Közi is a Japanese musician, singer-songwriter and DJ. He is best known as guitarist for the visual kei rock band Malice Mizer. After the band went on indefinite hiatus in 2001, he formed the industrial rock duo Eve of Destiny and also started a solo career. Közi is currently in the bands Dalle, XA-VAT, ZIZ and Vamquet, while occasionally performing solo shows.
During his time in Malice Mizer, Közi often assumed the role of a pierrot doll, dressing in clown-like costumes with large ruffs, always in shades of red, his favorite color. In music videos and on-stage he would often make movements reminiscent of a marionette. Közi has continued this visual style to some extent, but his contemporary stage costumes are more gothic. His work on the Izayoi no Tsuki project was reminiscent of carnival music, and artwork for his projects usually follow a dramatic, theatrical theme. Very few details about his private life are known.
Civics=C History=C. Biology=C Chemistry=C English=C. Kiswahili=C. Geography=D. Math=F. Div(III) point 22. 2019. Ushauri wenu muhimu wadau katika kufanya maamuzi
Tafadhali naomba kufahamishwa kozi hii hapa inahusiana na nini? Hospital operations ndiyo nini? Unafanya kazi wapi? Ajira zake zikoje Tanzania? Unakuwa na utaalamu gani?
Taarifa ya Kuchaguliwa
Numba ya Mtihani
Jina
Jina la ChuoNational College Of Tourism - Arusha
KoziHospitality...
Inaonekana kozi zingine bado dirisha kufunguliwa ukiacha za afya, je kozi zingine lini dirisha litafunguliwa?
Tangazo lao linasoma hivi:
Welcome to Student's Admission Verification System for Certificate and Diploma Applicants.
The System allows you to apply for Admission into Certificate and...
Kama uliwahi kujiuliza hili swali, basi jibu lipo hapa..
Mambo yoote yanaanzia kwa huyu mwanamama anaekwenda kwa jina la Florence Nightingale. Huyu anatambulika kama muuguzi wa kwanza kabisa duniani na ndie mwasisi wa kozi ya uuguzi.
Kwa wale wenzetu wa mambo ya uuguzi, jina hili sio geni...
Mwaka huu namalizia diploma yangu ya civil engineering Mungu akioenda. Malengo yangu niunganishe degree ya kozii hii, ila kwa online university huku nafanya kazi za civil engineering technician.
Je, inawezekana? Na kama itawezekana ni vyuo gani hapa duniani ambavyo vyeti vyake vitakubalika na...
habari zenu wanajamvi,
Kama title inavyosema hapo juu. Nimemaliza form 4 mwaka jana na kupata division 3 jijini kampala na sasa nimejiunga na A level.
Sasa kiu yangu ni kusomea elimu yangu ya chuo kikuu nchini Tanzania, kwaiyo ningependa kufahamishwa kuhusu kozi ya tourism particularly tour...
Uuguzi ni mojawapo ya kazi inayohitaji huruma na uwezo mkubwa wa akili. Kwa bahati mbaya sana, uuguzi Tanzania imekuwa ni sehemu ambayo wanaenda kusoma wahitimu wa masomo ya sekondari wenye ufaulu duni.
Tabia hii imewafanya wauguzi wawe ni watandika vitanda, wageuza wagonjwa, wasafisha...
nilikuwa na ndoto za kuwa injinia ila kaka zangu nadhani walinionea wivu wakanidanganya kuwa haina dili bora masomo ya biashara. nikasoma hayo leo wananicheka life imenipiga mpaka nachanganyikiwa.
Hizi ni kozi ambazo mtu anaweza akasoma kuanzia ngazi ya Certificate,Diploma, Bachelor au Masters na akawa name fursa kubwa ya kupata kazi nchi yoyote na ni rahisi kujiajiri kwenye sekta ya bahari.
1.Marine Survey
Hii kozi ukisoma la kazi zako itakuwa ni kukagua meli kabla haijajengwa, Meli...
Msanii wa muziki wa asili Vitali Maembe aliyewahi kutamba kwa kibao cha ‘Suma ya teja’ ameiomba serikali kuwasaidia wasanii kwa kipindi hiki cha marufuku ya siku 30 kama alivyotangaza waziri mkuu
Maembe ameiomba Wizara, BASATA NA TRA kuwapa unafuu wasanii kuwa kutowalipisha kodi kwa mwezi huu...
Ongeza ujuzi wa kompyuta na mtandao.
Lengo langu ni kukuongezea wewe ufanisi katika shughuli, biashara au miradi yako unayoifanya. Pia unaweza kujiajiri kwa kusoma kozi mbalimbali ninazozitoa.
Kwa kuwa watu wameshughulishwa sana na wengi hawapati muda wa kutoka nyumbani na kwenda kujifunza...
UDSM hizi kozi mbili zote zipo, sijafuatilia kwa UDOM na vyuo vingine. Hali ikoje wadau? Maana stori za mitaani zinasema kuwa waalimu wengi hawajali wanafunzi, hawana muda na wanafunzi ila mambo yao tu na wengi hawana moyo wa kumsaidia mtu amalize fresh.
Hali ikoje?
Habari wana JF,
Mimi ni kijana na nina Stashahada ya Afya ya wanyama na Uzalishaji ( Diploma in Animal health and production).
Matamanio yangu mwaka 2020 ni kusoma kozi ya Wildlife tourism management pale MWEKA, naomba mwenye ujuzi na hii kozi au field ya utalii anijuze, atoe maoni au taarifa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.