UKIWA KIONGOZI WA UMMA CHUNGA NDIMI YAKO USIJE KUWA KITUKO KWA MANENO YAKO
Na Unoko ni Uzalendo
Ukiona mtu anaweweseka kwa sauti serikali kukopa muulize je yeye hana mkopo na kama anao Bondi ya huo mkopo ameiweka serikali au mali zake binafsi?
Kuna wakati tusijifanye tuna uzalendo wa hii...
Simba hawajujipanga kuandaa hiyo shughuli. Ma mc WaPo very dis organised.
Morrison nae ndio kaongea makolokolo Gani ?
Simba SC is very boring.
# Haji Manara is cut from a different cloth
Naamin mpo good wadau,
Leo nlikua kijiwen na wajuba tunapiga piga story ya mambo za Hamza, mara story zikahama mpaka kwenye minyaduano maana kuna dada bonge bonge alipita kijiweni akaharibu kilinge baada ya jamaa mmoja kusema unaeza muona na minyama hivo halafu ukafika 6x6 ukakuta hakuna kitu...
Yaan kuna wasanii hawaeshimu kabisa protocol za mavazi.
Haya cheki huyu jay melody nani anampa kiburi cha kuvaa suruali ambayo haimtoshi, suruali ambayo kavalia mkanda huku kafunga suspendor(sambaloketo:dk1.20).
Ni jambo la kushtusha sana, mbona inafahamika kama una suruali inayopwaya kiunoni...
Yapo mengine unashindwa kuyaeleza hivyo unaiachia video ndio iongee, karibuni sana...
Kama sifa zinalevya, basi Mh Rais Samia Suluhu Hassan kaa chonjo na watu kama hawa!
Juzi kwa mwendazake leo kwako...waepuke wanafiki hawa, kaa mbali nao na waogope kama ukoma!
1.
2.
3.
4.
5.
6.
7.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.