kizazi

Kizazi is an administrative ward within Muhambwe Constituency in Kibondo District of Kigoma Region in Tanzania.
At the time of the 2012 census, Kibondo District had a total population of 261,331.

View More On Wikipedia.org
  1. Stroke

    Hivi kwanini watu wa kizazi cha sasa ni wepesi sana?

    Wazee wetu sijui walikua na utaratibu gani wa maisha ila naona miili yao ina nguvu sana tofauti na Wa kizazi cha sasa. Hata mtu akiwa na mwili mkubwa ila ukimsukuma kidogo tu anapepesuka, au hata kumsalimu unasikia kabisa jinsi alivyo mwepesi. Tatizo ni nini? Nini siri ya wazee wetu kuwa na...
  2. mkamanga original

    Niseme tu Katiba Mpya tusubiri miaka 100 mbele, kizazi hiki hakina uwezo wa kuisimamia hiyo katiba mpya inayodaiwa

    Napingana sana na wana harakati na waumini wanao dai sasa nchi inahitaji katiba mpya ili iweze kwenda mbele.Mimi napingana nao kwa sababu kuu zifuatazo 1. Kwa sasa kudai uandaaji wa katiba mpya ni kupoteza fedha na muda kwa sababu sisi kama nchi bado hatuna uwezo wa kuisimamia hiyo katiba mpya...
  3. Jaji Mfawidhi

    Lengai Ole Sabaya kachukua tabia ya Baba yake

    Maandiko yanasema muuaji na mtesaji kwa watu wasio na hatia damu hizo zitawalilia mpaka kizazi cha nne, Sabaya ni kizazi cha kwanza cha utesaji akirithi kwa Baba yake. leo 25-11-2022 Sabaya " Mussolin" anaendelea kunyea ndoo gereza la Karanga, na hataki kutubu kwa watu aliowatesa na kupora mali...
  4. luangalila

    Ipo siku Kenya itatawaliwa na kizazi cha Somalia

    Kama kichwa cha Habari kisemavyo hapo Juu. Kenya imejumuisha wanachi wenye asili tofauti tofauti wakiwemo wazungu, wa asia, na wabantu wenyewe wazawa wa kenya ambao jamii kubwa ndiyo ilikuwepo wakat Kenya ina kuwa huru, lakin miaka ya 1990's kuendelea taifa hiki limekumbwa na wimbi la watu...
  5. Ryan Holiday

    Kwanini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi?

    Hello WanaJf Bibi yangu Rukia kuna siku aliniuliza Mjukuu wangu unajua kwa nini wanawake wengi wa kizazi cha sasa hawaolewi? Mimi: Hapana Bibi Bibi: Hii ndiyo sababu mjukuu wangu "Kuonja onja umeshashiba". Mimi: Inamaana gani bibi? Bibi: Nikimaanisha kwamba mambo yanayopatikana kwenye ndoa...
  6. Linguistic

    Hiki ndicho kizazi cha sasa cha hawa mabinti

    Kama Una Binti Yako Na Hawa Ndio Wakawa Marafiki Zake Basi Jua Kabisa Hauna Binti, Kwisha Habari Yake... Team LGBT
  7. kombaME

    Wanawake Tafuteni hela zenu, kizazi cha wanaume wahongaji kinaenda kufika tamati

    Kama heading inavyosema hapo juu, Dada zangu tafuteni hela, yaan Vijana wa siku hizi ukiwa mzigo kwake umeachwa, utachezewa hadi uchakae na ndoa huioni ng'oo. Vijana siku hizi wakiombwa hela wanahisi km wanataka kuibiwa wanatoka nduki km wameona kirusi cha Corona, madada tafuten hela. Wadada...
Back
Top Bottom