Suala la uchumi hususani ‘pesa’ imekuwa ni kitunguu ambacho kinatumika katika maisha ya kila mtu, kila siku. Usipoitumia ni lazima uiwaze kivyovyote vile. Je, ni nani awezaye kutatua changamoto za fedha? Ungana nami kujua namna inamtoa machozi kila mtu.
KILIO CHA WENGI
Miriam akiwa anatokea...