Serikali idara ya ardhi for that matter, hutenga na kupanga matumizi ya ardhi ie maeneo maalum ya ardhi kwa shughuli kama viwanda, masoko, makazi, kanisa/misikiti/cemetries etc etc.
Wanafika kwenye eneo la mtu na kupanga matumizi hayo, then wanaondoka bila kulipa fidia. Na wakisha yatenga...