuri kuliko kufanya kazi. Sasa kwa sifa hizo mbali na kwamba tuna kila kitu ni Ngumu sana kuendelea labda tupate EITHER Katiba inayong'ata watu...
  16. dubu

    Mapinduzi Afrika: Wananchi wengi wanapenda Utawala wa Kidemokrasia kuliko wa Kijeshi, hawapendi Mapinduzi

    Afrika imekumbwa na msururu wa mapinduzi ambayo yanatishia kuirudisha nyuma miaka ya 1980 na enzi za utawala wa kijeshi. Burkina Faso, Chad, Guinea, Sudan na Mali zote zimeshuhudia serikali ikipinduliwa na nafasi yake kuchukuliwa na jeshi. Hali inaweza kuwa ya kutisha zaidi, kwa sababu...
  17. L

    Mageuzi ya kidemokrasia yaweka msingi kwa maendeleo ya Tibet

    “Kutoka mtwana kuwa bwana, na kuondokana na umaskini na kuwa na maisha bora, ni mambo mazuri zaidi niliyopata maishani mwangu!” Bibi Shiangchiu Ram mwenye umri wa miaka 77 ni makzi wa kijiji cha Anmaixi, Mji wa Chamdo, kusini-mashariki mwa Tibet. Ana nyumba nzuri kubwa ya orofa tatu iliyo karibu...
  18. Analogia Malenga

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo lawahusisha wanajeshi wa Rwanda na waasi

    Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo linasema kuwa wanajeshi wa Rwanda waliwasaidia waasi wa M23 wakati wa shambulio la Jumatatu karibu na mpaka wake na Rwanda na Uganda. Jeshi la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo limesema limewakamata wanajeshi wawili wa Rwanda waliohusika na shambulizi...
  19. Priscallia

    History is made! Democratic Republic of Congo is now a new member of the East African Community

    EAC Heads of State OFFICIALLY admit the Democratic Republic of the Congo (DRC) into the East African Community. H.E Uhuru Kenyatta,Chair of the Summit of EAC Heads of States announces during the 19th Extra-Ordinary Summit of EAC Heads of State. === Mwenyekiti wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya...
  20. Lycaon pictus

    Tawala za kifalme zilikuwa bora kuliko za kidemokrasia

    Kwenye utawala wa kifalme, nchi na serikali ilikuwa ni mali ya mfalme. Tofauti na kwenye demokrasia ambapo nchi na serikali ni mali ya wananchi wote, wakimuweka Rais kuwa mdhamini. Binadamu ni social animal, na kwenye social animals wote kuna pecking order. Zamani waliokuwa wanakuwa wafalme ni...
Back
Top Bottom