kimbunga

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. beth

    Madagascar: Waliofariki kutokana na Kimbunga Batsirai wafikia 111

    Mamlaka Nchini humo inasema idadi ya waliopoteza maisha imefikia 111 kutoka 92 iliyoripotiwa siku chache zilizopita. Batsirai kilikuwa Kimbunga cha pili kuathiri Taifa hilo ndani ya siku 14 Kimbunga Ana kilisababisha Vifo 55 na kupelekea Watu wapatao 130,000 kukosa Makazi. Kabla ya Vimbunga...
  2. Miss Zomboko

    Marekani: Watu 70 wafariki kutokana na Kimbunga

    Kimbunga Tornado kilicho tawanyika na kuyakumba maeneo ya majimbo sita tofauti nchini Marekani kimesababisha watu zaidi ya 70 kupoteza maisha. Akithibitisha athari hiyo Gavana wa jimbo la Kentucky amesema pamoja na vifo vya idadi hiyo ya watu wanaopindukia 70 upo uwezekano wa idadi hiyo...
  3. Shadow7

    Kimbunga Ida: Idadi ya vifo yapanda hadi watu 41 katika majimbo manne ya kaskazini mashariki mwa Marekani

    Baadhi ya wakazi wamekwama katika maeneo ya chini ya nyumba zao yaliyofurika maji pamoja na ndani ya magari yao Rais wa Marekani Joe Biden anasema "uwekezaji wa kihistoria " unahitajika kukabiliana na mzozo wa hali ya hewa, huku maeneo ya kaskazini-magharibi mwa nchi yakikabiliwa na mafuriko...
  4. beth

    Marekani: Kimbunga Ida chapiga New Orleans, nyumba zaidi ya Milioni 1 hazina umeme

    Zaidi ya nyumba Milioni moja Jijini New Orleans hazina umeme kutokana na Kimbunga Ida. Hadi sasa kifo kimoja kimeripotiwa baada ya mti kuangukia nyumba Rais wa Marekani, Joe Biden amesema Kimbunga Ida kitakuwa tishio na upo uwezekano wa uharibifu mkubwa. Ametangaza janga kubwa katika Jimbo la...
  5. beth

    Marekani: Maelfu waondoka Louisiana kutokana na Kimbunga Ida

    Wakati Kimbunga Ida kinaendelea kusogea, maelfu ya watu wanaondoka Jimbo la Louisiana kwasababu ya usalama Watabiri wanasema kinaweza kuwa na nguvu zaidi kuliko Kimbunga Katrina ambacho kiliharibu sehemu kubwa ya New Orleans mwaka 2005 Gavana John Bel Edwards ameonya kuwa kinaweza kuwa...
  6. J

    Upepo uliovuma Kunduchi mida ya saa 10 wengi walihisi ni kimbunga Jobo!

    Ilikuwa hatari mida ya saa 10 ukanda wa Kunduchi, Ununio hadi Mbweni upepo mkali ulivuma na pale kwa kondo kuna kijumba kimeezuliwa bati zote. Wakazi wa maeneo hayo walidhani kimbunga Jobo kimeibuka ghafla. Ramadhan kareem!
  7. S

    Kimbunga JOBO kimepita, lakini je, serikali na wananchi tunajiandae kwa vimbunga vijavyo?

    Historia inatuonyesha mara ya mwisho kimbunga kilichowahi kuikumba nchi yetu kilitokea mwaka 1952(miaka 69 iliyopita).Hii maana yake vimbunga kama hivi bado vinaweza kuja kutukumba tena huko mbeleni. Vimbunga vinavyoendelea kutokea miaka hii ya karibuni kikiwemo hiki cha JOBO kilichotokea siku...
  8. J

    Je, hapo ulipo kuna dalili zozote za kimbunga Jobo!

    Nipo Pwani ya Kawe na hali ni tulivu kabisa wanajamii wakiendelea na mishe zao. Tupe taarifa hapo ulipo kama kuna dalili zozote za Jobo kuibuka. Nawatakia Dominica yenye baraka. Kazi Iendelee!
  9. D

    Viongozi wengi wamekimbia Dar kimya kimya kuhofia kimbunga!

    Hakika ukimtegemea binadamu akuongoze kwa haki unapoteza mda! Tishio dogo la kimbunga! Viongozi wengi wamechimba kimya kimya! Wengi wamekinbilia DOM na maeneo mengine! Tumshukuru sana Mungu kwasababu kaahirisha kimbunga kwa ajili ya wale Raia wema waliobaki wasiokuwa na mbio! Tumshukuru Mungu...
  10. Mlaleo

    Janga la Kimbunga Mh. Jaffo katuacha solemba watu wa Pwani

    Tanzania tushazoeshwa na Mambo ya Kishirikina na kienyeji tushakuwa wabishi tu na kuwasingizia Wazungu kuwaita Mabeberu.. IImekuja Corona tumeambiwa Nyungu hadi kukawa na wiki za Nyungu... Sasa hili la Kimbunga ndio tuendeleze Nyungu na kujifukiza au kuna linginelo la kienyeji Maana tumesoma...
  11. Behaviourist

    Hatimae kimbunga JOBO chaisha nguvu kabisa

    The good news ni kwamba kimbunga JOBO kimeisha nguvu kabisa.Picha ya kwanza ni ya jana Ijumaa saa nne asubuhi kama unavyoona kwenye picha za satellite hapo kimbunga kilikuwa na nguvu sana na picha ya pili ni ya leo Jumamosi saa tisa ya usiku na kama unavyoona kimbunga kilipungua nguvu kidogo...
  12. Nyankurungu2020

    Taarifa huishwa kuhusu kimbunga Jobo

  13. U

    UPDATES: Kimbunga JOBO hakipo

    Kimbunga Jobo chawa dhaifu baada ya kukaribia kuingia Tanzania Madhara ya kimbunga hicho sasa kupungua hivyo tuendelee kuchukua tahadhari Mungu ni Mungu Aksanteni kwa Maombi yenu Watanzania TMA UPDATES
  14. FRANCIS DA DON

    Kimbunga Katrina kilikuwa na speed ya 174MPH, Kimbunga Jobo kitapiga kwa speed ya 30MPH, je , kuna haja ya kupoteza muda kukijadili?

    Ni ukosefu wa kazi za kufanya au ni nini? Picha ni kama zinavyojieleza hapo chini.. Update: https://www.jamiiforums.com/threads/updates-kimbunga-jobo-chafikia-kilometa-76-mashariki-mwa-mafia-chasafiri-kwa-kilometa-20-kwa-saa.1863353/...
  15. and 300

    Kimbunga kimekuja tarehe za Mshahara

    Kimbunga tajwa kimekuja tarehe pendwa za Mshahara. Tutarajie Guest houses kujaa. #Kerege_Moja#
  16. Mtemi mpambalioto

    Kimbunga JOBO: Uzi maalum kupeana Updates za kimbunga hiki

    Tumeambiwa kimbunga hiki hakijatokea eneo la ukanda wa Afica mashariki kwa takribani miaka 70. Hapa ni sehemu maalum kuhabarishana yanayojiri hasa mliopo fukwe huko. Tukumbushane pia tahadhari za kuchukua maana siku yenyewe ni leo na kesho tu kwa mujibu wa mamlaka za hali ya hewa.
  17. D

    Mashirika na taasisi mmejipangaje na tahadhari ya kimbunga ili kuondoa usumbufu na hatari kwa wateja wenu?

    Matamko na Tahadhari zinapotolewa na wataalam; Serikali za kiafrika hasa Tanzania kumekuwa na kasumba ya baaadhi ya mamlaka/mashirika kujitoa kuwajibika ipasavyo kwa watu wake! Je, tahadhari hii ya kimbunga awamu hii Taasisi na mashirika mmejipangaje kupunguza hatari ya kimbunga kiafya na...
  18. Analogia Malenga

    Kimbunga Jobo: Kamisheni ya kukabiliana na maafa Zanzibar yawatahadharisha wananchi

    Mamlaka za hali ya hewa zimeendelea kutaka wananchi wachukue tahadhari dhidi ya kimbunga JOBO ambacho kwa sasa kipo umbali usiozidi km 400 kutoka mwambao wa Bahari ya Hindi. Kamisheni ya Maafa Zanzibar imetoa tahadhari kwa wavuvi na wamiliki wa vyombo vya usafiri baharini kutokana na uwepo wa...
  19. Mkogoti

    Ubalozi Marekani watahadharisha raia wake nchini Tanzania kuhusu kimbunga Jobo

    Ubalozi wa Marekani jijini Dar es salaam umetoa tahadhari ya kiusalama kwa wafanyikazi wake walioko nchini Tanzania kuhusu hatari ya Kimbunga Jobo kinachoeleka katika pwani ya nchi hiyo na kitaufikia pia mji wa Dar es Salaam. Kupitia tahadhari kwa wafanyikazi wa ubalozi wake , afisa...
  20. Tony254

    Kimbunga kizito kinakuja kutandika Dar es Salaam Jumatatu ijayo. Mjitahadhari

    Majirani mjitahadhari dhidi ya Kimbunga Kikali kinachokuja kubamiza Dar juma tatu ijayo. Kimbunga kitakuwa na upepo unaovuma at 100 kph Rare tropical cyclone is approaching one of Africa's most populated cities By Pedram Javaheri, CNN Meteorologist Updated 7:51 PM EDT, Thu April 22, 2021...
Back
Top Bottom