Kikosi Maalum (meaning "Special Force" in Swahili), also known as the Special Battalion or the grand coalition, was a militia of Ugandan exiles formed in Tanzania to fight against the regime of Idi Amin. The unit was founded by and loyal to former Ugandan President Milton Obote, and served as his de facto private army. It was commanded by former army officers David Oyite-Ojok and Tito Okello. Kikosi Maalum took part in the Uganda–Tanzania War, fighting alongside the Tanzanian military against Amin's forces. In course of this conflict, the militia was nominally unified with other Ugandan rebel groups, forming the Uganda National Liberation Army (UNLA) in 1979. After the fall of Amin's regime and Obote's return to power, Kikosi Maalum became the core of Uganda's new national army.
Mageuzi ya kweli kwenye jambo lolote huwa yanahitaji kufanya maamuzi magumu. Wakati mwingine maamuzi hayo yanaweza kushtua watu, yanaweza kuogopesha wengine, yanaweza kukatisha tamaa kwa baadhi na utegemee lawama na shutuma nyingi.
Nimependa ushujaa wa Kocha wa Taifa Stars Amrouche ambaye...
Ninajua kuwa upo gerezani kwa sasa, lakini naamini hutaliruhusu gereza kuingia moyoni mwako. Ni kwa sababu hiyo basi, nimechukua hatua hii nikiamini kuwa hata kama hutakuwa na simu gerezani, wapendwa wako wataweza kukufukishia huu ujumbe kwa wakati sahihi.
Awali ya yote, ninakupa pole kwa...
Tumeona misimu miwili Nguvu kubwa imetumika kwenda kuweka Kambi Uturuki kujiandaa na msimu mpya lakini wenzetu Yanga wakijichimbia hapo Kigamboni na maisha yanaenda vizuri tu.
Ni muda sasa muda mwingi na fedha za Kambi ziwekezwe kwenye usajili Bora.
Kumekuwa na malalamiko mengi ya mifumo ya tehama serikalini kuzimwa makusudi ili wafanyakazi wezi na viongozi wezi waweze kuiba.
Ushauri wangu ni kuweka kikosi maalumu kuhakikisha mifumo yote inafanya kazi na kama ikizimwa bila sababu au kutoa taarifa kuwekwe sheria maalumu ya uhujumu uchumi...
Units nzima ya jeshi la Israel yaangamizwa na Hamas wabunge wa Israel walia
A picture[emoji1313][emoji1313] of the killed unit from 'Givati Brigades' who were blown up together in northern Gaza.
Hii ni unit nzima ya wanajeshi wa Israel waliouliwa wote na Kombora la Hamas hii imewafanya hadi...
"Watanzania hata kama wanakosoa au wanapongeza Kikosi cha Taifa Stars bado wana Haki ya Kutajiwa Kikosi cha Wachezaji kila Kocha Mkuu akikiteua"
"Kama Serikali inayoigharamia Taifa Stars haifichi lolote kwa Watanzania ambao ndiyo walipakodi Wakubwa kwanini Kikosi cha Taifa Stars kifichwe Kwao?"...
Tanzania haijacheza finali za AFCON kwa miaka mingi kutokana na sababu nyingi sana. Mojawapo ya sababu hizo ni makocha wa timu ya taifa kushinikizwa uteuzi wa wachezaji.
Leo nilimsikia mchambuzi uchwara akihoji ni kwanini mchezaji fulani hakujumuishwa kwenye timu ya taifa iliyocheza na Sudan...
Mnaomba mkutane na akina Medeama, Jwaneng Galaxy na ile Timu yenye Jina la Shetani Mweusi.
Kudadadeki zenu leo mnapangiwa na Wababe wa Afrika Wafuatao na mtakoma na kuwakoma...
Al Ahly ( Egypt )
Simba SC ( Tanzania )
TP Mazembe FC ( Congo DR )
Mafuriko Kigamboni FC ( Tanzania )
Kila Siku...
Ngoja niwasimulie kidogo hii story ya kusikitisha na kughafirisha.
Mwaka Jana kipindi yanga ni unbeaten sikuwahi kuwabetia Ila ilivyofika siku wanacheza na ihefu nikajisemea hii yanga unbeaten ndy yakupatia hela Hapa bure bure dadeek nikawapa yanga nikastake elf 50 alafu nikachil bar Sina hata...
Asante kwa Jini letu Kumchanganya Beki ili aone kuwa anaokoa kumbe anajifunga Mwenyewe vinginevyo leo ilikuwa ni 'Kuchapana Bakora na Kutimuana Day' tu na hakika tungeumizana Mbagala.
Jadon Sancho
Uamuzi huo ambao umeelekezwa anapokuwa kwenye Viwanja vya Mazoezi vya Carrington, umechukuliwa ikiwa ni mwendelezo wa adhabu kutokana na mgogoro wake na Kocha wa ManchesterUnited, Erik ten Hag
Sancho amegoma kuomba radhi baada ya kumshambulia kocha wake kupitia Mtandao wa Kijamii...
Watu wanafia kwenye nchi ya watu, ukiwauliza wanachopigania, hawana cha kujibu.....
PHOTO: DKULKO/TELEGRAM
Yevgeny Pisarenko, the commander of Akhmat, a Chechen armed formation that is fighting on the Russian side, has been killed in combat in Donbas.
Source: Russian Kremlin-aligned media...
Kocha wa Timu ya Taifa ya Congo DR simwelewi yaani kamuita Beki aliyekuwa Majeruhi Henock Inonga wa Simba SC inayoshiriki Kombe jipya na lenye UTAJIRI mkubwa unaoshirikisha Vilabu Bora na Vikubwa la AFRICAN FOOTBALL LEAGUE na kumuacha ( kutomuita ) Kiungo Mshambuliaji Max Zengeli wa Yanga SC...
Hivyo mjipange kwa mipango mingine, msidhani tutarudi na kikosi hiki hiki mechi ijayo. Kuna kikosi kingine kipo nje.
Hawa hapa hawakuanza jana kabisa;-
Metacha/Mshery
Kibwana
Nickson Kibabage
Job
Gift fredy
Jonas Mkude
Mauya
Sureboy
Pacome
Aziz ki
Nkane
Hafiz konkoni
Mzize
Watakaojirudia...
Umoja wa Vijana CCM umejigeuza kuwa kikosi cha wapiganaji kuilinda CCM, kikosi hiki kimefanya mafunzo ya uaskari na baadhi yao tunawaona wakiwa kwenye sare za kiaskari wakilinda mikutano na viongozi wajuu wa nchi!
Kitendo hiki hakikubaliki kwani ni tishio kwa amani ya nchi maana hawa vijana...
Naona mashabiki wa Simba wanapanga vikosi vyao...vya msimu ujao...huku wakilitupa jina la KENNEDY JUMA, MZAMIRU YASIN, SAIDOO, KIBU, JOHN BOCCO.
Nawaambia watakaoingia kikosi cha kwanza katika sajili zenu mpya ni either KRAMOO AU MIQUESON(Nae ni hatihati)
Nimekaa pale.
Mkude ni kiungo namba 6. Amesajiliwa yanga baada ya kumaliza mkataba wake na Simba.
Yanga ni timu yenye utajiri wa viungo. Hivyo kuna ushindani mkubwa wa namba.
Mkude anaenda kuchukua namba ya nani kikosini yanga?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.