kujiajiri

  1. system hacker

    Book Keeping, Commerce na Economics yawe masomo ya lazima ili vijana wajiajiri

    Duuuu ni ngumu sana kuelewa watu wa Serikali kusisitiza watu wajiajiri; lakini walau watu hawajengewi mentality ya ki business. Kwa Tanzania yetu mandatory subjects yangekuwa: • Book Keeping • Commerce • economics • Computer Studies Imagine wale F.4 wanaomaliza wakiwa na Div. 0 / IV na hawana...
  2. M

    Kwa dharau anasema vijana tujiajiri. Mitaji na masoko iko wapi? Yeye alipokuwa hajalamba uwaziri alithubutu kujiajiri? Patrobas Katambi anadharau sana

    Hii ni kebehi na dharau sio kwa lugha kama hii 👇
  3. S

    Kujiajiri kwa vijana baada ya chuo

    Habari zenu JamiiForums. Kama kichwa cha habari kinavyosema, nahitaji mawazo mbali mbali ya kujiajiri kwa vijana waliomaliza chuo, wa kike na kiume, naimani uzi huu utasaidia wengi, kwahiyo sitegemei masuala ya una ujuzi gani, kama wewe una idea ya juzi wowote leta utasaidia mtu. Naomba...
  4. pmanlima

    Jinsi ya kuacha ajira na kujiajiri bila kujutia mbeleni

    USIACHE AJIRA KABLA YA KUJITATHIMINI KWANZA: hapa namaanisha ujiulize je ajira yako inakupa furaha au inakukera na unaenda tu ili uweze kukidhi mahitaji yako ? na je ukijitathimini ukiwa uzeeni kwako baada ya kuendelea na hiyo ajira bila kujaribu kujiajiri utajilaumu au hautajilaumu? basi...
  5. M

    Fursa ya kujiajiri kwa Vijana

    Habari wana JF, Kuna fursa tunaweza ku ungana kama vijana na tukajiajiri wenyewe(kwa walio serious tu) Nahitaji vijana wasiopunguwa kumi(10) ili tuweze ku ungana na kujiajiri wenyewe Vijana hao wawe na Sifa zifuatazo 1. Sifa ya msingi; Angalau awe na elimu ya shahada ya kwanza 2. Awe ana...
  6. Ramsy Dalai Lama

    Kwanini watu wengi hufanya vizuri kwenye ajira lakin wana fail kusimamia biashara zao wenyewe ama hua hawaanzishi biashara zao

    Because wengi wao they don't know how to run a business in general Kuna watu ambao wako really good at what they do, and have a wealth of knowledge in their field. Na unakuta kiasi kwamba, the company they work for zinamafaniko kwasabab yao na ukute bila wao mambo hayaendi. Lakin sasa kuanzisha...
  7. Optimists

    Ushuhuda: Kuajiriwa ni bora kuliko kujiajiri

    Ndugu yenu wa damu naomba kupingwa na kuelekezwa kwa upole na kwa fact. After graduation mdogo wenu hapa nikapata sehemu ya kujishikiza Mimi ni mwalimu Physics na chemistry nikawa nalipwa 250k -300k huku nikipewa nyumba ya shule na huduma kama chakula cha mchana na asubuhi. Maisha Yale...
  8. tzhosts

    Jinsi ya kujiajiri kupitia wordpress

    Je Umewahi kusikia kuhusu Wordpress? Kama hujawahi basi ni kujuza tu kwamba wordpress ni content management system(CMS) kwa ajili ya website.CMS ni mfumo maalum ambao unamwezesha mtengenezaji wa tovuti kusimamia maudhui ya tovuti yake kwa urahisi.Wordpress ni nzuri sana kwa kusimamia blogs...
  9. CONTROLA

    Namna ya kujiajiri ukafanikiwa kwa haraka (kwa wenye mitaji)

    Biashara ni ni kazi nzuri sana lakini inahitaji akili nyingi sana ili uweze kuifanya kwa mafanikio ukafikia ukaipenda na kuona maisha yako bila biashara nikazi bure,yahitaji ujue kufikiri sana sana kabla hujaianza au kuingia. (Usikurupuke) Leo nataka nitoe siri 1 ya mafanikio ya waliofanikiwa...
  10. YEHODAYA

    Kwanini watoto wa wanasiasa wakubwa Tanzania huwa hawana uwezo wa kujiajiri?

    Ukiangalia Kenya watoto wengi wa wanasiasa wakubwa hujiajiri isipokuwa wachache Mfano tajiri mfanyabiashara mkubwa kenya ni Gideon Moi mtoto wa Raisi wa zamani wa kenya Marehemu Daniel Arap Moi Tanzania ni kinyume mitoto ya viongozi wakubwa wa siasa haina uwezo wa kujiajiri hata uwezo tu wa...
  11. Equation x

    Hii tabia ya kutafuta mwenza na kuweka kipengele kuwa, lazima awe amejiajiri, ameajiriwa au awe ana pesa; katika ulimwengu wa mapenzi ni sawa?

    Kumekuwa na matangazo mengi ya kutafuta wenza/wachumba siku za karibuni kupitia majukwaa mbalimbali. Sifa zinazoainishwa kwa muhitaji, mojawapo ni kipengele cha kazi; atasema anataka mwenza aliyejiajiri au aliyeajiriwa. Kwa mtazamo wangu, katika mazingira hayo, mi naona muhitaji anayetafuta...
  12. B

    Napendekeza sheria itakayoshurutisha watumishi wa umma kufanya kazi miaka 10 pekee kisha wastaafu na kujiajiri

    Wanajukwaa, Naomba kupendekeza ili kupambana na janga la ajira, kuanzia sasa watu wanaoajiriwa katika sekta za umma wafanye kazi for only 10 years then wastaafishwe watumie walichopata kujiajiri. Hii itahakikisha kuwa nguvu mpya kutoka vyuoni inapata nafasi ya kutumikia taifa na kuongeza pia...
  13. Valencia_UPV

    You want to Bamba Uteuzi Vs Kujiajiri?

    Vijana tafuteni connection za kisiasa sijui Mambo ya kujiajiri sijui nn. Utasota sana. Ona Vijana wadogo wanakula maisha kwenye AC
  14. P

    Maoni yangu kuhusu kauli ya Rais kwa Vijana Na Mustakabali wa Ajira na Kujiajiri ujumbe huu uende pia kwa watunga sera.

    Salaam! Kwa Wote. Awali ya yote tuzidi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kutuwezesha kufika 2022 salama, tukiwa tunauanza mwaka tunaendelea kutafakari na kuweka malengo ya kupiga hatua kiuchumi. Vijana wa kitanzania bado wameendelea kukumbwa na changamoto kubwa kwenye sekta ya ajira takwimu...
  15. J

    Kuajiriwa vs kujiajiri

    Mdau mmoja amejiajiri na anaweza kupata sio less than 1m monthly. Wazazi hawaelewi wanataka aombe ajira. Yeye binafsi ndoto yake ni kuniajiri kwa sababu ya ujuzi wake na competence anaamini atacompete katika secta husika. Wazazi wanamuona kama failure maana emetokea katika jamii inayoamini title...
  16. sky soldier

    Kujiajiri ni utumwa zaidi ya kuajiriwa, waliojiajiri wengi wanakosea kujiweka kundi moja na wamiliki wa biashara

    Nimekuwa nikiona sana kuna kukosekana kwa uelewa juu ya utofauti wa mtu aliejiajiri (self employed) na mmilliki wa biashara (cusiness owner) Mtu aliejiajiri ni mtu anaefanya shughuli zake yeye mwenyewe kwa asilimia kubwa ili kuzalisha kipato, mfano ni mangi mwenye duka, mtu mwenye duka anaeuza...
  17. sky soldier

    Tusipotoshane, ajira ina nafuu na uhakika zaidi kuliko kujiajiri

    Kwanza kabisa naomba tuyaelewe haya makundi matatu KUNDI LA KWANZA - ALIEJIAJIRI / SELF EMPLOYED Huyu biashara inamuhitaji ili iende, yeye ndie ngvu kazi kuu ya kuieiendesha biashara kwa bidii yake na hata akiajiri bado yeye inabidi ahusike kwa level ya juu sana ili biashara iende, Wengi wao...
  18. L

    Elimu ya Tanzania chini ya Serikali ya CCM na dhana ya kujiajiri, vinakwepana. Kuna dosari sehemu

    Nianze kwa nukuhu ya Bwn.Lewis Carroll, ambaye alipata kunena kwamba “If you don't know where you are going, any road will get you there”. Kwa maana kwamba kama hujui unakoenda, njia yoyote itakufikisha! Nimeamua kutumia kunuhu hiyo kuiangazia elimu inayotolewa nchini Tanzania kuanzia ngazi ya...
  19. Dr. Zaganza

    KWa Wanaotarajia Kujiajiri tu

    Jifunze kutengeneza sabuni ya kipande ndani ya nusu saa bila kutumia mashine. Jifunze sabuni zaidi ya 10 ikiwemo sabuni ya udongo,ya ukwaju, ya Asali, ya liwa, ya manjano, ya kahawa, ya habat sauda, ya mchele, ya mawingu n.k. Kujifunza kwa whatsapp(video) elf 20.Kujifunza kwa ana kwa ana elf 50...
  20. Ntiyakama

    SoC01 Ajira vs Kujiajiri

    Kwa mujibu wa matokeo ya sensa ya mwaka 2012 asilimia 77% ya watanzania wanaumri chini ya miaka 35 na asilimia 19% kati ya hao wanaumri wa miaka kati ya 15 – 24. Kiasi cha ukosefu wa ajira miongoni mwa vijana hao (wenye umri kati ya mika 15 – 24) ni asilimia 13.4% ambapo hali ni mbaya zaidi...
Back
Top Bottom