Amazing: How Do American Hunters And Farmers Deal With Million Of Wild Boar And Lion By Guns.
Baada ya Miaka 20 Tanzania kutakuwa hakuna Simba.Watalii Wakija sijuwi watakuja kuona kitu gani? hatari sana.
Maelezo ya picha,Dawa inayotumiwa kuosha mdomo
Kuosha mdomo kunasaidia kupunguza maambukizi ya kisonono,watafiti wanaamini.
Utafiti wa hivi majuzi umeonyesha kwamba binaadamu wanaweza kubeba magonjwa ya zinaa katika koo zao kwa mda wa wiki moja ama hata miezi bila ya kupata dalili zozote.
Na...
Chanzo cha picha,Reuters
Maelezo kuhusu taarifa
Ndani kabisa ya mji wa kaskazini mwa Israeli wa Haifa, kuna hospitali kubwa ya chini ya ardhi.
Mamia ya vitanda vimepangwa ndani ya kuta zake za zege.
Kuna vyumba vya upasuaji, wadi ya wajawazito, na vifaa vya matibabu vilivyowekwa kwenye kona...
inasababisha saratani?
Mara nyingi mifuko laini na miepesi ya nailoni au Rambo kama inavyojulikana na wengi Tanzania imekuwa ikitumiwa na baadhi ya wananchi katika kufungashia chakula na hasa vyakula vya haraka kama chips au wali kwa wale wenye migahawa midogo kabisa.
Hata hivyo kuna baadhi ya...
Maelezo ya picha,"Nilidhani mpenzi wangu anaenda nje nilipouguzwa HPV"
Utafiti mpya umebaini kuwa viwango vya juu vya ukosefu wa kujua pamoja na fedheha inayohusishwa na virusi vinavyosababisha magonjwa ya zinaa yaani HPV, huathiri 80% ya watu.
Serikali ya Uingereza imezindua vipimo vya HPV...
Magonjwa mapya huibuka kila uchao, na magonjwa yaambukizwayo kwa ngono nayo ni miongoni mwao.
Hawa ni bakteria wanne ambao husababisha magonjwa makali ya zinaa ambayo yanaweza kuleta tishio la afya ya jamii.
1. Neisseria meningitides
Neisseria meningitidis, pia hufahamika kama meningococcus...
Katika miaka ya hivi karibuni, huduma ya afya inayolenga kudumisha hali nzuri ya afya ya uzazi imekuwa maarufu. Lakini suala hili sana sana linahusu afya ya wanawake wakati wa uja uzito, baada ya kujifungua na kuzeeka.
Ukweli ni kwamba wanaume pia wanahitaji kuyapatia umuhimu masuala...
Nigeria: Watu kadhaa wauawa kwa kupigwa risasi katika maandamano ya kulalamikia gharama ya maisha
Watu kadhaa wameuawa kwa kupigwa risasi nchini Nigeria katika mji wa Kano, kaskazini mwa Nigeria wakati wa maandamano ya kulalamikia gharama ya juu ya maisha.Baadhi ya waandamanaji walijeruhiwa...
Jeshi la Israel leo limethibisha kuuawa kwa mkuu wa jeshi la Hamas bwana Mohammed Deif kilichotokea 13 July 2024. Hamas wamekaa kimya kuhusu kifo cha huyu kamanda wao Mkuu.
---
Israel's military says it has confirmed that Hamas's military chief Mohammed Deif was killed in an Israeli air strike...
Wanigeria wakabiliwa na marufuku ya kutotoka nje ya saa 24 kufuatia maandamano
Maelezo ya picha,Waandamanaji wanapinga gharama ya juu ya maisha na kile wanachosema ni "utawala mbaya"
Mamilioni ya wakaazi kaskazini mwa Nigeria wanakabiliwa na amri ya kutotoka nje ya saa 24 huku kukiwa na...
Bomu lililotegwa Tehran miezi miwili iliyopita” lilimuua Haniyeh - New York Times
Chanzo cha picha,AFP
Maelezo ya picha, Ismail Haniyeh, mkuu wa ofisi ya kisiasa ya Hamas, akiwasili kushiriki katika hafla ya kuapishwa kwa Rais mpya wa Iran Masoud Pezeshkian katika bunge la Tehran Julai 30,
Saa...
Wizara ya Afya imethibitisha kesi ya kwanza ya ugonjwa wa virusi vya 'Mpox' mpakani mwa Taita Taveta na Tanzania baada ya kugunduliwa kutoka kwa mtu mmoja aliyekuwa akisafiri kutoka Uganda kuelekea Rwanda
Mamlaka hiyo imetoa tahadhari kwa raia wa Kenya Julai 31, 2024 kujilinda dhidi ya mlipuko...
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaomba radhi wananchi na wapenda demokrasia nchini kutokana na kauli aliyoitoa kuwa si lazima CCM ishinde kura kwenye boksi, bali kuna njia nyingine zikiwemo alizosema za haramu.
Akizungumza kupitia video aliyorekodi, leo...
amavubi gfsonwin
bao la mkono
goli la mkono
king'asti asprin
malcom lumumbamshana jr jingalao msemajikweli
nape
nape aomba radhi
nape nnauye
ushindi nje ya boksi
wizi wa kura
Huyo mtoto ameokotwa Mozambique (Msumbiji) akiwa na Mmalawi anapiga kelele kwamba huyo mtu aliyemchukua hamfahamu. Mtoto anaongea kiswahili pure na anasema kwao Mbeya but haijulikani ni Mbeya sehemu gani tumeombwa ku-share kwenye magroup kama kuna uwezekano wa kumpata mhusika wa mtoto.
Kutupeleka Rwanda haukutuzuia kufika Ulaya
Maelezo ya picha,Bahabelom Mengesha, ambaye kwa sasa anaishi Zurich, alipelekwa Rwanda na Israel mwaka 2014
Huku Uingereza ikiendelea na mpango wake wa kuwatuma waombaji wa uhamiaji nchini Rwanda, BBC imesikia Ushahidi kwamba, mwaka 2017, wakimbizi...
Hatupaswi kulipa Uingereza kwa mkataba uliovunjwa - Rwanda
Rwanda imesema haitakiwi kuirudishia Uingereza pesa baada ya makubaliano ya mamilioni ya pauni ya wahamiaji kati ya nchi hizo mbili kufutiliwa mbali.
Waziri Mkuu mpya wa Uingereza na kiongozi wa Chama cha Leba Keir Starmer alitangaza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.