Nchi za Afrika zinakabiliwa na shinikizo zaidi la kutafuta mikakati ya kupambana na janga la Corona. Huku ulimwengu ukiwa mbioni kutafuta chanjo na tiba ya ugonjwa wa Covid 19 ambao umeathiri kila kona ya ulimwengu.
Nchi kadhaa za Afrika zikiongozwa na Madagascar zimevumbua dawa za kiasili au...
Naamini mko salama wakuu,
Mimi pia ni mfugaji mpya. Nimeanza na jogoo mmoja mkubwa sana, nilimnunua kama kitoweo ghafla nikaghairi tokana na ubora wa jogoo huyo, lengo la uzi huu sasa ni kuwaomba ndugu wafugaji kuniuzia mitetea kumi ya adabu ili niendelee kujikwamua.
Niko dodoma na...
Ni Mayai ya kienyeji kabisa na yenye ubora wa hali ya juu ,njoo ujipatie au weka order yako bei ni Tsh. 12,000/=(Trei ya Mayai 30)
Ukihitaji utaletewa mpaka mlangoni.
TUNAPO SEMA NI MAYAI YA KIENYEJI TUNA MAANISHA HASWAA.
Call 0693100453
WhatsApp 0765894955
Yametokea huku kwetu Nanjilinji. Salome alitolewa posa na kijana kutoka DSM. Tulifahamishwa mchumba wa Salome wakati tunashonewa sare za wasindikizaji harusi.
Baada yaharusi Salome alindoka kwenda DSMna mume wake. Haikuchukua muda alimtumia nauli mdogo wake Esther amfuate huko DSM. Baada ya...
Wakuu,
Kwa taarifa nilizo nazo, ni kuwa muda si mrefu Rais Magufuli atalihutubia Taifa.
Kama hii itatokea, itakuwa mara ya kwanza tangu aingie madarakani kuhutubia Taifa.
Tutarajie nini?
Stay tuned...
=======
LIVE:
VIDEO:
Rais Magufuli anasema;
=> Baada ya kuibuka Ugonjwa wa Corona...
Habari wanabodi, nauza Mayai ya KIENYEJI HALISI- PURE SIYO CHOTARA. BEI NI SHILINGI 13,500/ KWA TREI MOJA. PUNGUZO LIPO KWA ATAKAYECHUKUA MENGI. KWA MAWASILIANO:-
*Piga/text/WhatsApp*
0765894955/0693100453
Arusha Tanzania
Mahakama ya Wilaya Kigoma Mkoa wa Kigoma imemhukumu mganga wa kienyeji, Venas Edward (48), mkazi wa Ujiji Manispaa ya Kigoma/Ujiji kutumikia kifungo cha maisha jela kwa kosa la kumnajisi mtoto wa kike mwenye umri wa miaka minane
Hukumu hiyo ilitolewa jana na Hakimu Mkazi wa Mahakama hiyo...
Habari zenu ndugu wafugaji naombeni mnisaidie jinsi ya kutambua mayai ya kuku wa kienyeji pure yanayofaa kutotoreshwa kwenye incubator maana nikiweka mayai 100 yameanguliwa 42 tu.
Serikali ya Tanzania itajenga Hospitali ya Rufaa wilayani Chato Mkoa wa Geita.
Akiwasilisha taarifa yake kwa Kamati ya Bunge ya Huduma za Jamii leo Jumatatu Januari 20, 2020, Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto Ummy Mwalimu amesema Serikali inatarajia kujenga hospitali hiyo...
Hello JF,
Ningependa kujua kama ushawahi kupata tiba, kati ya hizo mbili (Tradition Medicine au Modern Medicine)
Ipi ili work?
Au zote?
Kipi kilichokusukuma utumie kimoja wapo?
Nini kilikusukuma utumie vyote?
Unatushaurije?
----------
Maoni ya Mdau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.