Kiteto District is one of the six districts of the Manyara Region of Tanzania. It is bordered to the north by the Simanjiro District, to the east by the Tanga Region and to the south and west by the Dodoma Region. The district headquarters are located in Kibaya.
According to the 2002 Tanzania National Census, the population of the Kiteto District was 152,757.[1] According to the 2012 Tanzania National Census, the population of Kiteto District was 244,669.The District Commissioner of the Kiteto District is Lt. Lepillal Ole Moloiment.[2]
Wakulima wa Vijiji vya Mwitikira, Ndaleta, Katikati, Ngabolo na Olboloti Wilayani Kiteto Mkoani Manyara waliodai kuporwa maeneo yao ya mashamba wamemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kuingilia kati changamoto yao inayowakabili kuhusu kuporwa ardhi ya Wafugaji wakidai kuwa wanapewa nguvu na baadhi...
Karibuni wateja wetu ,
Tunayo mashamba na viwanja maeneo yafuatayo ,
Kiteto tunayo mashamba kwa bei nafuu inaanza laki saba mpaka ml 1 na laki moja , hayapo mbali na mji huduma zote zakijamii zinapatikana. Zipo za kijijini ni laki 4 tu.
Pi kuna viwanja vipo arusha, boma kwa bei nafuu unalipia...
Kwenye sakata la zao la Mbaazi Kiteto, wakulima na wadau wa kilimo wameumizwa sana na Maamuzi yako yaliyokuwa yamejaa dharau, kiburi na Majivuno.
Mara zote ulikataa kusikiliza upande wa Pili wa wadau wa kilimo, wewe ukakumbatia kundi la Madalali.
Matokeo yake wakulima waliokuwa na mbaazi zao...
Hali ya kushangaza na kustajabisha Katika zoezi la Mnada wa zao la Mbaazi. Kuna ufisadi mkubwa umefanyika Katika ununuzi wa Mbazi kutoka kwa wakulima wilayani Kiteto.
Mnada wa kwanza na waoili kuna tani zaidi ya 150 zilichukuluwa kwa wakulima na kupakiwa kwenye Malori direct kutoka kwenye...
Wakulima wa mbaazi wa hapa mjini Kibaya wanalalamikia kuwa viongozi wa Wilaya wameshindwa kulinda maslahi ya wakulima wa mbaazi Wilayani Kiteto na wao kugeuka ndio madalali wa zao hilo.
Wakulima wamepima mbaazi zao toka wiki Moja iliyopita na bado hela hawajalipwa.
Kibaya zaidi wao mbaazi yao...
Ugomvi wa wakulima na wafugaji wilayani Kiteto unachangiwa kwa kiasi kikubwa na Viongozi wa Wilaya kuwasadia jamii ya wafugaji kulisha Mifugo yao kwenye mashamba ya wakulima.
Na wanapata nguvu kubwa kwa DC Wa Kiteto ameweka wazee upande anauoupendelea kwenye sakata hili.
Mwaka huu wakulima wa...
Wananchi na wakulima wa zao la mbaazi wanaomba kauli ya Mheshimiwa Rais ya kushauri wakulima wa korosho wasafirishe korosho zao kwa vibali. Pia itumike kwa wakulima wa mbaazi wilayani Kiteto kuruhusiwa kuuza mbaazi zao kwenye masoko yenye bei kubwa, kuliko kulazimishwa na watu wachache kuuza...
Mnada huo ambao ulitarajiwa kufanyika toka Jumanne, uliahirishwa mara mbili na hatimaye kufanyika Alhamisi 14/09. Wakulima zao la Mbaazi, walishangazwa na bei ya mnada kuwa chini kuliko matarajio.
Kwa masikitiko makubwa walitangaziwa Bei ya Tshs 2190/ Ukiniunganisha na Bei ya Mbaazi Kwa soko...
Nani yupo nyuma Ya VIONGOZI WA AMCOS
Wakulima wa Mji mdogo wa Matui Wilayani Kiteto Tunashanga. Nguvu na uhalali wa Viongozi wa AMCOS Matui,
Chama hichi Cha ushirika Matui, hakijawahi kuitisha Mkutano wa wanachama Wala kusoma Mapato na Matumizi, Kikubwa Zaidi hata Bodi ya Uongozi haipo ...
KERO YA MAJI KANDIYA HAITANISHINDA - MBUNGE EDWARD LEKAITA
Mbunge wa Jimbo la Kiteto, Mhe. Edward Ole Lekaita amewaambia wananchi wa tawi la Kandiya Kitongoji cha Kona kuwa changamoto ya Maji waliyonayo haitamshinda kuitatua na ameahidi kushirikiana na RUWASA kutatua changamoto hiyo.
Mbunge wa...
Mbunge wa Jimbo la Kiteto Edward Ole Lekaita ametembelea Kisima cha Maji Bwagamoyo ili kukagua maendeleo ya mradi huo wa Mradi wa Maji wenye thamani ya Shilingi Milioni 750,000,000
Ziara ya Mhe. Lekaita ililenga kukagua Ujenzi wa Miradi ya Maji, kuzungumza na kusikiliza kero za wananchi na...
MBUNGE EDWARD LEKAITA AKAGUA MIRADI YA MILIONI 390 KATIKA KATA YA KIPERESA, KITETO
Mbunge wa Jimbo la Kiteto, Mhe. Edward Ole Lekaita ameendelea na ziara yake katika maeneo mbalimbali ya Jimboni katika Kata ya Kiperesa na kukagua Ujenzi wa Miradi katika Sekta ya Elimu, Afya, Maji na Barabara...
MBUNGE EDWARD LEKAITA AKAGUA MIRADI KATIKA KATA YA KIPERESA JIMBO LA KITETO MKOA WA MANYARA
Mbunge wa Jimbo la Kiteto, Mhe. Edward Ole Lekaita ameendelea na ziara yake katika maeneo mbalimbali ya Jimboni katika Kata ya Kiperesa na kukagua Ujenzi wa Miradi katika Sekta ya Elimu na Afya.
Mhe...
KITETO KUNUFAIKA NA MRADI WA UJENZI WA BARABARA SABA ZA LAMI
Mbunge wa Jimbo la Kiteto Mhe. Edward Ole Lekaita, akitoa neno kwa niaba ya wananchi wa Jimbo la Kiteto kwenye Hafla ya Utiaji Saini wa Mikataba ya Ujenzi wa Barabara Saba.
Barabara Saba zitakazojengwa Kiteto ni pamoja na Kongwa -...
JIMBO LA KITETO
TAARIFA KWA WANANCHI WA KITETO
HAFLA YA KUSAINIWA KWA MIKATABA UJENZI BARABARA ZA LAMI
Ndugu wananchi wenzangu wa Jimbo la Kiteto nachukua fursa kuwafahamisha kuwa KESHO tarehe 16. 6.2023 Wizara ya Ujenzi kupitia kwa Mhe. Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi Mhe. Profesa Mbarawa...
MBUNGE EDWARD OLE LEKAITA ASISITIZA MATUMIZI YA UCHUMI WA KIDIGITALI & APONGEZA UJIO WA MINARA YA MAWASILIANO KATIKA KATA 12 ZA KITETO
"Namshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kuweka fedha nyingi sana kwenye Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari. Nampongeza Waziri Nape na Naibu...
JIMBO LA KITETO - EDWARD OLE LEKAITA
TAARIFA MAALUM KUHUSU UJENZI BARABARA ZA LAMI
BARABARA KONGWA - KITETO- SIMANJIRO- ARUSHA KM 453
BARABARA HANDENI - KITETO- NCHEMBA - SINGIDA KM 460
Ndugu wananchi wenzangu wa Jimbo la Kiteto najua wengi wenu mmekuwa mnanipigia simu kuhusu Ujenzi wa...
JIMBO LA KITETO - TAARIFA MAALUM KWA WANANCHI KUHUSU MIRADI YA HUDUMA ZA MAWASILIANO
Ndugu wananchi wenzangu wa Jimbo la Kiteto natambua kuwa wakati natafuta kura tulipata changamoto nyingi sana za huduma ya mawasiliano ya simu katika Vijiji zaidi ya 30 ambavyo mitandao ya simu ni...
MBUNGE MHE. EDWARD KISAU - TUMEPOKEA FEDHA ZA MIRADI YA UJENZI WA MADARASA KATIKA SHULE ZA MSINGI KONGWE
JIMBO LA KITETO - TAARIFA KWA WANANCHI WA KITETO
Mbunge wa Jimbo la Kiteto Mhe. *Edward Ole Lekaita Kisau anapenda kuwafahamisha wananchi wa Jimbo la Kiteto kuwa jimbo limepokea fedha...
Wanawake wawili wa Kijiji cha Kimana wilayani Kiteto Mkoani Manyara, wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Kiteto kwa kukutwa na nyara za Serikali, ambazo ni Swala na mtoto wa mnyama aina ya Digidigi ambaye yuko hai.
Wanawake hao ni Veronica Paulo (24) na Witnes Paulo (20) ambapo Machi 20.2023...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.