Leo nimefikisha miaka 15 ya ndoa yangu mimi na mke wangu safari ilikuwa ya raha sana, ingawa mabonde pia yalikuwepo.
Sijawahi kuchepuka nje ya ndoa, hakika kuna kipindi nilipata vikwazo vya wakwe maneno mengi yasiyoisha lakini nikawapuuzia.
Dawa ya mjinga mpuuze tu, sasa katika miaka 45 ya...
May 10, 1775: Princess Caroline Matilda of Great Britain, Queen of Denmark and Norway, died of scarlet fever while in exile in Celle, Germany, aged only twenty-three years old.
She had been disgraced, sent from court, and divorced due to her extramarital affair with Dr. Johann Friedrich...
Kiasili, kati ya mwanamke na mwanaume mmoja wapo akipenda na kuamua kumpata yule alie mpenda, kwa mwanamke ni rahis sana kumpata mwanaume alie mpenda.
Kwahiyo tukiwa ndani ya mahusiano, mwanaume anapotiza mwanamke mwingine na kuona ni mzuri si hatari sana kama mwanamke atakapo angalia mwanaume...
MBINU ZA KUTOKUCHEPUKA KWA KARNE 21 - 22
Kwa Mkono wa, Robert Heriel.
Ikiwa wewe ni mvivu soma kwa urefu wa kamba za akili yako.
Hakuna mtu mwenye akili timamu, muadilifu na aliyestaarabika anayependa kuchepuka. Ni wazi kuwa kuchepuka ni ishara ya mtu kujidharau, kujidhalilisha, kumuasi Mungu...
Je, ni sawa kumfundisha mkeo/mumeo staili mpya za kungonoka?
1. Utaanzaje na atakuchukuliaje?
2. Vipi zikimshinda itakuwaje, na atajisikiaje?
3. Vipi akikukatalia utajisikiaje?
4. Baada ya namba 2 na 3 kutokea ndoa itakuwa salama?
Styles ambazo zimezoeleka ni
...kifo cha mende
...mbuzi kagoma...
Yaani huyu jamaa ana roho ngumu sana kaamua kuchanganya wote maana mdogo mtu ni mzuri kuliko dada mtu ila kinachoniuma mdogo mtu bado anasoma na kingine zaidi najiuliza endapo kwa bahati mbaya iwe sasa jamaa ni mwathirika sasa si atakuwa kashawamaliza dada na mdogo wake? Kingine namlaumu sana...
Ukweli ni kwamba wanawake wengi walioolewa huchepuka, na tafiti zinaonyesha 97 % ya wanawake waliopo kwenye mahusiano wamewahi kuchepuka.
Sasa Leo nakuletea sababu za wake za watu kuchepuka
1: Kazi
Wanawake wengi huingia katika tamaa ni kutokana utengano uliopo kati ya mume na mke...
Kuna aina mbili za wanadamu, wanaochepuka na wasiochepuka. Sio lengo la andiko hili kuelezea kwanini wanachepuka. Humu nimeelezea tu mbinu za kuendesha maisha ya kuchepuka kwa tahadhari.
Kitabu hiki ni kwa ajili yako wewe ambaye umeshajijua kuwa upo kwenye kundi la wanaochepuka, na tayari...
Wanawake, mko nyuma ya keyboard.
Tuambieni sisi waume zenu tujue, msituonee aibu. Tuchaneni kisawasawa, nini haswa kinawafanya mnachepuka nyie mlioolewa ama mlio kwenye mahusiano yanayotarajiwa kuzaa ndoa? Ama wale mnaokuwa na wapenzi wengi kwa wakati mmoja, nini huwa chanzo?
Wanaume, Leo...
Kila jambo lina pande mbili, upande wa uzuri na upande wa ubaya, lakini katika kufanya maamuzi basi ni vyema kuegemea upande wenye mazuri zaidi kuliko mabaya.
Kuchepuka ni aina nyingine ya usaliti anaoufanya mtu kwa mpenzi wake, japo wahenga walinena acha michepuko baki njia kuu, michupeku...
Kuchepuka kwa mwanaume ni kitu kisichozuilika, ila nawasii ndugu zangu tuchepuke lakini tuhakikishe wake zetu na watoto wako, wako kwenye mazingira mazuri. Mfano, mfanyie yafuatayo mkeo:-
Mpe biashara amiliki
Mjengee nyumba ya gorofa kama uwezo unao
Mnunulie usafiri mkubwa, kuanzia cc4000...
Salaamu kwa wote, ili swala mara nyingi la kupata maumivu ya mioyo hata kuvunjika mahusiano linatokea kwenye mahusiano na ndoa nyingi ambapo mmoja wapo anapotambua mwenzie kachepuka. Presha ya kuchukuliwa mke au mume ni kubwa sana hasa ukiwaza alichofanyiwa huko alikochepuka.
Wakati huo huo...
Hili swala la kuchepuka sisi tunalichukulia tofauti sana na wanawake. Nikigundua mwanamke wangu anachepuka ugomvi wake sio wa kitoto na uhusiano unafia hapo hapo.
Mwanamke anaweza gundua unachepuka halafu ikawa ishu ndogo tu ikaisha kirahisi sana.
Nina mwanamke wangu anafanya kazi mkoani, kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.