kufunguliwa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    Dunia yashuhudia China ambayo mlango wake umezidi kufunguliwa kwa nje tangu ijiunge na WTO miaka 20 iliyopita

    Na Fadhili Mpunji Mwaka huu China inaadhimisha miaka 20 tangu ijiunge na Shirika la Biashara Duniani WTO. Tangu mwaka Novemba 2001 China ilipojiunga na Shirika hilo mjini Doha, uchumi wa China umekuwa kwa kasi na kutoka GDP ya Dola za Kimarekani Trilioni 1.3 ikiwa katika nafasi ya 6 duniani...
  2. Ralphsams

    Kufunguliwa kwa awamu ya nne ya udahili

    Baada ya kukamilika kwa awamu zote tatu za udahili, Tume imepokea maombi ya kuongeza muda wa udahili kutoka kwa baadhi ya waombaji waliokosa udahili kutokana na sababu mbalimbali. Pia, Tume imepokea maombi ya kuongeza muda wa udahili kutoka kwa baadhi ya Taasisi za Elimu ya Juu nchini ambazo...
  3. Q

    Kama Mbowe, Rais mteule wa Zambia Hichelema aliwahi kufunguliwa mashitaka ya Ugaidi

    Mwaka 2017 Kiongozi wa upinzani nchini Zambia (UPND) Hakainde Hichilema na wafuasi wake watano waliwahi kushitakiwa kwa makosa ya ugaidi kufuatia madai kuwa msafara wao ulizuia msafara wa rais Edgar Lungu, na hivyo kuyaweka maisha ya rais hatarini. Baadaye mastaka hayo yaligeuzwa kuwa ya Uhaini...
  4. Shujaa Mwendazake

    #COVID19 Mchungaji Gwajima ni wa kukamatwa na kufunguliwa kesi ya Uchochezi, Uhaini na Ugaidi

    Napenda kutoa Rai kwa Vyombo vya Ulinzi na usalama kumkamata mara moja Mh Gwajima, kumuhoji na kumshitaki kwa counts tatu za msingi.Sitaki kuzungumzi hotuba ya Mch Gwajima kanisani kwake juzi, kwani si jambo geni humu na litaunganisha uzi na nyuzi zingine kama hizo. Mods Nakimbilia moja kwa moja...
  5. Analogia Malenga

    Afutiwa kesi ya uhujumu uchumi na kufunguliwa nyingine ya jinai

    Dar es Salaam. Aliyekuwa Mkurugenzi wa Mipango, Ufuatiliaji na Tathimini wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), Kulthum Ahmed (57) amefutiwa kesi ya uhujumu uchumi na kisha kufunguliwa kesi ya jinai yenye mashtaka saba yakiwemo ya kujipatia Sh34 milioni kwa njia ya udanganyifu...
  6. J

    Kituo cha mabasi ya mkoani Mbezi Louis chakamilika, kufunguliwa rasmi 25/02/2021, Ubungo kufungwa rasmi Jumatano

    Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Kunenge amesema Jumatano hii ndio siku ya mwisho kwa kituo cha Ubungo kutumika na kuanzia Alhamis kituo kipya cha Mbezi kitaanza kutumika. Naye kamanda Mambosasa amesema wapiga debe wa Ubungo hawatakiwi kuonekana stendi mpya ya Mbezi na kwamba stendi hiyo...
Back
Top Bottom