Majangaa kweli inafika wakati Wananchi wanachoka na kuamuwa kujichukulia sheria mikononi mwao hatari kweli.
Mungu atusaidie tuondokane na umasikini, njaa na maradhi amin.
Mchanganyiko wa dawa za Ibuprofen na Codeine unavyohatarisha maisha
Kumeza dawa ambazo inachanganya ibuprofen na codeine inaweza kuwa sumu.
6 Oktoba 2022
Shirika la Ulaya la madawa la Ulaya (EMA) limetoa tahadhari wiki hii kuhusu athari za utumiaji wa mchanganyiko huu, ambao hutengenezwa...
By Ephrahim Bahemu
Mwandishi wa habari za uchumi na biashara
Mwananchi.
Kampuni ya China yaingia Tanzania, Uganda sakata ya bomba la mafuta
What you need to know:
The $4 billion worth project will cover 1,445 kilometres, 80 percent of which is on Tanzanian soil, involving a 62 percent...
How To Fix ‘Can’t Connect to this Network’ error in Windows 11
‘Can’t Connect to this Network’ error in Windows 11. It’s a common issue that is faced by users across the world. Many consumers get confused by this circumstance, which leads to a lack of understanding about what is generating the...
How To Fix Slow LAN Speed On Windows 11
In this article, we will explain 6 methods that can fix slow LAN speed on Windows 11.
Whether you are attending an online meeting or playing an online multiplayer game, a stable internet connection is a must for a perfect online experience otherwise it is...
12 Common Windows 11 Issues And Fixes
Windows 11 is a bit of a mishmash. On the one side, many users would like to stay on Windows 10. Better window snapping choices, more flexibility over desktop systems, and new design touches such as curved edges on windows are all compelling reasons to...
How To Install Windows 11 On Unsupported Devices
Microsoft’s latest operating system, Windows 11, is now here, and while it comes with a long list of system requirements, it’s feasible to get around them. Microsoft has even written a blog post describing how to install Windows 11 if you don’t...
Windows 11 Restarts Automatically? Try These Fixes.
Annoyed because your Windows 11 restarts automatically? Don’t worry we’ll help you fix it.
Have you recently upgraded your PC to Windows 11 and experienced this horrific issue where your Windows 11 PC restarts automatically? We know how...
Hatari kweli viongozi wa Bara la Afrika Tanzania ni mojawapo, wakija mjini New York nchini Amerika, wanatumia pesa nyingi kukaa katika mahoteli ya kifahari kwa ajili ya Mkutano wa Umoja wa Mataifa aka UN. Wakati wananchi wao wanakufa na njaa na umasikini majangaa kweli hayo.
Tanzania yatoa tahadhari dhidi ya ugonjwa wa ebola
Wizara ya Afya nchini Tanzania imewashauri wananchi wake kuchukua tahadhari dhidi ya ugonjwa wa ebola siku moja baada ya nchi jirani ya Uganda kuthibitisha mlipuko mpya wa virusi vya ugonjwa huo.
Naibu Waziri wa afya Dk Godwin Mollel...
Michelle De Pacina
Mvulana mwenye umri wa miaka 10 amekamatwa nchini China kwa kumweka nyanyake kwenye kitanzi cha kichwa na kumnyonga hadi kufa.
Katika video inayosambaa mitandaoni, bibi huyo anaonekana akimpiga mvulana huyo mara mbili kichwani kabla ya kumpiga ngumi ya kifua na kumshika...
Dr. Mwaka amjibu Shekhe wa Mkoa wa DSM
Dr. Mwaka amesema kuwa watanzania siyo wajinga na wanayofanyiwa wanayaona, Masheikh wachafu na wasafi wapo na watanzania wanawajua. Ushahidi wa Masheikh hawa wachafu, watanzania wanao na hata yeye Mwaka mwenyewe anao pia.
Akasema kuna watu ambao kwa...
Mwanamke mmoja ameshindwa kuzuia hasira zake baada ya kudai kupigwa ngumi ya usoni na mchungaji wakati akimuombea.
Katika video iliyopostiwa kwenye Mtandao wa TikTok, mwanamke huyo anaonekana akiongea kwa hasira kwamba mchungaji alikuwa akimuombea na kumpiga ngumi kwa uchungu usoni kama njia ya...
Waziri wa Fedha na Mipango, Dk Mwigulu Nchemba (kulia) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika jijini Dodoma juzi. Wengine kuanzia kushoto ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Tamisemi), Innocent Bashungwa, Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira, Vijana na wenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.