kiislam

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. NostradamusEstrademe

    Nimegundua dini ya Kiislam haina unafiki

    Moderators naomba mada hii msifikirie nataka kuleta udini maana katiba ya nchi yetu haina dini naongelea dini moja tu ya uislam sitataja dini nyingine kuzikandia maana ni ukweli ulio wazi kati yetu hadi sasa hakuna ambaye ana uhakika ni dini ipi mungu anaikubali.Najua kuna dini za Ibrahima yaani...
  2. BARD AI

    Iran: Polisi wasambazwa Vyuoni kudhibiti wanaoshinikiza kuondolewa Utawala wa Kiislam

    Kifo cha Mahsa Amini msichana wa miaka 22 anayedaiwa kuuawa na Askari kutokana na kutoficha nywele zake kwa Hijab, kimeamsha hisia kali za wanawake na wasichana wanaoshinikiza kuondolewa kwa Utawala wa Kiislam. Licha ya Serikali kuagiza uchunguzi, bado kumekuwa na mashinikizo ya raia na vikundi...
  3. kimsboy

    Iran: Wananchi waandamana kuunga mkono mfumo wa Kiislam

    Mkusanyiko wa mamilioni ya watu wa Iran; kufukuzwa wafanya ghasia na Umma wa Mtume Mtukufu (saw) ======== Wananchi wa mikoa tofauti ya Iran siku ya Jumapili, ambayo ilisadifiana na siku ya kukumbuka kifo cha Mtukufu Mtume (saw) na mkuu wake Imam Hassan Mujtaba (as), walifanya mkusanyiko wa...
  4. Mwizukulu mgikuru

    Channel za kiislam kuzungumzia zaidi mambo ya ndoa

    Mimi ni mpenzi sana wa kutizama channel za waislam hasa TV Imaan na Swahili TV ya mombasa. Changamoto inayojitokeza ni mijadala inayoendeshwa katika channel hizi mara nyingi huzungumzia mambo ya ndoa. Kupeana mapenzi moto moto kwa wanandoa (mawarda) na kuoa wake zaidi ya mmoja, kuna wengine...
  5. Poker

    Wanaume wawili wa Kiislam wafukuzwa katika ndege huko Marekani

    Wanaume wawili ambao walikuwa wakichati kiarabu kwenye simu na pia kuzungumza kiarabu kwenye ndege huko Marekani ya Alaska airlines! Abiria mwingine katika dege hilo aliwaona wakichati na kuongea kiarabu ndipo alipotoa taarifa katika wahudumu wa dege hilo. Nao wahudumu wakatafsiri zile meseji...
  6. Mohamed Said

    Tatizo la Majina ya Kiislam Katika Viya ya Maji Maji 1905 - 1907

    TATIZO LA MAJINA YA KIISLAM KATIKA HISTORIA YA VITA VYA MAJI MAJI Ukisoma historia ya Vita Vya Maji Maji utakutana na jina Mkomanile. Linaandikwa jina moja tu, ''Mkomanile.'' Kwa nini liandikwe jina moja tu? Huyu ndiye mwanamke pekee katika majina karibu 67 ya mashujaa wa Vita Vya Maji Maji...
  7. englibertm

    Ukweli kuhusu Vita vya Majimaji

    Vita vya majimaji ni vita vilivyopiganwa na wazee wa kiislam kupinga utawala wa kimabavu wa kijerumani, lakini kwa makusudi vita hivi historia yake imechafuliwa kwa makusudi kuonesha kuwa vilikuwa vita vilivyopiganwa kwa imani za kishirikina. Ikumbukwe kuwa kusini mwa Tanzania kuna mkoa unaitwa...
  8. Gama

    Jeshi la Uganda limegundua kambi ya mafunzo ya Wanamgambo wa Kiislamu

    Jeshi la uganda limesema kuwa limegundua kituo cha mafunzo kwa wpiganaji wa kiislam Km 60 tu kutoka kampala, watu watatu wanashikiriwa, aidha vyuma vya kutengenezea milipuko vilipatikana pia. Mamlaka zinalaumu wapiganaji wa ADF walijichimbia katika misitiu ya Kongo kwa mashambulizi ya milipuko...
  9. OKW BOBAN SUNZU

    Kwanini mwanamke wa Kiislam kuwa Rais ni kukiuka nguzo za Uislamu?

    Swali la uelewa, Kwa nini mama wa kiislamu kuwa rais ni kukiuka mafunzo ya Mtume Muhamadi? Huu ni uelewa tu, kwa hiyo tujengeane uwezo bila jazba wala kashfa c.c FaizaFoxy
  10. 666 chata

    Nilitaka kumuoa binti wa Dini tofauti na yangu vita kubwa ikaibuka. Kuna kitu gani kati ya hizi dini mbili?

    Yeye akiwa ni Muislam na mie Mkristo; Alikuwa pisi haswa, mtoto mkaree kila angle na anayajua mapenzi haswa, nikasema tabu za nini hasa ukizingatia binti mwenyewe ananitii kila nnalomwambia, sikuwa na upinzani wowote kwake, najipigia mwenyewe tu ki uhakika. Sasa nilivyotangaza tu kumuoa na...
  11. sky soldier

    Kwanini nchi za kiislam kuna Christianphobia (Uoga wa ukristo kuwa na waumini wengi) mpaka kupelekea kukataza makanisa kujengwa ?

    Phobia ni hali ya kuogopa kitu kigeni kitakuwa na mafanikio kuliko chako, phobia katika dini ni dhana ya uoga wamba dini flani itafanikiwa kuzidi yako, hivyo hatua inabidi zichukuliwe ili kuzuia hata kama ni nje ya maandiko matakatifu. naonaga watu wanasema kuna islamaphobia lakini kiukweli...
  12. Kaka mwisho

    Tupeni ushuhuda kwa mliowahi kukopo kwenye taasisi za kifedha zinazofuata utaratibu wa Sharia za Kiislam. Utaratibu upoje

    Leo naomba tupate utaratibu kuhusu mikopo inayotolewa na taasisi za kifedha za kiislam kama Amana bank, NBC Islamic account n.k. Utaratibu wao upoje. Mikopo yao huchukua muda gani mpaka umalizapo kulipa,(wa muda mrefu na mfupi) Mfano nahitaji gari lenye thamani ya 15, talipataje na talipa jumla...
  13. sky soldier

    Shule na wanafunzi 10 bora mwaka 2021

    Swali langu naliojiuliza sana ni kwanini inakuwa ngumu iaka nenda rudi kuzikuta shule za kiislamu na wanafunzi waisalmu kwenye kumi bora. Shule 10 bora form 4 1. Kemebos - Mkoa wa Kagera 2. St. Francis - Mbeya 3. Waja Boys - Geita 4. Bright Future Girls 5. Bethel Sabs Girls - Iringa 6. Maua...
  14. kimsboy

    Naomba kujuzwa je, dini ya Kiislam inaruhusu kula hawa wanyama?

    Wakuu ningeomba nijuzwe kama Uislam unaruhusu kula hawa wanyama wafuatao: 1. Tembo? 2. Faru? 3. Kiboko? 4. Mamba? 5. Popo? 6. Kenge? 7. Farasi na punda wa porini? 8. Sili? 9. Nyangumi? 10. Pundamilia?
  15. Prof Koboko

    Polisi msilete ubaguzi na uchonganishi, "Gaidi mfia dini" ndio nani?

    Nimesoma maelezo ya DCI kwenye taarifa iliyoandikwa kwenye ukurasa wa Mwananchi news kua Marehemu Hamza alikua "Gaidi mfia dini" , hivi ni kweli kabisa ofisi ya DCI imeshindwa kupima kabisa uzito wa kauli hii? Kwa maana hiyo wafia dini wote ni magaidi? Hamza alikua muumini wa dini ya kiislam...
  16. majangatz

    Natafuta Mwalimu wa Dini ya Kiislam (Madrasa), awe Mwanamke

    Assalam Alleykum. Ninahitaji mwalimu kwa ajili ya kufundisha dini ya Kiislam. Sehemu alipo mwanafunzi ni Luguruni, Morogoro Road. Mwalimu lazima awe mwanamke na mwanafunzi hajawahi kusoma Quran japo ana Idea na mambo ya Kiislam. Tafadhali kwa anayemjua mwalimu au mtu ambaye anaweza kufanya kazi...
Back
Top Bottom