kitabu

Kitabu is an EPUB reading application for macOS, released in 2012.

View More On Wikipedia.org
  1. Kitabu ni njia ya kutakatisha fedha chafu

    Sasa hivi tutaambiwa kitabu kimeuza nakala nyingi na kumuingizia fedha nyingi. Kumbe huu ni mkakati wa kutaka kutakatisha fedha chafu zenye lengo la uhaini. Vyombo viendelee kumonitor transactions zake na za wanaomfadhili. Kamwe fedha hizi zisiingizwe kuja kuchafua uchaguzi 2025.
  2. S

    Kitabu cha Erick Kabendera huenda kikafanya vitendo vya utekaji na mauji vikapungua kama sio kwisha kabisa

    Ninahakika watawala hivi sasa wako shocked na yaliyomo katika kitabu cha Mwandishi, Erick Kabendera kilichopewa jina la "IN THE NAME OF PRESIDENT " Watawala wataanza kuingia hofu kumbe hakuna siri hata wale tuliowaamini na kuwapa kazi ya kusimamia hizi operation ndio wa kwanza kutoa siri kwa...
  3. Je, Erick Kabendera hajaiba thread zetu humu JF kushibisha kitabu chake kimhusucho Magufuli?

    Yeah! Nadhani tunakumbuka jinsi bwana Yericko Nyerere alivyotuhumiwa kuiba nyuzi za wana JF kuandika vitabu vyake anavyoviita vya kijasusi hata akawapiga watu pesa Kwa kuwauzi vile vitabu. Sasa hivi kijana wetu Erick Kabendera amekuja na kitabu chake ambacho kwa kiasi fulani kimemgusia...
  4. Haya ni baadhi ya mambo mengine yaliyomo kwenye kitabu cha Erick Kabendera

    Erick Kabendera ndio habari ya mjini kwasasa! Kwenye kitabu chake hiki kipya, licha ya kuzungumzia masuala ya mauaji ya Ben Saanane yaliyofanywa na Hayati Magufuli, pia amejadili mambo mengine yanayomuhusu Magufuli kama ifuatavyo; 👉🏽 Kuna tuhuma kwamba hayati alikuwa anawapa changamoto sana...
  5. Ni kitabu gani ambacho ulishakisoma na unatamani watu wengine wangekisoma pia, (recommend hapo chini).

    Wasalaam... Ni marufuku kuongea juu ya jambo lolote kabla ya kufikiri ila pia fikra haziji kwenye kichwa kisicho na maarifa juu ya jambo au mambo yazungumzwayo. Kwahiyo ili mtu apate uwezo mzuri wa kufikiri zaidi ni lazima ajiongezee maarifa ya hapa na pale ndani ya kichwa chake na njia moja...
  6. Kitabu kipya cha Eric Kabendera: In The Name of The President; Memoirs of a Jailed Journalist

    Kwa Jina la Rais: Kumbukumbu za Mwandishi wa Habari Aliyefungwa Ni simulizi la Erick Kabendera kuhusu uzoefu wake chini ya utawala wa Rais John Magufuli wa Tanzania. Kitabu hiki kinaelezea jinsi uandishi wake wa uchunguzi ulivyomsababisha kukamatwa kwa madai ya utakatishaji fedha na ukwepaji...
  7. The-Book-I-Read, 2024, Kitabu nilichosoma

    The – book – I – Read, 2024 Ni wakati mwingine tena wa mwisho wa mwaka, tunapoelekea kuhitimisha mwaka 2024, na kuimba ule wimbo maarufu wa “Auld Lang Syne, tukimaanisha ‘For the Sake of Old (good) Days,’ ikiwa ni ishara ya kuaga mwaka na kuukaribisha mwaka mwingine (au kusheherekea...
  8. Download kitabu cha "Guidance and counselling in education institution" na ict and computer application for teachers(pdf)

    VITABU HIVI NI VIZURI KWA WALIMU, NA WANAFUNZI WANATAKA KUA WALIMU VITAWASAIDIA
  9. Mwenye kitabu Cha kunifanya niwe na mawazo chanya

    Wakuu nahisi Nina shida psychologically... Nashindwa kufanya Mambo mengi kwa sababu ya kuwaza hasi kila Mara, nahisi kama kitabu kitanisaidia zaidi kupambana na hali hii.... Kama Kuna mtu anaweza kunisaidia nitashukuru sana
  10. S

    Ni kwanini kitabu cha Henoko kilifichwa/ kiliondolewa kwenye Biblia? Je, ilikuwa ni mpango wa shetani??*

    Je, Ilikuwa ni mpango wa shetani?? 💫💫💫💫💫 © Mwl. Makungu Ms 0743781910 Ndugu mpendwa, watu wengi hawajui ya kuwa wakati Biblia inaandaliwa/ inakusanywa ili iwe mjumuiko wa vitabu vya pamoja, kuna vitabu vingine havikuingizwa. Na vingine viliingizwa halafu baadae vikatolewa tena...
  11. PATA KITABU CHA: KUZA UCHUMI WAKO SASA

    Hiki ndio kitabu kitakachokupa siri ya kukua kiuchumi,kibishara na mbinu za uwekezaji. Bei ya Ofa ya sasa ni Elfu Tatu(3000) badala ya Elfu kumi bei yake ya kawaida. Tunakutumia kwa njia ya WhatsApp au Email yako. YALIYOMO NDANI YA KITABU HIKI 👇👇 ✅Utangulizi ✅Yajue mambo 15 ili uanze...
  12. Kinachosubiriwa ni Kitabu cha Bibi Titi Mohamed

    https://www.facebook.com/share/r/Ddz2zfnNcBL6HWPw/?mibextid=Nif5oz
  13. B

    Wale Mliosoma Kitabu cha Poor Dady Rich Dady Miaka 10 iliyopita sasa hivi mna miliki Bilioni Ngapi ngapi?

    Si vibaya tukapeana mrejeshi ili kutoa hamasa mwa watu wengine, vijana na wenye mwelekeo wa kujikomboa kiuchumi. Miaka 10 hadi 15 iliyopita na pengine zaidi nikiwa Chuoni kulizuka utaratibu wa kujisomea vitabu ili kupata maarifa na kukuza ubongo. Pamoja na nia nzuri hiyo wasomaji wa vitabu...
  14. KITABU CHA ZABURI YA 1 - 10

    📚 KITABU CHA ZABURI YA 1 - 10 🗞Dondoo Muhimu unaposoma kitabu hiki chenye vitabu 5 ndani yake. (Kitabu cha kwanza Zaburi ya 1 - 41) 1. kipindi ukristo unapita kwenye marekebisho moja ya kitu kikubwa walichokitumia ni nyimbo Luther anasema reformation isingewezekana bila mambo mawili...
  15. Pitia hiki kitabu kisha ufanye uchambuzi kuhusu Makonda na wakuu wa dini pamoja na taasisi zao!

    Huyu mwandishi alikuwa ndani ya Vatican,kwa siri alizoziona ndani, akatoa kitabu kilichouza sana na kupata umaarufu mkubwa! Alitoa nukuu zifuatazo kama tahadhari kuhusu watu aina ya Makonda na wakuu wa dini pamoja na taasisi zao: "The most dangerous of men are those who appear very...
  16. Safari ya Miaka 60: Kitabu Cha Picha Historia ya Tanzania

    SAFARI YA MIAKA 60 NDANI YA CHAPISHO LA PICHA ZA HISTORIA YA TANZANIA Leo Maktaba imebahatika kutembelewa na mwandishi wa kujitegemea ambae ameandika na anaendelea kuandika sasa kwa miaka na magazeti maarufu ya Ulaya. Ally Sultan. Ally Sultan hakuja mikono mitupu amekuja na kitabu na jarida...
  17. Fanya haya kupata faida kwenye hisa

    Kunufaika na hisa (au uwekezaji katika soko la hisa) kunahitaji kuelewa jinsi zinavyofanya kazi na kuwekeza kwa busara. Hisa ni umiliki wa sehemu ndogo ya kampuni, na unaponunua hisa unakuwa mshirika wa kampuni hiyo. Hapa ni njia za kufaidika na hisa: 1. Faida Kutokana na Ongezeko la Thamani...
  18. Biblia kitabu cha Ajabu Sana

    Mwaka ujao nitajitahidi nifike pale Israel nikajionee jinsi Mji wa Daudi na Ushahidi wa Kihistoria na Kibiblia, gharama za kuingia kufanya ziara ni shekeli 45-60 sawa na 30,000-40,000 ya kitanzania . Hebu tuone kidogo kuhusu huu unaoitwa Mji wa Daudi Kiaikolojia na Kibiblia, Mji wa Daudi ni...
  19. G

    Chat gpt imenitimizia ndoto ya kuandika kitabu changu, sina haja ya kumlipa proof reader kusahisha makosa ya grammer / broken english

    Nilikuwa na ndoto ya muda mrefu sana ya kuandika kitabu changu cha taaluma niliyosomea, kuna somo nipo nondo vibaya mno !! Hofu yangu kubwa ilikuwa ni english kwenye mambo ya grammer, articles, prepositions, nk. Chat GPT imenipa confidence kubwa sana, nachofanya naandika kurasa moja au mbili...
  20. Waziri Aweso ashiriki Maulid ya Mtume Korogwe, nakusoma kitabu cha Maulid, Mlango wa Nne

    Waziri wa Maji na Mbunge wa Pangani, Jumaa Aweso, ameungana na waumini wa dini ya Kiislamu katika hafla ya Maulid ya Mtume iliyofanyika kijijini Kwa Mndolwa, wilayani Korogwe, mkoani Tanga. Hafla hiyo pia ilihudhuriwa na Sheik Mkuu na Mufti wa Tanzania, Abubakar Zubeir, ambaye aliongoza waumini...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…