Közi is a Japanese musician, singer-songwriter and DJ. He is best known as guitarist for the visual kei rock band Malice Mizer. After the band went on indefinite hiatus in 2001, he formed the industrial rock duo Eve of Destiny and also started a solo career. Közi is currently in the bands Dalle, XA-VAT, ZIZ and Vamquet, while occasionally performing solo shows.
During his time in Malice Mizer, Közi often assumed the role of a pierrot doll, dressing in clown-like costumes with large ruffs, always in shades of red, his favorite color. In music videos and on-stage he would often make movements reminiscent of a marionette. Közi has continued this visual style to some extent, but his contemporary stage costumes are more gothic. His work on the Izayoi no Tsuki project was reminiscent of carnival music, and artwork for his projects usually follow a dramatic, theatrical theme. Very few details about his private life are known.
Ndugu zangu ninaomba abc toka kwenu juu ya hiyo kozi, nimechaguliwa IAE dsm
Nb mm ni mwl tayari,kwa yoyote mwenye kuifahamu hiyo kozi,pia fulsa ktk implementation kazini🤗
Habari wanajukwaa.
Ninaombeni mnisaidie maoni yenu kuhusu kozi saivi yenye kusomea kwa kijana wa pcm mwenye 1 point 8.
Mie nimemshauri ya kwanza
Chemical Engineering
Electrical Engineering
Mechanical engineering.
Nishaurini kwa kujazia nyama.
Mana nimeona kemiko Ana wigo Mpana Sana wa kazi...
Wakuu habari za leo.
Samahani naomba kuuliza. Kuna mdogo wangu amechangulia chuo kikuu cha Dar es Salaam kusoma Sociology lakini yeye ndoto yake ni kosoma Law.
Amechaguliwa kusoma pia Insurance katika chuo cha IFM lakini anataka kusoma UD.
Sasa wakuu ameniomba nimshauri nikawaza kuhusu...
Habari wakuu, Naomba msaada wa mawazo au ushauri katika kuchagua kati ya hizo kozi mbili nilizo zitaja hapo juu
Kijana wetu amepata bahati ya kupata nafasi katika hizo kozi mbili hapo juu lakini nimeshindwa kumshauri achague ipi kwa vile sina uelewa mzuri wa hizo kozi ,
wakuu habarini za saa hizi?
Nimechaguliwa kusoma kozi zifuatazo.
1: bachelor of business information technology pale (UDSM NA MZUMBE).
2: bachelor of sciences in computer system and network pale ARDHI UNIVERSITY.
wakuu kwa kuangalia uwanja wa ajira (kujiajiri/kuajiriwa), ni kozi gani ni...
Mwenye kuzijua hiz kozi atupe mwanga [emoji119][emoji120]
- Bachelor of Business Administration
- Bachelor of Science in Library and Information Management
Ipi Bora, soko, [emoji120]
Habari za leo wakuu,
Nina ndugu yangu kachaguliwa kama ifuatavyo.
1. IFM - Bachelor of Accounting
2. TIA - Bachelor of Accountancy
3. ARDHI - Bachelor of Science in Accounting and Finance
Je, aende chuo na kozi gani kati hivi.
Mawazo yote yanaheshimiwa,
Msaada unahitajika kwa wahitimu wa diploma. Ni kozi gani zinaweza kuwa na uwanja mpana kwa government, private na hata kujiajiri kati ya hizi?
1: Bachelor of Community Development
2: Bachelor in Human Resources Management
3: Bachelor in Economics
4: Bachelor in...
Natumai mu wazima wa afya. Pole kwa wanaoumwa, Mungu awajaalie mkapate afya njema.
Nimeona niwashauri kuhusu kozi na taaluma za kuwa nazo, vijana wetu wenye lengo la kwenda kujitolea JKT ili baadae waje kupata nafasi ya kuandikishwa JWTZ kwa urahisi.
Kijana, kama una nia ya kuja kulitumikia...
Wadau naombeni ushauri kuhusu kozi ya bachelor degree in roads and railway logistics and management pale NIT. 1. kazi zake hapo baadae.
Nina one ya 9 ya HGL
Habari,
Naomba kujua ni kozi gani ya Certificate au Diploma ambayo nikisoma ndani yake kuna mafunzo ya Ultrasound? Na pia ni vyuo gani wanatoa kozi hiyo?
Natanguliza Shukurani.
Kozi nzuri kwa mwalimu wa shule msingi anayoweza kuchukua kwa kiwango Cha degree, kozi yenye wigo mpana pamoja na fursa, chuo gani?
Ufaulu div 3.13 HGK
Anayetaka mawazo yenu ni in-service wa miaka 5
Bachelor of Science in Accounting and Finance hii ndio kozi gani nimeshindwa kuelewa kabisa nipeni ufafanuzi hilo neno Science.
Na ina utofauti gani na BAF
Kwa matokeo haya Phy C, Chem D, Bios E naombeni ushauri nisome kozi gan nzurii tofauti na education
Nilikua napenda medicine lakini vigezo sina, na diploma simudu ada.
wakuu Habarini za saiz..
tumsifu yesu kristo..
Bwana yesu asifiwe...
salam alihekum...
wakuu wangu kuna swala dogo sana linanisumbua akili ... naombeni mnieleweshe ..
ivi kozi zote zinazohusisha matumizi ya kompyuta kv.. it, bachelor of sciences information technology.. computer sciences...
Binafsi nimebahatika kusoma chuo kwa Tanzania kilicho na kozi nyingi za Bachelor Degree kuliko vyuo vingine, Chuo kikuu cha Dodoma, Nilikuwa nasoma Shahada ya kwanza ya Ualimu katika ndaki ya sayansi asilia pamoja na hesabu(CNMS), Hivyo nimebahatika kula, kuishi, kujadili, kuongelea na kulala...
Wakuu hii mada naomba tuijadili hapa.
Binafsi kama sioni fyucha ya vijana wa PCM Tanzania.
Haijalishi kapiga one kali au ya kawaida.
Mada ni hii hapa mezani.
Je, Wanaohitimu PCM wanafyucha kwenye kozi gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.