Hello JF,
Kwanza poleni na msiba(may he RIP)
Leo ningependa kujua apart from kilimo ambacho huwa mnasema humu,Je ni maeneo gani mengine ambayo mtu anaweza kujiajiri?
Hii itatoa mwanga sio tu kwa watu wanaohangaika na ajira,
bali hata wanaounda mfumo wetu wa elimu,iwe kama pointer masomo gani...