Hata mimi mwenyewe tangu mtoto naaswa, soma sana mwanangu uje upate kazi nzuri, elimu ndio ufunguo wa maisha, n.k. misemo yote hio inapindishwa ili mtoto adhani kwamba njia pekee ya kutoboa ni kuja kuajiriwa wakati kuna alternatives far more better, elimu inatupa maarifa muhimu lakini...
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Patrobas Katambi amewataka vijana kujenga tabia ya kujitolea katika masuala ya kijamii kwa lengo la kusaidia wengine badala ya kusubiri kuajiriwa.
Amesema kilio cha ukosefu wa ajira kwa vijana kitaondoka endapo kundi...
Habarini,
Naomba tujadili mada hii.
Hivi ni kwanini ukiajiriwa huwezi kuwa na msukumo wa kuwa na maendelo makubwa.
Hivi kusingekuwa na wafanyabiashara miji yetu ingeendelea kweli?
Ukifika mahali popote penye wafanyabiashara unakuta maduka au makampuni yamejipanga panapendeza na kadri siku...
Kabla hata sijamaliza kusoma shahada yangu ya kilimo (general agriculture) pale chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine, swali ambalo nilikuwa najiuliza mara kwa mara je hivi nikimaliza kusoma hapa nisubiri kuajiriwa au ninaweza kujiajiri mwenyewe
Kadri nikiendelea na masomo swali hili lilikuwa bado...
Kabla hata sijamaliza kusoma shahada yangu ya kilimo (general agriculture) pale chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine, swali ambalo nilikuwa najiuliza mara kwa mara je hivi nikimaliza kusoma hapa nisubiri kuajiriwa au ninaweza kujiajiri mwenyewe.
Kadri nikiendelea na masomo swali hili lilikuwa bado...
Katika kukabiliana na changamoto ya ukosefu wa ajira ulimwenguni, serikali na wadau mbalimabli husisitiza dhana ya kujiajiri. Jamii inaamini kuwa kujiajiri ndiyo tiba mbadala ya janga la ukosefu wa ajira. Ukisikiliza maoni ya vijana wengi kuhusu kujiajiri ni lazima utakumbana na changamoto ya...
Leo Agosti 25, 2022 Putin ametia saini amri ya kuongeza ukubwa Jeshi kutoka Wanajeshi Milioni 1.9 hadi Milioni 2.04 ikiwa ni miezi 6 tangu kuanza Vita baina yake na Ukraine.
Kwa mujibu wa agizo lililotolewa leo kupitia Wizara ya Sheria, ongezeko hilo linajumuisha ajira mpya za Wanajeshi 137,000...
Ajira ni kazi yeyote anayoifanya mtu na kulipwa ujira kwa makubaliano maalumu. Au ni kazi aifanyayo mtu inayoweza kumuuingizia kipato. Kuna aina kadhaa za ajira. Ajira binafsi, hii ni aina ambayo mtu hujiajiri mwenyewe, iwe kuuza duka, kuuza matunda au ufundi seremala, bomba na umeme.
Ajira...
Habari ndugu zangu wa humu hjamiiforums, nina ndugu yangu wa kiume kamaliza degree ana ameingia miaka 23 mwezi huu,
Kwa sasa yeye anachotaka ni kuwa refa ila hana a,b,c,d za kazi zikoje.
Ningependa mnijuze haya..
- Ni sifa zipi zinatakiwa awe na sifa za kuwa refa,
- Ataanzia wapi na atatumia...
Ndugu Watanzania wenzangu, wakati tuko busy kama taifa na shughuli za kujiletea maendeleo katika nyanja mbalimbali, alama ya taa nyekundu ilishawaka kwenye familia, jamii na taifa letu.
Kwa kasi ya mmomonyoko wa maadili kwa vijana kuingia kwenye uasherati wa kinyume na maumbile ni bomu na janga...
Fadhili Mpunji
Changamoto ya ajira kwa vijana katika nchi nyingi za Afrika ni jambo ambalo linazungumzwa sana na wanasiasa na watunga sera. Karibu kila nchi ya Afrika ina tatizo la ukosefu wa ajira kwa vijana, tofauti ni kwamba ukubwa wa tatizo hilo unatofautiana kwa kila nchi, na kila nchi...
Jiajiri utaepukana na mateso manyanyaso na kuabudia binadamu asiye na shukran.
Marais na viongozi wetu wanafanyakazi ya ziada Sana. Katika utendaji kazi Kuna Mambo mengi yamefichikamana. Hutaona mapema. Jiajiri na hakikisha unaongeza ujuzi mara Kwa mara kw kile unachoamini utatusua.
Hata kama...
Umoja wa Mataifa umeelezea wasiwasi wake kuhusu ukiukwaji wa haki za watoto kwa kuajiriwa na magenge ya kihalifu, huku ghasia zinazoongezeka katika mji mkuu wa #Port-au-Prince, zikisabisha vifo vya makumi ya raia na zikiwalazimisha maelfu ya watu kuyahama makazi yao
-
Naibu msemaji wa Umoja wa...
Je, nini mtazamo wako juu ya wahitimu wengi wa vyuo kupenda kuajiriwa serikalini ilhali kampuni binafsi ndio zinazoongoza kwa kulipa mishahara minono?
Mtu yuko radhi kuacha kazi kwenye kampuni binafsi yenye mshahara wa 1.5M na kwenda kupoke basic salary ya 900k serikalini
Je ni job security au...
Ndugu yenu wa damu naomba kupingwa na kuelekezwa kwa upole na kwa fact.
After graduation mdogo wenu hapa nikapata sehemu ya kujishikiza Mimi ni mwalimu Physics na chemistry nikawa nalipwa 250k -300k huku nikipewa nyumba ya shule na huduma kama chakula cha mchana na asubuhi.
Maisha Yale...
Hawa ni waliofeli English Language Testing System (IELTS)
=======
Kenyan nurses who failed English language tests required for immigration to the UK will be supported by the British government to learn ‘Medical English’, an envoy has said.
“We are ready to assist Kenyan nurses learn medical...
Kumekuwa na matangazo mengi ya kutafuta wenza/wachumba siku za karibuni kupitia majukwaa mbalimbali. Sifa zinazoainishwa kwa muhitaji, mojawapo ni kipengele cha kazi; atasema anataka mwenza aliyejiajiri au aliyeajiriwa.
Kwa mtazamo wangu, katika mazingira hayo, mi naona muhitaji anayetafuta...
Leo katika hotuba yake Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samiah Suluhu Hassan amesema ya kwamba atampa kazi Mh Lukuvi ikulu asaidiane naye wakielekea kustaafu na pia kumpatia kazi nje ya mfumo wa kawaida Mh Lukuvi.
Swali langu ni je katiba inaruhusu mbunge kuajiriwa ikulu nje ya uwaziri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.