kozi

Közi is a Japanese musician, singer-songwriter and DJ. He is best known as guitarist for the visual kei rock band Malice Mizer. After the band went on indefinite hiatus in 2001, he formed the industrial rock duo Eve of Destiny and also started a solo career. Közi is currently in the bands Dalle, XA-VAT, ZIZ and Vamquet, while occasionally performing solo shows.
During his time in Malice Mizer, Közi often assumed the role of a pierrot doll, dressing in clown-like costumes with large ruffs, always in shades of red, his favorite color. In music videos and on-stage he would often make movements reminiscent of a marionette. Közi has continued this visual style to some extent, but his contemporary stage costumes are more gothic. His work on the Izayoi no Tsuki project was reminiscent of carnival music, and artwork for his projects usually follow a dramatic, theatrical theme. Very few details about his private life are known.

View More On Wikipedia.org
  1. Mkalifumbi

    Je naweza soma Kozi fupi VETA halafu nikaenda diploma

    Habari zenu Wana JF, Mtu aliyesoma veta kozi ya muda mfupi anaweza kusoma diploma?
  2. R

    Vyuo vya afya kozi ya clinical medicine MARCH, 2021 intake

    Naomba anayejua vyuo vya afya vinavyochukua MARCH intake 2021 aniwekee hapa. Kiwe na Clinical Medicine please.
  3. guwe_la_manga

    Ili niweze kufanya kazi TTCL natakiwa nisomee masomo gani na kozi gani chuoni?

    Miye ni muhitimu wa kidato cha nne mwaka 2012 kwa masomo ya HGL, ningependa kupata mwongozo wa nini nifanye. Je, HGL yangu ya div 2 inatosha? Au kuna somo inabidi niyareseat? Na kama kwa HGL inawezekana ni chuo kipi kinatoa masomo hayo kwa ngazi ya diploma?
  4. FredMaria

    Kwa sasa hivi naweza kupata nafasi chuo cha VETA Kozi ya Umeme miaka miwili Kigoma au Chato?

    Habar wana JF. Kutokana na Mambo kuwa mengi huku mda ukiwa mchache nimejiiuta nachelewa kutuma maombi katika chuo chochote cha VETA nchini hususani Kigoma au Chato(ni kipya kinaanza kutumika mwaka huu) nimeingia kwenye website mbali mbali lakin sikufanikiw kupata mawasiliano na uongoz husika...
  5. S

    Kuhama chuo na kubadilisha kozi

    Je, inawezekana kwa mwanafunzi anayeinga mwaka wa pili kozi ya diploma ktk afya kupostpone(due to fee issues) na kusoma kozi nyingine ktk chuo kingine?
  6. EJOSMAT

    Jifunze Computer na ujuzi ujiajiri

    JIFUNZE SOFTWARE ZA UCHORAJI VITU KAMA RAMANI ZA NYUMBA, BARABARA , RELI N.K TUNAFUNDISHA SOFTWARE ZIFUATAZO 1.AUTOCAD 2.ARCHICAD 3.CIVIL 3D 4.REVIT ARCHITECTURE 5.EPANET 6.PROKON 7.PROTA 8.MASTERSERIES JIFUNZE UJIAJILI , PESA YAKO ITARUDI KWA PROJECT MOJA TU WASILIANA NASI KWA SIMU 0767 267...
  7. Little brain

    Kozi nzuri ya computer

    habari.. Wadau kuna dogo amemaliza form 4 anadai anataka kusomea kompyuta.je ni kozi gani nzuri(inayoenda na upepo wa ajira kwa sasa) asanteni..
  8. senzoside

    Ushauri juu ya kozi ya Kodi (Taxation)

    Habari wadau, Ningependa kufahamu mtu anayesoma kozi TAXATION anaweza kufanya kazi sehemu zipi? Na kati ya kozi ya TAXATION na PROCUREMENT ni ikozi ipi yenye soko zaidi
  9. Hassan malika

    Naomba ufafanuzi kuhusu kozi ya Bsc in Range Management

    Habari wana JF, Naomba kufahamishwa kuhusu kozi ya Bsc in Range Management inayotolewa pale SUA inahusu nini?
  10. CHEF

    USHAURI: Kwa matokeo haya huyu kijana aombe kozi gani?

    Ndugu wapendwa nimekutana na huyu kijana ambaye alisoma programme ya kikwete ualimu wa sayansi pale UDOM na kutimuliwa sasa alifanikiwa kumaliza kozi yake. Ila anataka kusoma kozi nyingine ya degree tofauti na Education, ameomba mara ya kwanza wamemkatalia. Anaomba ushauri aombe kozi gani kwa...
  11. 44mg44

    kozi zipi zitakuwa hazina ushindan kwenye dirisha la pili??

    Wadau nawaomba mnsaidie msaada wa mawazo, Kwamba niapply kozi gan ambazo zitakuwa hazna ushindan kwa round ya pili? Mim nimepanga niapply kwenda kusoma shahada ya ualimu kwa masomo ya Physics na Chemistry,je niapply vyuo vip ili niwe na uhakika wa kupata chuo?
  12. Clark boots

    Naomba kufahamu hii kozi kutoka SUA Biotechnology and laboratory sciences

    Kwa ambao wanasoma au wanaifahamu hii kozi kiundani inayotolewa pale SUA, inadili na nini hasa na upande wa matumizi yake.. Bachelor of science in Biotechnology and Laboratory sciences Nawakaribisha.
  13. mqaxy

    Naomba ufafanuzi kuhusu kozi hizi

    Habari wakuu, Naomba ufafanuzi kuhusu kozi hizi: Bachelor of Science in Food Science and Technology Bachelor of Science in Applied Microbiology and Chemistry Bachelor of Science in Molecular Biology and Technology Soko lake na zinahusiana na nini hio kozi hapo juu
  14. PACHOTO

    Kozi ya Urubani

    Wakuu, Leo katika pita pita zangu kwenye mitandao nimevutiwa na taarifa ya rubani mwenye umri mdogo kabisa Tanzania kurusha Boing ambaye ana miaka 21.Na mimi nimeshawishika kuwekeza kwa mtoto wangu, swalli langu ni kwamba, je ni qualification gani anatakiwa awe nazo ili aweze kusomea urubani na...
  15. must be

    Ushahuri wa kozi za kujaza kwa wadogo zetu 2020/2021

    kwa wanaohitaji kujiunga na vyuo..kwa waliosoma Science inabidi kuwa makini Sana'a...baada ya TCU kushusha..vigezo vya GP na point...wengi watakimbiliaa kuomba u doctor na pharmacy matokeo yakee watakosaa ...wakirudi kupanga tena ...wanakuta nafasi zilizobaki in Education tu.
  16. Red Giant

    Hizi kozi za uongezaji thamani madini naona kama ni nzuri sana

    Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) ni Kituo cha Serikali chini ya Wizara ya Madini, Kinatoa mafunzo na huduma mbalimbali katika fani za uongezaji thamani madini. Kituo kinatangaza nafasi za mafunzo ya muda mrefu ngazi ya stashahada katika fani madini ya vito na usonara (Diploma in Gem...
  17. mqaxy

    Kozi za afya

    Habari za sasa,kwa wakubwa shikamoni,lengo LA kufungua Uzi huku ni kuelewesha wale wote wenye uhitaji wa kuapply kozi za afya(ukiachana na doctor of medicine na bachelor of pharmacy). Kozi zifuatazo naomba mchanganuo wake,yaan SOKO LAKE KWENYE AJIRA Au KAMA NI KUJIAJIRI,MAENEO YA KAZI,NA...
  18. Zegota

    Naombeni kufafanuliwa kuhusu hii kozi

    Nina mdogo wangu naona ananichanganya, yeye kasoma Diploma ya Telecom DIT lakini kwa sasa hataki kufanya shahada ya hiyo Telecom anasema anataka akasome shahada ya Industrial Engineering management chuo cha mzumbe. Kwa vile mimi ndio namfund nilitaka kujua kuhusu sababu za uamuzi wake kwa vile...
  19. K

    Maoni yako kwa ufaulu huu akasome kozi gani nzuri Chuo?

    Mdau wa JF hebu to maoni yako kwa ufaulu huu akasomee kozi gani nzuri chuo? History=C Biology=C Chemistry=C English=C Civics=C Kiswahili=C Geography=D Math=F Division I I I. 22. Form Four 2019 Tumpe ushauri tafadhali
  20. Meneja Wa Makampuni

    BSc. Petroleum Chemistry Vs BSc. Petroleum Engineering. Ni kozi ipi ina uwanja mpana wa Ajira?

    Habari za Leo wakuu, Naombeni kuuliza kati ya hizo kozi mbili tajwa ni ipi ina uwanja mpana wa ajira kwa hapa Tanzania? Na ni ipi ipo wide? Natanguliza shukrani.
Back
Top Bottom