It's lady action again.....drama queen.
Haya najua wengi mtatukana weee lakini ndio nishaumbwa hivi sasa nitafanyaje?
Ipo hivi baada ya kutengana na mume kwa miezi kama 4 hivi, nimerudi na kudai vitu vyangu anazingua kunipa inabidi nibebe vyeti vyake vya shule kuanzia Kuzaliwa, Form Four...