Rais Samia Suluhu Hassan akimsikiliza Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete. Picha na Maktaba
Januari 24, 2024, Chadema walifanya maandamano makubwa Dar es Salaam. Yalikuwa maandamano ya amani, yaliyoandika rekodi Tanzania. Serikali iliridhia, polisi walishirikiana na viongozi wa...