korea

  1. MK254

    Kamala Harris atembelea Korea Kusini, Korea Kaskazini walipua makombora baharini

    Kama ilivyokua kwa Pelosi kuitembelea Taiwan ambapo Wachina walijibu kwa kupiga bahari kwa makombora, ndivyo imekua kwa Korea Kaskazini kuonea bahari kwa kuipiga kwa makombora kisa makamu wa rais wa USA ametembelea Korea Kusini. ======= US vice president Kamala Harris arrived South Korea a...
  2. Messenger RNA

    Korea Kaskazini yakana kuiuzia Urusi silaha na wala haitafanya hivyo

    Korea kaskazini imekana kuwa haimpi mrusi siraha wala haina mpango huo baada ya ripoti ya marekani kuwa korea ambaye ni mshirika wa karibu wa urusi imeombwa na urusi kumpa siraha. ========= North Korea says it has never sold weapons to Russia and has no plans to do so in the future, following...
  3. Suley2019

    Korea Kusini: Google na Meta zapigwa faini kwa kuuza taarifa binafsi za watu kwa matangazo

    Serikali ya Korea Kusini imetoza faini ya jumla ya dola milioni 72 dhidi ya Google na Meta kwa kukusanya na kutumia taarifa binafsi kinyume cha sheria. Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi iliyo chini ya Ofisi ya Waziri Mkuu iliamua kutoza faini ya bilioni 69.2 na bilioni 30.8 dhidi ya Google na...
  4. Narumu kwetu

    Urusi yaishiwa silaha yaamua kuagiza North Korea

    Super power mandonga aishiwa silaha, sasa akipigana miaka 2 si ataishiwa mpaka bunduki, hahaaaa super power wa mchongo anachekesha. Russia to buy North Korean artillery shells, rockets: Report Declassified intelligence from the US says that Moscow is turning to isolated state to secure weapons...
  5. MK254

    Putin mpaka anatamani kutumia hawa wanajeshi wa Korea Kaskini licha ya njaa yao na unyonge

    Kwa sasa Urusi inaomba msaada wa wanajeshi kutokea popote, hadi wanafuata hawa wa Korea Kaskazini, sema itabidi kwanza walishwe chakula kama miezi miwili ndio waingie kwenye mapambano North Korea offering 100,000 troops to help defeat Ukraine, Russian state media says...
  6. S

    Korea Kaskazini yakataa ofa ya Korea Kusini ya kuacha nyuklia ili ipewe misaada ya kiuchumi, yamwambia rais huyo afunge mdomo wake

    North Korea imemwambia rais wa South Korea afunge domo lake kufuatia rais huyo kuiomba North Korea iache silaha zake za nyuklia kisha South Korea itaipatia misaada kedekede ya uchumi. Majibu hayo kuntu yametolewa na dada yake Kim Jong-Un aitwaye Kim Yo Jong ambapo pia akaongezea kuwa South Korea...
  7. ward41

    Baadhi ya Brand kubwa za Korea Kusini

    Haya hapa ni baadhi ya makampuni ya kibabe ya Korea ya KUSINI. Thamani yake ni billions of dollars. Kila kampuni hapo ukiigusa ina brand ya kibabe. KIDUKU Yuko busy na vi nuclear vyake Saba. Kumbuka haya mataifa yalikuwa maskini sana miaka ya 1950s. Lakini sasahivi ni kama mbingu na ardhi...
  8. T

    Maono: Siku Marekani akichoka visa vinavyofanywa na Korea Kaskazini huenda ataifuta kabisa

    Kila siku Korea kaskazini inajaribu kujitutumua mbele ya Marekani kwa kujaribu kuwatisha Korea Kusini na Japan kwa majaribio ya silaha za nyuklia. Majaribio hayo yanaikera Marekani kwa kiwango kikubwa ila kwa usalama na amani ya dunia anaamua kukaa kimya wala kutokujibu majaribio hayo huku...
  9. MK254

    #COVID19 Kim Jong Un apata nafuu baada kuugua Corona, aahidi kulipiza kisasi kwa Korea Kusini

    Dadake atoa tamko na kusema kiongozi huyo sasa yupo imara baada ya kuugua na kwamba watalipiza kisasi kwa Korea Kusini maana wanasema ni mchezo ulikua umechezwa kiaina fulani hivi......... SEOUL (Reuters) -North Korea's Kim Jong Un declared victory in the battle against COVID-19 on Thursday...
  10. Webabu

    Korea Kaskazini kuipa Urusi wanamgambo 100,000

    Taifa la Korea Kaskazini limesema liko tayari kutuma wanajeshi laki moja kuisadia Urusi katika vita vyake na Ukraine. Kauli hiyo ilitolewa katika kipindi kimoja cha tv kinachoruswa na televisheni ya taifa ya Urusi. --- North Korea offers Russia ‘100,000 volunteers’ to fight Ukraine, says...
  11. Gama

    Kim Jong-un wa North Korea atiwa wasiwasi na maputo yaanayorushwa na mahasimu wake

    Wapinzani wa mtawala wa North Korea ambao wengi wao wako korea ya Kusini wamekuwa wakipeleka misaada jamaa zao walioko Korea ya Kiduku kwa kutumia maputo maalum yaliyojajwa hewa ya helium. Misaada amabayo imekuwa ikipelekwa kwa njia hiyo ni pamoja na madawa, barakoa na tembe za Vitamin c...
  12. Mathanzua

    #COVID19 North Korea reports 99.98 percent COVID recovery rate without vaccination

    North Korea says 99.98% of its nearly 5 million "fever patients" since late April have fully recovered. The country has a near 0% COVID vaccination rate. North Korea is reporting that 99.98 percent of their nearly five million COVID-19 “fever patients” have recovered from the disease since...
  13. STRUGGLE MAN

    Korea Kaskazini watishia kuzifuta katika ramani ya dunia Japan na Korea Kusini

    "TUTAANZA KWA KUZIFUTA JAPAN NA KOREA KUSINI KWENYE USO WA DUNIA", Kim Jong Un Akihutubia Kongamano la Chama cha wafanyakazi Jijini Pyongyang, Kiongozi wa Korea kaskazini Kim Jong Un, Amewatahadharisha NATO na Mkuu wa US wasijaribu kueneza chokochoko Karibu na Jamhuri yake kwa Kufanya Mazoezi...
  14. Jamii Opportunities

    Gender Project Officer at Korea Food For The Hungry International (KFHI)

    JOB OPPORTUNITY KFHI Zanzibar POSITION: Gender Project Officer RECRUITMENT: Tanzanian National REPORTS TO: Project Manager DURATION: Two years and six months (by extension per year) PLACE OF WORK: Unguja or Pemba, Zanzibar, Tanzania POST LEVEL: O-7 Korea Food for the Hungry International (KFHI)...
  15. Jamii Opportunities

    Health Project Officer at Korea Food for the Hungry International (KFHI)

    JOB OPPORTUNITY KFHI Zanzibar POSITION: Health Project Officer RECRUITMENT: Tanzanian National REPORTS TO: Project Manager DURATION: Two years and six months (by extension per year) PLACE OF WORK: Pemba, Zanzibar, Tanzania POST LEVEL: O-7 Korea Food for the Hungry International (KFHI) is a...
  16. JanguKamaJangu

    Korea Kaskazini yakosoa mkataba wa kijeshi wa Marekani na washirika wake, wadai wanatengeneza NATO ya Asia

    Korea Kaskazini imeukosoa mkataba wa ushirikiano wa kijeshi uliosainiwa kati ya Marekani, Japan na Korea ya Kusini ikidai una lengo la kuiongezea nguvu Marekani hasa dhidi ya wapinzani wake. Korea Kaskazini wanaamini umoja huo ni sehemu ya kujiimarisha kwa Marekani na kutengeneza ngome yake...
  17. beth

    #COVID19 Korea Kaskazini yadai mlipuko ulisababishwa na 'vitu vya ajabu'

    Serikali imedai Mlipuko wa kwanza wa COVID-19 ulianza baada ya Wagonjwa kugusa "Vitu vya ajabu" (Alien Things). Imeripotiwa kuwa, Uchunguzi uliwabaini watu wawili waliopata maambukizi mwanzoni mwa mlipuko huo baada ya kushika vifaa visivyojulikana karibu na mpaka wa Korea Kusini. Japokuwa...
  18. JanguKamaJangu

    Ugonjwa wa ajabu wa tumbo waibuka Korea Kaskazini

    Korea Kaskazini inapambana kudhibiti mlipuko wa ugonjwa "mbaya" wa matumbo ikiwa ni mwezi mmoja baada ya nchi hiyo kukumbwa na mlipuko wa maambukizi ya COVID-19. Vyombo vya habari havijaweka wazi taarifa zaidi kuhusu ugonjwa huo lakini Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong Un ametuma timu ya...
  19. Tony254

    Kenya ime-export kahawa ya kwanza kuenda South Korea

    Tuendelee vivi hivi. More exports is important for our economy. (BOLLORE ) - Bolloré Transport & Logistics was recently commissioned to handle a logistic operation organizing the first direct shipment of coffee by Kenyan farmers to South Korea without the use of a coffee brokerage. This was...
  20. ward41

    North Korea Cars

    Umaskini wa kujitakia
Back
Top Bottom