kompyuta

  1. MOSintel Inc

    MSAADA: Nahitaji kubadili Window OS na kuweka softwares kadhaa katika kompyuta yangu

    Habari za wakati huu wana_jukwaa? Ni imani yangu mtakuwa mnaendelea vyema na majukumu ya kila siku. Kama heading inavyojieleza, Nahitaji: 1. Kuweka windows 10 pro na drivers zake kwenye Kompyuta ikiwa ni pamoja na Antivirus. 2. Ku install softwares kadhaa katika kompyuta: I. Adobe ...
  2. chizcom

    Kwanini graphic card zina bei sana kuliko kompyuta?

    Leo nilikuwa nataka kuagiza kompyuta ni kaona kwanza niingie Kwenye mitandao kuuliza na kupata maoni kabla ya kununua. Kompyuta asilimia kubwa uwezo wake unategemea graphic card kwa maelezo niliyopata kwa sababu ndio kuitwa (GPU) graphics processing unit. Uwezo GPU ukiwa mkubwa na ndiyo...
  3. Babe la mji

    Sakata la ofisi ya DPP kuvunjwa na kompyuta kuibiwa liliishia wapi?

    Nakumbuka ni kipindi ambacho afisi ya DPP iligeuka kuwa TRA yani mtuhumiwa anakili kosa kisha analipa fidia mambo yanaisha. Hii iliwahusu wale wenye kesi za uhujumu uchumi. Lakini ghafla tukasikia ofisi imevunjwa na nyaraka zimeibwa. Sasa nauliza vipi hili sakata liliishaje? Vipi watuhumiwa...
  4. ngotho

    Kozi zinazohusisha matumizi ya kompyuta..

    wakuu Habarini za saiz.. tumsifu yesu kristo.. Bwana yesu asifiwe... salam alihekum... wakuu wangu kuna swala dogo sana linanisumbua akili ... naombeni mnieleweshe .. ivi kozi zote zinazohusisha matumizi ya kompyuta kv.. it, bachelor of sciences information technology.. computer sciences...
  5. DustBin

    SoC01 Laptop ilivyobadilisha maisha ya Jojina wa Gairo

    Baada ya kuhitimu masomo yake ya kidato cha sita mwaka 2013 katika shule ya sekondari ya wasichana Kilakala, Jojina alirudi nyumbani kwao Gairo. Jirani yao Mzee Mkude alikuwa amefungua duka la vifaa vya maofisini na shuleni (stationery) karibu na stendi ya zamani. Hivyo Jojina alimuomba Mzee...
  6. C

    Napenda kuwa mtaalam wa kompyuta maintanance na kufanya windows installation

    Jamani wakubwa humu ndani, mimi mwenzenu napenda kuwa mtaalam wa "Computer maintenance " Sema sijapitia chuo labda kusoma elimu hii ya computer, lakini naijuia kuitumia kwa kiasi fulani (sio mjuzi sana) Sasa nawauliza nyie kama wataalamu wa haya mambo nifanyeje ili. Niweze ku-master ujuzi...
  7. isajorsergio

    Tatizo la upakiaji maudhui Instagram katika tovuti kupitia kompyuta

    Nakumbana na tatizo wakati wa upakiaji maudhui (Picha/Video) Instagram kupitia kompyuta. Nimetumia mbinu mbalimbali kuweza kutatua na kila jitihada pasi ya mafanikio, nawaza yaweza kuwa tatizo toka Istagram moja kwa moja. Kuna yeyote amekumbana na tatizo hili, Ipo namna ya kulitatua?
  8. S

    Natafuta msichana wa kuuza duka la vifaa vya kompyuta

    Habari natafuta mtu wa kuuza duka la vifaa vya kompyuta ambapo vile vile dukani hapo inatolewa huduma za kiufundi. Vigezo Awe mkazi wa Arusha Mjini. Awe anajua kufanya troubleshooting za kompyuta. Awe anajua vizuri spea za laptop na desktop na jinsi ya kubadilisha. Awe anajua kutoa kauli nzuri...
  9. Spacefox

    Jinsi ya kutumia King'amuzi kwenye kompyuta (PC)

    Habari za humu ndani, Nina king'amuzi cha Azam TV nahitaji niunganishe na Kompyuta mpakato. Kwa anayefahamu namna ya kuunganisha naomba anielekeze Shukrani.
  10. Richard

    Majasusi waivuruga Australia. Wadukua mifumo yao ya kiusalama ya kompyuta. Macho yaelekezwa kwa China, Russia na Korea Kaskazini

    Nchi ya Australia ipo katika kipindi kigumu baada ya mifumo yake ya kompyuta kudukuliwa na majasusi na kuharibu mifumo yake ya mashule, vyuo na mahospitali Mashambulizi hayo pia yamevuruga na kuharibu mifumo ya kompyuta za masuala ya biashara na mifumo ya serikali kwa ujumla Taarifa yaendelea...
  11. kimbendengu

    Kazi za muda mfupi za kompyuta

    Husika na kichwa cha habari hapo juu mimi ni raia wa kawaida hapa kisarawe kwa Sasa naomba msaada wa kusoma kozi za muda mfupi kwa jiji la Dar es salaam,hivyo kama kuna mdau yeyote anayefahamu eneo wanalofundisha hizo kozi za muda mfupi aje hapa jukwaani anisaidie,iwe miezi mitatu, miezi sita...
  12. BeEducated

    INAUZWA Kompyuta desktop complete inauzwa

    Nauza Komyuta (Desktop complete) Yenye Sifa zifuatazo. Core i5 @ 3.10 proccessor, 4GB RAM, 500GB HDD, 19" Monitor, keyboard and Mouse. Bei ni Tsh. 330,000/. Napatikana Dodoma mjini . Kwa maawasiliano : Phone: 0620823250 / 0744774462, Whatsapp:0744774462 Karibun sana!!.
  13. Stephen Ngalya Chelu

    Uzi wa kuweka picha zilizotengenezwa na kompyuta

    Habarini wakuu Nimeamua kuanzisha huu uzi maalumu kwa kuweka picha zilizotengenezwa kwa mifumo ya kompyuta. huu utakuwa ni uzi wa kuweka picha tulizozitengeneza sisi wenyewe na si picha za ku download au kuweka picha kutoka kwa mtu mwingine. Huu uzi ni wa kujumuisha watu wote: wanaozalisha...
  14. Suley2019

    Namna matumizi ya simu au Kompyuta yanavyosababisha tatizo la uoni hafifu

    Daktari bingwa wa magonjwa ya macho kutoka Hospitali ya CCBRT, Dar es Salaam, Cprian Ntomoka amesema kuwa matumizi ya vifaa vyenye mwanga mkali kama simu na kompyuta yanaweza kusababisha tatizo la uoni hafifu au hata upofu wa muda. Dk. Ntomoka ambaye pia ni Mkuu wa Kitengo cha Macho katika...
  15. Victor Mlaki

    Hongera Uganda kwa kufanikiwa kutengeneza simu na pia kompyuta mpakato nitaagiza ya kwangu nione fahari

    Nchi ya Uganda imefikia hatua nzuri sana inayostahili pongezi kwa kuweza kutengeneza simu na kuziingiza sokoni. Uzalishaji unaonekana kuwa simu 2000 za kawaida, smartphone 1500 na kompyuta mpakato 800. Watanzania tujifunze hapo napo
  16. J

    Lengo la kujaza fomu yoyote ni kupata taarifa siyo kutegana

    Injinia Kagoshaki kutoka Japan ameshangaa inakuwaje mtu anayegombea uongozi wa serikali anajaza fomu kwa mkono! Kagoshaki anasema Japan unapojaza fomu yoyote hata ya kuomba chumba cha kulala Hotelini utatumia kompyuta ambayo itakuwa inakupa mwongozo ili usikosee. Lengo la kujaza fomu ni kupata...
  17. Dr Orb

    Muongozo wa software developer anaeanza part-3 (WEB BASED APPLICATION)

    Uzi huu unaletwa kwenu na Orb Tech LLC. Ni muendelezo wa uzi huu Muongozo wa software developer anaeanza part-2 Sehemu hii tutazumgumzia Web based applications. Kama tulivyoainisha hapo awali hizi ni program zinazotumia internet katika kufanikisha jambo lililokusudiwa mfano Kupatana...
  18. Tukudzi

    Jinsi ya kubadilisha lugha ya kompyuta iwe Kiswahili

    Ungependa kubadilisha lugha ya tarakilishi yako kutoka Kimombo hadi Kiswahili? Ungependa kutumia Microsoft Office kwa Kiswahili? Basi fuata maagizo haya. Kitu cha kwanza unachofaa kujua ni kuwa Windows hutumia faili aina ya LIP (language interface pack) kuwezesha lugha zisizo Kimombo kuonyeshwa...
Back
Top Bottom