kufahamu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. sinza pazuri

    Zuchu unatakiwa kufahamu, ukiingia kwenye mahusiano na Diamond umeingia kwenye vita

    Sina tabia ya kujadili ishu za mahusiano hapa jukwaani lakini nimeona niongee kidogo na Zuchu. Zuchu unatakiwa kufahamu ukiingia kwenye mahusiano na Diamond tayari upo vitani. Najua sasa hivi hauelewani na ndugu wa Diamond kasoro yule mpwa wa Diamond. Umegombana na wadada wa mjini na...
  2. Mr Why

    Nahitaji kufahamu vigezo vya kupata mkopo wa kiasi cha 150 million, hii itasaidia endapo nataka kukopesha mtu au kukopa

    Nahitaji kufahamu vigezo vya kupata mkopo wa kiasi cha 150 million Maisha ya siku hizi njia za kupata mikopo zipo nyingi na tofauti Wapo watu wanaokopeshana wenyewe pasipo kuhusisha taasisi za mikopo huku wengine wakitumia taasisi za mikopo Nahitaji kufahamu vigezo hii itasaidia endapo nataka...
  3. Ancient Resident

    Msaada mwenye kufahamu vilipo viwanja vya basketball Iringa

    Wakuu mimi ni Mgeni katika mkoa huu wa IRINGA, lakini pia ni mchezaji wa basketball, Ningependa kama kuna mwenyeji au yeyote anayefahamu viwanja vya basket iringa vinapatikana wapi. Naomba unitajie viwanja vyote unavyovijua na sehemu vilipo Mi nipo IRINGA MJINI. Ahsante sana kwa atakaeshiriki...
  4. R

    Naweza kupata pesa zangu kutoka mfuko wa jamii baada ya kutoka taasisi binafsi na kuhamia Serikalini?

    Habari zenu, Naomba kufahamu kwa mtu alekuwa akifanya kazi shirika zisizo za Kiserikali kisha akahamia taasisi za umma, akiwa shirika binafsi alikuwa akichangia kwenye mfuko wa jamii la NSSSF. Je, akihamia Serikalini huyu mtu ataweza kutoa mafao yake NSSSF?
  5. T

    Karibuni Wabunifu na Watengenezaji wa Multimedia - Tunapenda Kufahamu na Kutambua Kazi Zenu

    Habari za siku, wabunifu na watengenezaji wa multimedia! Huu uzi ni maalumu kwa kuwakaribisha nyote wenye ujuzi na ubunifu katika usanifu na utengenezaji wa michoro ya kidijitali (digital graphics), video fupi, na sauti (audio) kwa ajili ya utambulisho (branding) na utangazaji wa biashara...
  6. A

    Nataka kusearch mtandaoni ile midoli inayovalishwa nguo katika maduka ya nguo

    Habari zenu Nataka kusearch mtandaoni ile midoli inayovalishwa nguo katika maduka ya nguo Naomba kuuliza je kwa kiingereza inaitwaje? ili niweze kuisaka huko Alibaba Ahsanten
  7. W

    Una Mpango wa kwenda Dubai hivi karibuni? Haya ndo masharti unatakiwa kufahamu ili uweze kufurahia safari iliyo salama

    Fahamu mambo ambayo huruhusiwi kuyafanya unapotembelea Dubai 1. Ingawa Dubai ni kitovu cha mitindo, hauruhusiwi kuvaa Nguo fupi, zinazobana sana, au zenye kufichua Mwili kwa kiasi kikubwa katika maeneo ya Umma. Hakikisha unavaa Mavazi yanayofunika Mabega na Magoti unapokuwa hadharani 2. Pia...
  8. E

    Naomba kufahamishwa kuhusu biashara ya magodoro

    Nataka kuwa wakala wa kuuza magodoro ya TANFOAM ARUSHA, naweza kupata mawazo jengefu zaidi kuihusu hii biashara. Nataka niuze mattress, mataulo, mashuka nk. Mbeleni niongezee vitanda pia. Hii biashara changamoto zake ni zipi na faida yake imekaaje kwa wenye ujuzi nayo tafadhali. Ahsanteni.
  9. KakaKiiza

    Je, unawezaje kumfahamu mwendesha bodaboda mhalifu? Soma tips kumfahamu

    Wadau najua wengi tunatumia sana Bodaboda,swali je unafahamuje kuwa boda boda niliyemchukua ni mharifu? Basi ungana na mimi kujua ni jinsi gani walivyo na endapo ukiona yupo hivi jua huyo ni muharifu usipande bodaboda wake. Kwanza chombo chake lazima kiwe kikukuu! Bodaboda yake lazima iwe ni...
  10. Lycaon pictus

    Mbinu mbalimbali zilizokuwa zinatumika na zinazoendelea kutumika ili kufahamu kama mtu ni mchawi

    SURA YA AROBAINI NA SITA DESTURI YA KUTAFUTA WACHAWI, NA JINSI YA KUWAADHIBU Hapo zamani mtu akifariki, akiwa mwanamume au mwanamke, wenye ndugu baada ya kumaliza kilio tu huenda sehemu mbali mbali kutafuta ni kisa gani kimemwua yule ndugu yao. Basi safari hiyo hufungwa kwa kuambatana kwa...
  11. kaligopelelo

    Naomba kufahamu chimbo la vifaa vya seremala kariakoo

    Wakuu nadhani mtakuwa wazima Afya . Ndugu zanguni nimekuja na ombi langu kwenu,na siku zote jamii forum ni sehemu imejaa waungwana kweli kweli. Ombi langu ni kufahamishwa chimbo la vifaa vinavotumiwa zaidi na mafundi seremala Kama vile tapes,misumari,msasa,gundi ya mbao aina zote,vanishi nk...
  12. Kermion

    Naomba Kufahamu Mifano Ya Nyimbo Zinazoweza Semwa Zina Asili Ya Bongo-Flava

    Hello wakuu. Ningeomba kufahamu, ni nyimbo gani zinaweza kua identified kua hizi ni za asili halisi ya Kitanzania, yaani Bongo-Flava. Maana kwa wingi muziki wetu wa nyumbani umekua influenced na miondoko ya nje, tofauti ikiwa tu ni lugha ndio Kiswahili. Sasa, kwa wale wadau wa haya mambo...
  13. Komando kipen

    Mwenye kufahamu au kusoma Chuo cha Cavendish cha Uganda

    Musaada kwa mwenye ufahamu au kasoma chuo Cha Cavendish university Uganda. Nataka kuanza masomo hapo jan2025
  14. hmaloh

    Naomba kufahamu kisheria hii imekaaje?

    Habarini ndugu zangu wapendwa wanajamvi, Naomba kufahamu ikiwa inawezekana kama mzazi kuwajibishwa kwa kosa alilofanya mtoto wangu. Hali iko hivi: hapa mtaani kuna mzee fulani anasema anataka kunipeleka kwenye vyombo vya sheria kwa sababu binti yangu alivunja kioo cha gari yake. Walikuwa...
  15. I

    KWELI ARV's zinatumiwa na baadhi ya wafugaji kunenepesha mifugo

    Nahitaji kufahamu taarifa inayosambaa kwamba dawa za ARV zinatumika kunenepesha mifugo.
  16. blogger

    Wangapi tunahitaji kufahamu ukweli juu ya huyu binti?

    Yuko nchi gani!? Uraia wake!? Anafanya Nini!? Anaongea lugha gani? Ni kweli Ni mkulima? Karibuni. JF hakipoi kitu. Najua Kuna watu Wana taarifa sahihi.
  17. Crocodiletooth

    Sisi wana chadema tunataka kufahamu mabilioni ya Join the chain yapo wapi?

    Tunaomba majibu sahihi kabla hatujahama chama hiki.
  18. Mi mi

    Kuna kitu kinachochea maendeleo ni muhimu sote kufahamu

    Tufanye hivi Uingereza na Waingereza hapa utakuta U.K Canada Australia New Zealand U.S Pia Uchina na wachina hapa utakuta China Hong-Kong Macau Taiwan Singapore Hapa tunaweza weka mjumuisho mwengine mkubwa wenye maana kama tukihitaji uelewa zaidi China, Japan, Korea maana hizi ni jamii...
  19. A

    Habari za Wakati wanajamii; Napenda kufahamu Namna Gypsum (Calcium Sulphate) inavyotumika kupunguza Chumvi kwenye udongo shambani.

    Habari za Wakati wanajamii; Napenda kufahamu Namna Gypsum (Calcium Sulphate) inavyotumika kupunguza Chumvi kwenye udongo shambani.
  20. GoldDhahabu

    Unajisikiaje kufahamu kuwa Afrika haipo nyuma kwa kila kitu?

    Leo nilipokuwa ninaperuzi mtandao wa Quora, nilikutana na mada moja inayohusiana na mighahawa ya KFC na McDonald barani Afrika. Mmoja wa wachangiaji alieleza kuwa Afrika Kusini na Misri ndizo nchi zinazoongoza kwa kuwa na hiyo mighahawa barani Afrika. Hata hivyo, baadhi ya matawi ya KFC Afrika...
Back
Top Bottom