kuishi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ziroseventytwo

    Leo rasmi nimeanza kutumia dawa kwa ajili ya pressure. Naanza staili mpya kuishi

    Nimekuwa nasumbuliwa na pressure kwa muda sasa. Leo nimepima ilikuwa 187 juu na chini 115. Baada ya mashauriano na dr nimeamua kuanza kutumia dawa. Nimepewa dawa za kutumia wiki moja then nirudi kucheck tena. Ndio kwanza nina 44 yrs. Nitazimiss sana lite, na lager.
  2. The real Daniel

    Hivi mnawezaje kuishi maisha ya aina mbili kwa wakati mmoja?

    Kumekuwa na watu wengi ambao wanaishia maisha ya aina mbili kwa wakati mmoja, mfano unakuta mtu ametoka kufanya uzinzi mchana, then jioni anapost status au post ya kawaida kwenye WhatsApp, FB na inta akiwahimiza watu kuhudhuria ibada ya maombi na akiwa confident kabisa. Unakuta kesho anaenda...
  3. nyboma

    Kweli kuishi na watu kuna raha yake, leo yametimia nimekutana na mwanamke tuliopotezana nae ughaibuni

    Kwa ufupi ni kwamba nilipata bahati ya kusafiri na Kiongozi mkubwa, mtu mwenye mamlaka makubwa kwelikweli katika nchi hii awamu ya nne. Safari hii ilikuwa katika moja ya nchi kubwa Ulaya, kama mnavyofahamu malipo ya posho huwa katika dola pale mnaposafiri na kiongozi mkubwa katika big four na...
  4. CM 1774858

    Shaka: TFS mkimaliza kuwavunja miguu vijana wote nguvu kazi ya Taifa itatoka wapi?

    Kumekuwa na malalamiko ya muda mrefu yanayowahusu wakala wa misitu Tanzania (TFS) kupiga wananchi wetu hadi kuwavunja miguu kwa kisingizo cha kuwakamata na mkaa au kuwabambikizia kesi zisizo na msingi wowote wa kisheria,Kuanzia leo iwe mwanzo na mwisho, Serikali ya Mama Samia imejipambanua...
  5. Bonnie99

    SoC01 Maumivu ni chanzo cha mafanikio yako

    Katika maisha kuna changamoto nyingi sana ambazo zinakuja katika maisha ya mwanadamu ili kukupa uwezo kamili wa kusonga mbele ili kuzifikia ndoto zako Lakini kuna wakati ambao changamoto hizi hufikia hatua ya kukupa maumivu makali sana pale ambapo unaona zinasababishwa na watu wa karibu ambao...
  6. Miss Zomboko

    Amerika Kusini ni bara hatari mno kwa watetezi wa mazingira kuishi

    Shirika la kutetea mazingira la Global Witness limesema rekodi ya watu 227 waliuwawa kote duniani mwaka jana wa 2020 kutokana na utetezi wa mazingira. Shirika hilo linasema idadi hiyo ni sawa na watu 4 kila wiki na karibu robo tatu ya vifo hivyo vimetokea Amerika Kusini. Katika ripoti yake ya...
  7. B

    Anayeishi "condemned cell" anaweza kuishi salama na aliye uraiani akatwaliwa. Mungu huyu ni fundi!

    Familia ya Mbowe imethibitisha kupitia ukarasa wa tweeter kwamba baba yao amechanganywa na wafungwa wanaosubiri kunyongwa. Tunaamini waliofanya haya hawataweza kumnyonga ila wanaweza kumweka kigungoni milele. Lakini aishivyo Mwenyenzi Mungu alimweka huyu Condem pia anaweza akatwaliwa katika...
  8. britanicca

    Kikundi cha wanawake kwenye Semina ya kuishi na Waume zao. Je, huyu ni nani?

    Kikundi cha wanawake kilikuwa kwenye semina ya jinsi ya kuishi katika uhusiano wa upendo na waume zao. Wanawake waliulizwa, "Ni wangapi kati yenu wanampenda mumeo?" Wanawake wote waliinua mikono yao. Ndipo wakaulizwa, "Mara ya mwisho kumwambia mumeo kuwa unampenda ni lini?" Wanawake wengine...
  9. EMMANUEL JASIRI

    Kama wewe ni jeuri, mkorofi, usiende kuishi Sumbawanga

    Sumbawanga ni tofauti, Wanapenda wageni Ni wapole Ni wakarimu Hawana roho ya kwanini Sio wachokozi Hawana mambo ya kurogana rogana hovyo japo uchawi wanaujua vizuri Walio bahatika kumjua MUNGU wana msimamo katika imani ya dini Ila kama wewe ni mchokozi,mkorofi sumbawanga haikufai Watu...
  10. Superbug

    Swali la kipombe: Kuishi demu Marekani kwa amani na kuishi Afghanistan mwanaume Ila utauawa na Taleban, kipi Bora?

    Hili swali nimejiuliza hivi kuishi mwanamke USA New York maisha yako yote au kuishi kidume Afghanistan halafu baada ya miaka kumi au 20 unajikuta kwenye war zone halafu Taleban wanakuhisi ni traitor wanakuuwa kwa kukukata shingo kwa kisu polepole ungechagua kipi? Mimi mzee baba ningechagua kuwa...
  11. Fasta fasta

    Uhuru wa Mtanzania wa kuishi na kimaendeleo upo mikononi mwa dola au yeye mwenyewe?

    Wanna jamvi? Nimeuliza maswali mengi sana mpaka nikajikagua Mimi mwenyewe na wenzangu ninavyosikia sauti zao huku mitandaoni kuhusu kufanya Jambo ambalo unataka na wenzako washiriki kwa Nia nzuri lakini dola wanazuia. Mfano makongamano yanapoandaliwa na kuomba kibali polisi Ina maana yapo ndani...
  12. my name is my name

    Hata kutokee nini, sirudi kuweka makazi yangu Tanzania

    Hata siku wazazi wangu wakiamua kurudi Tanzania mimi siwez kurudi. Sirudi kamwe hata kutokee nini sirudi kuja kueka makaz yngu Tanzania. Siwez kunufaisha watu wavivu, wajinga wasiofanya kazi km inavotakiwa ila kla mwisho wa mwezi kwa kutumia kodi yng wanavimbisha matumbo na familia zao kila...
  13. Erythrocyte

    Upanga, Dar: Nyumba aliyodaiwa kuishi aliyewashambulia Polisi yazingirwa na Jeshi la Polisi

    Hii ndio taarifa mpya inayozunguka mitandaoni kwa sasa, bila shaka jeshi la Polisi linahitaji kufanya upekuzi kwenye nyumba hiyo ili kukusanya ushahidi zaidi na labda kujiridhisha kama kuna magaidi wengine kwenye nyumba hiyo au la. Ngoja tuendelee kutega sikio
  14. A

    Raha za kuishi Dar es Salaam

    Dar es Salaam ni mji wenye mchanganyiko wa makabila, kutokana na shughuli za kibiashara za mji huu na mengineyo. Dar unaweza kupata chakula cha aina yeyote unachokijua duniani. Kuna migahawa ya Wanigeria, huko konono wa kukaanga ni deli-case. Kuna migahawa ya watu wa Kusini, huko samaki...
  15. R

    Sheria ya Uhamiaji: Nahitaji kupata nyaraka gani kuishi na kumiliki ardhi Tanzania kama mgeni?

    Habari ndugu? 1. Ni vitambulisho gani vinavyotakiwa kupata kwenye ofisi ya uhamiaji vitakavyoniwezesha kuishi Tanzania kwa amani na usalama kama mgeni (kutoka USA)? 2. Nifanyeje ili nipate uwanja na kujenga nyumba bila shida nchini Tanzania kama mgeni (immigrant)?
  16. GRAMAA

    Mama Agness nimempa talaka juzi tu leo kaja kuishi jirani yangu na mwanaume mwingine!

    Nimeumia sana mpaka nahisi kuchanganyikiwa. Kweli naamini mapenzi yanauwa. Ninahitaji msaada mkubwa sana vinginevyo ninaweza kufanya tukio kubwa na la kushangaza sana. Yaani hata talaka haijamaliza wiki na bado sijasahau maumivu ya kupenda, yeye unakuja kupanga Apartment na bwàna yake jirani...
  17. Deejay nasmile

    Je unaweza kuhisi una siku ngapi zimebakia za kuishi hapa duniani???

    Swali tata...wengi najua wataogopa kulijibu..lakini ukweli unabaki pale pale lazima wote tutaiacha dunia.. Je una siku ngapi zimebaki?? Na kwanini unahisi zimebaki siku idadi hiyo?? Je umejiandaaje.? Je kabla hujaiaga dunia ungependa ukamilishe jambo gani.? Je kabla hujaondoka ungependa...
  18. green rajab

    Mkoa gani hata ukipewa nyumba na gari hauwezi kuishi?

    Wakuu habari za weekend. Bila shaka ni shwari kabisa, Kuna kitu nimewaza kuhusiana na harakati za utafutaji maisha na utulivu wa familia. Niende kwenye maada husika mi nimebahatika kuishi baadhi ya mikoa hapa TZ bara na visiwani Pemba na Unguja nimeishi zaidi ya miaka 6 huko ukija bara Dar...
  19. Unique Flower

    Nilishasema acheni kuishi na waume wa watu ila hamsikii

    Leo nimeona hii post mahali sasa tuchakachueni kwa undani. Kuna mwanadada ameishi na mume wamtu miaka 10 na wanawatoto wazuri tu wawili ila huyo dada alikuwa anamnyanyasa bi mkubwa na hadi kajengewa nyumba na huyo baba. Ila baada ya miaka kumi na moja huyo baba akaanza kumpiga na kumtafuta...
  20. heartbeats

    Lengo kuu la kuishi/Uhai ni ku enjoy hisia zetu na kuzi balance, kifo ni matokeo ya ku over/under feelings

    Habari wakuu hope mpo njema sana na sawia, kabla sijaingia katika maada kwanza tupeane pole kwa mtikisiko wa sasa unao ikumba hii Dunia yetu, hatuna Dunia ingine ya kuhamia kwa uharaka, Hata kama ingekuwapo basi tungehamia lakini tungehamia na magonjwa yetu,dhiki zetu,njaa...
Back
Top Bottom