korea

Korea is a region in East Asia; since 1945 it has been divided into what are now two distinct sovereign states: North Korea (officially the "Democratic People's Republic of Korea") and South Korea (officially the "Republic of Korea"). Korea consists of the Korean Peninsula, Jeju Island, and several minor islands near the peninsula. It is bordered by China to the northwest and Russia to the northeast. It is separated from Japan to the east by the Korea Strait and the Sea of Japan (East Sea).
During the first half of the 1st millennium, Korea was divided between the three competing states of Goguryeo, Baekje, and Silla, together known as the "Three Kingdoms of Korea". In the second half of the 1st millennium, Silla defeated and conquered Baekje and Goguryeo, leading to the "Unified Silla" period. Meanwhile, Balhae formed in the north, superseding former Goguryeo. Unified Silla eventually collapsed into three separate states due to civil war, ushering in the Later Three Kingdoms. Toward the end of the 1st millennium, Goguryeo was resurrected as Goryeo, which defeated the two other states and unified the Korean Peninsula as a single sovereign state. Around the same time, Balhae collapsed and its last crown prince fled south to Goryeo. Goryeo (also spelled as Koryŏ), whose name developed into the modern exonym "Korea", was a highly cultured state that created the world's first metal movable type in 1234. However, multiple incursions by the Mongol Empire during the 13th century greatly weakened the nation, which eventually agreed to become a vassal state after decades of fighting. Following military resistance under King Gongmin that ended Mongol political influence in Goryeo, severe political strife followed, and Goryeo eventually fell to a coup led by General Yi Seong-gye, who established Joseon in 17 July 1392.
The first 200 years of the Joseon era were marked by relative peace. During this period, the Korean alphabet was created by Sejong the Great in the 15th century and there was increasing influence of Confucianism. During the later part of the dynasty, Korea's isolationist policy earned it the Western nickname of the "Hermit Kingdom". By the late 19th century, the country became the object of imperial design by the Empire of Japan. After the First Sino-Japanese War, despite the Korean Empire's effort to modernize, the country was annexed by Japan in 1910 and ruled by it until the end of World War II in August 1945.
In 1945, the Soviet Union and the United States agreed on the surrender of Japanese forces in Korea in the aftermath of World War II, leaving Korea partitioned along the 38th parallel. The North was under Soviet occupation and the South under U.S. occupation. These circumstances soon became the basis for the division of Korea by the two superpowers, exacerbated by their inability to agree on the terms of Korean independence. The Communist-inspired government in the North received backing from the Soviet Union in opposition to the pro-Western government in the South, leading to Korea's division into two political entities: North Korea (officially the Democratic People's Republic of Korea), and South Korea (officially the Republic of Korea). Tensions between the two resulted in the outbreak of the Korean War in 1950. With involvement by foreign troops, the war ended in a stalemate in 1953, but without a formalized peace treaty. This status contributes to the high tensions that continue to divide the peninsula. Both governments of the two Koreas claim to be the sole legitimate government of the region.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    Rais wa Korea Kaskazini apoteza zaidi ya kg 40 toka January 2021

    Katika kile kinachoonekana kama athari za ugonjwa wa kisukari ama matumizi ya teknolojia za AI katika matibabu ya bwana Kim hatimaye ameweza kupungua uzito zaidi ya kilo 40 toka mwanzoni mwa mwaka huu Ikumbukwe mpaka mwaka 2019 bwana mdogo Kim mwenye umri wa miaka 37 alikuwa na uzito wa zaidi...
  2. Miki123

    Marekani na Korea kusini wamepagawa baada ya kuona Submarine Nuclear ya Korea Kaskazini

    Dunia ina double standard sana. Hivi karibuni USA ilitoa tenda Kwa nchi ya Australia kuunda Submarine Nuclear na Korea Kusini wanafanya jaribio la kombola kutoka kwenye nyambizi. Mpaka sasa ni nchi kama Saba zinazoweza kuunda Aina hii ya nyuklia. USA haikufahamu kuwa Korea Kaskazini ina uwezo...
  3. S

    North Korea yajaribu kombora jipya la Balistiki toka kwenye submarine (SLBM)

    North Korea imefanya jaribio la kurusha kombora la balistiki la masafa mafupi toka kwenye nyambizi (submarine) jana October 19, 2021. Jaribio hilo limefanyika ktk kipindi ambacho wajumbe maalumu wa Marekani, South Korea na Japan ktk maswala ya North Korea wakijiandaa kukutana kujadili mpango wa...
  4. K

    Nauza magazeti kutoka korea

    Habari wakuu nina tani 9 za magazeti kutoka korea nauza kwa kg1 ni 1800 location ni Mnazi Mmoja Dar es salaam namba ya simu 0769115998 kwa maelezo zaidi
  5. S

    North Korea yatesti hypersonic missile, kombora linalosafiri na spidi kubwa zaidi ambayo ni mara ishirini ya ile spidi ya sauti

    Picha ya Hwasong-8, kombora la hypersonic liliorushwa na North Korea North Korea imesema kuwa imefanikiwa kufanya jaribio la hypersonic missile, kombora linalosafiri maradufu kuliko sauti. Wataalamu wa mambo ya silaha wanasema kuwa kombora hilo ni miongoni mwa makombora yanayotembea kwa spidi...
  6. Miss Zomboko

    Korea Kusini yapiga marufuku ulaji wa Mbwa

    Rais wa Korea Kusini Moon Jae-in amesema kuwa muda sahihi umefika wa kupiga marufuku ulaji wa mbwa katika nchi hiyo. Rais Moon ambaye ni Moja ya watu wanaopenda ufugaji wa mbwa amesema upigaji marufuku wa ulaji wa mbwa ni njia mojawapo itakayosaidia kulinda wanyama hao wasiteketee zaidi...
  7. S

    Balozi wa North Korea (NK) aiambia UN hakuna wa kuinyima NK haki ya kutest makombora, wakati huo huo (wa speech) NK yafanya jaribio jipya la kombora

    South Korea imesema kuwa North Korea (NK) imetesti kombora ambalo bado halijafahamika wakati ambao balozi wa NK wa Umoja wa Mataifa (UN) bwana Kim Song akizungumzia/akitetea haki ya nchi yake ya kutesti makombora/silaha ktk kikao cha pamoja cha UN kilichofanyika jana jumatatu mjini New York...
  8. jollyman91

    North Korea says willing to resume inter-Korean talks based on mutual respect

    North Korea has expressed its readiness to resume inter-Korean talks on officially ending the 1950-53 Korean War based on mutual respect. “I believe only when fairness and mutual respect can be maintained smooth communication between the North and the South can take place,” said Kim Yo-jong, the...
  9. S

    Korea Kaskazini yarusha makombora mawili ya balistiki toka kwenye treni kwa mara ya kwanza

    North Korea kwa mara ya kwanza imefanikiwa kurusha makombora mawili ya balistiki toka kwenye treni. Makombora hayo yalishambulia tageti iliyokuwa baharini umbali wa kilomita 800 toka sehemu iliyorushiwa. Wachambuzi wa mambo wanasema jaribio hilo laonesha kuwa Kim Jong Un anaendelea kuboresha...
  10. Mapank

    Korea Kaskazini yajaribu kombora jipya la masafa marefu lenye uwezo wa kupiga Japan

    Korea Kaskazini imefanya jaribio la kombora jipya la masafa marefu linaloweza kupiga sehemu kubwa ya Japan, vyombo vya habari vya serikali vimesema Jumatatu. Jaribio lililofanywa mwishoni mwa wiki lilishuhudia makombora yakisafiri hadi umbali wa km1,500 (930 maili),kulingana na KCNA. Jaribio...
  11. J

    Wanajeshi wa Korea Kusini wapata maambukizi ya #COVID19 wakiwa Pwani ya Afrika Mashariki

    Waziri Mkuu, Kim Boo-kyum ameomba radhi mbele ya Umma kwa Serikali ya Korea Kusini kushindwa kuzingatia #Afya za Askari wake wa Kikosi cha Maji Wanajeshi hao wa Korea Kusini wako kwenye doria maalum ya kukabiliana na Uharamia katika Pwani ya Afrika Mashariki Wizara ya Ulinzi imethibisha kuwa...
  12. Sam Gidori

    Kim Jong-Un akiri Korea Kaskazini inakabiliwa na njaa

    Rais wa Korea Kaskazini, Kim Jong-Un amekiri nchi yake kukabiliwa na baa la njaa, akisema hali ya uhaba wa chakula inazidi kuwa mbaya wakati taifa hilo likiwa katikati ya mapambano dhidi ya virusi vya corona na vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa na Marekani kufuatia majaribio ya silaha za nyuklia...
  13. TheDreamer Thebeliever

    Korea kama hauna degree haupewi mke, Ifike mahala kama hauna degree usigombee ubunge

    Habari wadau..! Tanzania bado tnaishi zama za 3K's yaani Kusoma Kuandika na Kuhesabu wakati dunia ishapita huko hata Tanzania tushapita huko.Ila hii katiba yetu bado ipo zama za 3K 's . Nchi sasa imekuwa na wasomi wengi lazima tukubali ,hivyo lazima tubadilishw hata baadhi ya vipengere wakati...
  14. B

    Kim Jong-Un aagiza muuza filamu kupigwa risasi hadharani

    MTU mmoja aliyefahamika kwa jina la Lee, ameuawa kwa kufyatuliwa risasi pamoja na familia yake huko Wonsan Korea ya Kaskazini baada ya kukamatwa akiuza Cd na Pamoja na Flash ambazo zilikuwa na filamu kutoka nchi Jirani ya Korea ya Kusini. Lee pamoja na familia yake walipigwa risasi uwanjani...
  15. FRANC THE GREAT

    Korea Kusini yaondolewa vizuizi vya makombora. Ruksa sasa kuunda makombora yenye uwezo mkubwa zaidi!

    Habari! Marekani imeiondolea Korea Kusini vizuizi ama ukipenda waweza kuita vikwazo vya muda mrefu (miaka 42) juu ya uwezo wake wa kutengeneza makombora. Rais wa Korea Kusini Moon Jae-in alitangaza uamuzi huo Ijumaa kufuatia mkutano wake na Rais wa Marekani Joe Biden hivi karibuni jijini...
  16. Shing Yui

    Dola bandia kutoka Korea Kaskazini zilivyosambaa duniani na kutumika kwa zaidi ya 20 bila kujulikana.

    Dola bandia zilizotumika kwa miongo miwili na kupumbaza dunia Noti hiyo ya dola bandia haikuwa na makosa yoyote na hata maafisa wa kitengo cha ujasusi hawakuweza kubaini iwapo ilikuwa dola bandia ama nakala mbele yao. Ni baada ya kipindi kirefu cha uchunguzi ndiposa waliweza kuthibitisha...
  17. Tea Party

    Mfahamu Nandy wa South Korea bibiye IU

    Jina lake halisi ni Lee Ji Eun na amezaliwa mwaka 1993 alitoa wimbo wake wa kwanza akiwa na miaka 15 tu na tangu hapo hakurudi nyuma hata sekunde. Watanzania wengi tulimtambua baada ya yeye kushiriki kwenye series Ya MOON LOVERS : SCARLET RYEO na HOTEL DE LUNA ya mwaka 2019 akiigiza kama JANG...
  18. Sky Eclat

    Mtoto wa Kim Jong-Un mwenye umri wa miaka 13 ni Luten wa jeshi la wananchi Korea Kaskazini

    Unaambiwa Mtoto wa Kim Jong-Un, Kim Lau Jong-Un ambae kwa Sasa ana Umri wa Miaka 13 Ndie Luteni wa Jeshi la Nchi ya Korea Kaskazini. Aliapishwa Kuwa Luteni Mwaka 2017 akiwa na Umri wa Miaka 9,Mtoto huyo anaandaliwa Kuwa Mkuu wa Majeshi na Kiongozi wa Nchi hiyo Siku Baba yake Kim Jong-Un atakapo...
  19. Tea Party

    Umeicheki IRIS? Hizi ni facts 10 usizozijua kuhusu series hiyo

    Nakumbuka mara ya kwanza kuona tamthiliya ya Iris ilikuwa ni ITV pale mwaka 2013 kama sio 2014 kipindi hicho hata smartphone sina. Nilivyoiona tu mara ya kwanza sijui ilikuwaje lakini tangu hapo sikuacha kuifatilia mpaka episodes zote 20 zilivyoisha.Nakumbuka nilikuwa nachelewa kulala siku...
Back
Top Bottom