kujiajiri

  1. Meneja Wa Makampuni

    Hii ndio sera tunayoitaka Kujiajiri katika fani uliyosomea kwa maendeleo endelevu ya sayansi na teknolojia nchini

    Katika hili lazima tuwe wawazi. Katika taifa hili ili tuweze kupata maendeleo yanayoeleweka duniani. Lazima tujijengee uwezo wa kufanya kazi na biashara zinazo eleweka. Sio kujiajiri kwa kuendesha bodaboda. Jamani hata serikali ina support kujiajiri kwa namna hiyo. Hii ndio sera...
  2. M

    Njia rahisi ya kujiajiri

    Wakuu habari ya saivi? Leo nimekaa nikapata hili wazo. Asilimia 89% ya watu wanatafuta ajira humu ndani ni watu ambao wana proffesional zao nzuri. Mfano : Humu kuna Engineers, Technicians na wahasibu Sasa hivi hawa watu ( Engineer + Technician + accountant) wakiungana si wanaweza wakaunda...
  3. Rebeca 83

    Ni maeneo gani ya kujiajiri?

    Hello JF, Kwanza poleni na msiba(may he RIP) Leo ningependa kujua apart from kilimo ambacho huwa mnasema humu,Je ni maeneo gani mengine ambayo mtu anaweza kujiajiri? Hii itatoa mwanga sio tu kwa watu wanaohangaika na ajira, bali hata wanaounda mfumo wetu wa elimu,iwe kama pointer masomo gani...
  4. E

    Shahada gani ni nzuri kati ya hizi wakuu (Rahisi kujiajiri na kuajiriwa)?

    Habari za leo wakuu, Kuna ndugu yangu anataka kujiunga na Masomo ya shahada (Bachelor). Ana machaguo yafuatayo na anatakiwa kuchagua moja kati ya haya. 1. Bachelor of Commerce 2. Bachelor of Computer Applications 3. Bachelor of Commerce 4. Bachelor of Business Administration Sasa wakuu kati...
  5. Rebeca 83

    Tujaribu dhana ya kujiajiri kupitia kilimo kwa wahitimu wetu

    Hello JF, Msinicheke ila leo nimewaza kwa nini sisi wana JF tusijaribu hii nadharia inayosemwa kila siku watu wajiajiri kupitia kilimo? Najua JF tulishawahi kuwa na kitu kama hiki ila ilikua kwa baadhi ya watu, sijui ilipata changamoto gani? Graduates ni wengi sana. Arable land ni kubwa tu...
  6. Red Giant

    Mhitimu, Serikali ifanye nini ili uweze kujiajiri?

    Hii ishu imesemwa sana lakini naomba nirudie. Serikali yetu imeajiri watu kama laki tano tu usipojumlisha wanajeshi na polisi. Sehemu kubwa ya hao, kama asilimia 50 ni waalimu. Ukiangalia hapo hata serikali ikisema iajiri watu kadri inavyoweza haitaweza kutatua tatizo la ajira. Serikali...
  7. yuda75

    Elimu ya sasa hivi haisaidii mtu kuweza kujiajiri wala haitoi wahitimu wenye sifa stahiki

    Elimu siku hizi ni ile bora ni graduate mjomba atanisaidia nipate kazi. Kwanini nasema hivyo, nimeenda na kuona interview nyingi sana baadhi ya wahitimu wanaokuwa wamemaliza hawana uelewa wa walichosomea kutokana na ile kukaririshwa. Mfano niliwahi sikia chuo fulani lecture fulani akitunga...
  8. J

    Ni zamu ya Dkt. Kigwangalla kufikiria nje ya box maana vijana wanapaswa kujiajiri wasisubiri kuajiriwa!

    Aliyekuwa waziri wa Utalii na Mali asili mara nyingi hupenda kuwaambia vijana wafikiri nje ya box wajiajiri na wasisubiri kuajiriwa na Serikali. Nadhani sasa Kigwangalla ataongea lugha moja na vijana. Maendeleo hayana vyama!
  9. Red Giant

    Mtu akipewa ujuzi huu anaweza kujiajiri Tanzania na hata nje ya nchi kwa ufanisi sana

    Wakuu ajira imekuwa shida sana na inauma kuona mtu akiteseka sababu ya kukosa ajira. Mi nilikuwa na wazo kuwa zianzishwe centre za kufundishana huu ujuzi wa kitaani tulio nao ili mtu akiienda sehemu akaufanye vizuri/ kujiajiri vizuri. Hizi kozi ziwe fupi tu, mwezi mmoja hadi miezi mitatu. Ni...
  10. The Assassin

    Mazingira ya kijana kuajiriwa au kujiajiri Tanzania ni magumu sana

    Mazingira ya kuajiriwa ama kujiajiri Tanzania ni magumu sana. Kwanza, Serikali imehodhi shughuli karibu zote za kiuchumi, leo kandarasi zote za ujenzi wa ofisi za umma inapewa TBA, NHC, Ardhi University au taasisi nyingine za umma. Kwenye ufundi wa vyombo vya moto na elektroniki ni TEMESA...
  11. Infantry Soldier

    Vijana Msijidanganye: Ukiamua kujiajiri ni lazima uwe na nidhamu ya kazi (Self-Discipline) mara kumi (10) zaidi ya ulivyoajiriwa ndio utafanikiwa

    Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums. Ndugu zangu vijana msijidanganye; Ukiamua kujiajiri ni lazima uwe na nidhamu ya kazi (Self-Discipline) mara kumi (10) zaidi ya ulivyoajiriwa ndio utafanikiwa. Nimeamua kutoa ushauri huu kwa maana kwamba, juzi nilikuwa nimepanda daladala ya...
  12. Equation x

    Tujifunze namna ya kujiajiri pamoja na kumiliki kampuni au biashara

    Closed
  13. J

    Nashauri serikali itoe mikopo kwa wahitimu kupitia HESLB

    Habari, Naishauri serikali kupitia bodi ya mikopo HESLB ianze kutoa mikopo kwa wahitimu wa vyuo vya elimu ya juu. mkopo uwe wa fedha taslimu milioni tano 5,000000/=. Mkopo huo utolewe katika vigezo na mazingira yafuatayo: Kabla ya kuhitimu kila mhitimu atatakiwa kubuni wazo la mradi ambao...
  14. OLS

    Hali ya kujiajiri itakuwaje kwa Sheria za Mitandao zilizopo?

    Mmoja kati ya wachumi duniani anasema tupo katika Enzi ya Taarifa ‘Information age’ (O’Connor, 2005) kwa kiasi kikubwa huyu bwana ameonyesha namna ambayo taarifa zinavywaajiri watu. Katika hilo amezungumzia zaidi technolojia na mapinduzi yake tangu mwaka 1946 ilipoanza ENIAC Kwa kiasi kikubwa...
  15. Masokotz

    Kujiajiri VS Kuajiriwa

    Habari za asubuhi; Kama kawaida huwa kuna maamuzi mengi magumu ya kufanya katika maisha,baadhi yake ikiwa ni uamuzi wa ama kujiajiri au kuajiriwa. Uamuzi au uchaguzi huu mara nyingi haufanywi na mtu kwa hiari yake bale husukumwa na circumstance pamoja na fursa.Wengi wa waliojariwa ni kwa sababu...
  16. ChoiceVariable

    Ushauri,kozi ipi ni nzuri kwa kujiajiri na kuajiriwa kati ya hizi hapa?

    Habari wakuu,nishaurini kozi nzuri ya kusomea VETA kati ya zifuatazo au kama kuna nyingine nzuri zaidi mniambie kuna ndugu kaomba nimshauri - Electronics - Leather goods and shoe making - Auto body repair - pre-press and digital making - Heavy duty mechanics - Motor vehicle mechanics -...
  17. CHIPESI NAMISUKU

    Hivi vijana wamekataa kujiajiri?

    Binafsi naelewa hakuna Serikali yoyote duniani ambayo haitaki kuajiri vijana wake Kama fursa zipo. Kwa Tanzania ya Sasa budget zake toka 2016 asilimia nyingi ya fedha zinapelekwa kwenye miradi ya Maendeleo. Ndio maana tunaona miradi mingi mikubwa ikitelelezeka nchini. Tunachopaswa kukifanya Sasa...
  18. Offshore Seamen

    Kozi zenye fursa kubwa ya ajira na kujiajiri katika sekta ya Bahari

    Hizi ni kozi ambazo mtu anaweza akasoma kuanzia ngazi ya Certificate,Diploma, Bachelor au Masters na akawa name fursa kubwa ya kupata kazi nchi yoyote na ni rahisi kujiajiri kwenye sekta ya bahari. 1.Marine Survey Hii kozi ukisoma la kazi zako itakuwa ni kukagua meli kabla haijajengwa, Meli...
  19. zema21

    Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri

    Vijana wanawezeshwa vipi kujiajiri Inafahamika kuwa ukosefu wa ajira ni tatizo si kwa Tanzania tu bali hata kwa nchi zilizoendelea kama Marekani. Kwa hapa Tanzania limekuwa si tatizo bali ni janga kubwa ambalo hakuna anayelitafutia ufumbuzi wala kulitupia macho. Itakumbukwa kuwa siku za nyuma...
  20. J

    Mjapan: Rais Magufuli yuko sahihi, vyuo vikuu duniani kulikoendelea huandaa wahitimu kujiajiri na sio kusubiri ajira ya serikali

    Injinia wa kijapani pale Mwenge amekubaliana na ushauri wa Rais Magufuli kwa vyuo vikuu kwamba Degree zao zilenge kuwaandaa vijana katika kujiajiri na si kusubiri ajira za serikali. Mjapan ameniambia vyuo vikuu katika dunia iliyoendelea huwaandaa vijana katika ubunifu, ujasiri na uthubutu na si...
Back
Top Bottom