king'amuzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    Software ya KING'AMUZI aina ya DVB T - T2

    Naomba kama kuna Mtaalam mwenye Software ya KING'AMUZI aina DVB T-T2 Receiver anisaidie Kama kuna mtu Mwenye Software ya KING'AMUZI Aina ya DVB - T - T2 Receiver naomba tuwasiliane Inbox. King'amuzi chenyewe ni hiki cha kwenye picha hapa Chini Kinataka Ku - Update kinanipa taabu kimekuwa...
  2. Whackiest

    Naomba kujulishwa kuhusu king'amuzi cha StarTimes

    Ndug mwana jukwaa habr za mudaa huu, Ningependa kujua hik king'amuz cha star times kiko vipi katika gharam, na je kwa matumiz ya nyumban kinafaa?
  3. runtown

    Nimeibiwa vitu vyote vya ndani

    Habari wana jamvi, Naandika nikiwa na jazba na hawa watu wanaoitwa wezi. Nimepanga geto langu nikajibana nikaeka vitu vyote vya ndani sasa hawa jamaa wamenilia time nimetoka wamenisafisha hadi kijiko ila kwenye vitu walivoiba wamebeba hadi king'amuzi. Ila kuna mdau aliyeniambia king'amuzi...
  4. Samaki Nchanga

    Ni ipi channel yako bora kwenye king'amuzi cha DStv, Azam, Startimes, Zuku na Continental?

    Habari wakuu! Kuna zaidi ya channels 100 karibia katika kila King'amuzi Kwangu mimi mtumiaji wa DStv japo tunakosa uhondo wa channel za nyumbani lakini moja kati ya channel zangu Bora ni Maisha Magic East & Maisha Magic Bongo. Ukiondoa na chanel za michezo, basi utanikuta kwenye channel za...
  5. A

    Nahitaji kununua king'amuzi cha Azam bila dish

    Habari, Natafuta king'amuzi cha Azam bila kuwa na dish offa yangu sh. hamsini elfu,naomba mwenye mchongo aseme tutafutane na tuyajenge.
Back
Top Bottom