kujifunza

  1. P

    Kwa mwitikio huu hafifu wa wananchi kujiandikisha, Serikali wana la kujifunza!

    Zikiwa zimebaki siku chache kufanyika uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa, ni wananchi wachache sana ambao wamejitokeza kwenda kujiandikisha. Nilipojaribu kuwahamasisha wakajiandikishe, nilisikitishwa na nilichoambiwa. 1. Wananchi wengi miongoni mwa niliowauliza wanatambua umuhimu wa...
  2. MFALME WETU

    Alichokifanya P Diddy iwe Funzo Kwa Vijana Wengine Wapenda Kitonga

    Samaleko.. Binafsi nampongeza P Diddy Kwa alichowafanyia Hawa Vijana Wapenda Kitonga akiwemo Mjomba Nchumali na Wenzake, Kongole sana kwake. Nilienda Vacation Zanzibar ila nilichoona kinafanyika kule Mashambani ni ufirauni mtupu, wanaume wanajiuza Kwa Rangi Nyeupe kuliko hata wadada, So Sad...
  3. T

    Karibu kwa kozi ya lugha ya Kiingereza

    Nachukua fursa hii kukukaribisha wewe utakayekuwa na uhitaji wa Huduma hii aidha wewe mwenyewe au mwanao/wanao. Tunaweza kufanya makubaliano ya kujifunza online (kwa njia ya mtandao) au kwa njia ya KAWAIDA. Zaidi ikiwa kuna wanafunzi wanaosoma masomo Saba (7) O'level (arts pure) kuna huduma...
  4. T

    Kuna darasa tunaweza kujifunza kwa Japan kuelekea 2025

    Napenda siasa napenda democracy japo sidhani kama ni democracy. Napenda siasa yenye mrengo wa kiuchumi na kiusalama wa Taifa. Nimeona mabadiliko ktk serikali ya Japan nikatamani taifa langu lipate Kiongozi mwenye mirengo inafanana na Japan hasa ukizingatia dunia kwa sasa siasa ni usalama wa...
  5. Kommando muuza madafu

    Naomba kujifunza: Je, content creator wananufaikaje?

    Je, wananufaikaje na haya wafanyayo? Je, wanavibalu kisheria kufanya wafanyayo?
  6. MamaSamia2025

    Jitahidi kujifunza kila siku hicho unachokifanya ili hata ukiulizwa unahitaji kusaidiwa nini ili kuikuza usibabaike kujibu

    Kwanza kabisa ninampongeza Waziri wa Kilimo Bashe kwa kuguswa na kijana wa kitanzania anayefanya kilimo cha kitunguu na kutaka kumsaidia. Ubarikiwe sana Bashe. Vijana kama hawa wanahitaji kusaidiwa sana mitaji. Ila nimesikitika kijana kushindwa kujua nahitaji nini hasa ili kilimo chake kipige...
  7. JEJUTz

    Mwanamke ni vizuri pia kujifunza ku-fix baadhi ya vitu hapo nyumbani

    Hii itakusadia pindi ukiwa nyumbani pekee yako ama mahala popote pasipo na msaada pamoja na kuokoa gharama. Siongelei ule ufundi professional hapana.Ni ufundi ambao ni basic kwa ajili ya kuokoa jahazi ili mambo yaende (quick fix). Ni kama kubadili koki ya maji iliyoharibika au umeamka asubuhi...
  8. Pdidy

    HILI JUKWAA ZURI SANA NALIHESHIMU TUPUNGUZE MIZAA MA DK WAZIDI KUTUSAIDIA WAPENDWA M HUWA NASOMA HATA KAMA SINASHIDA KUJIFUNZA ZAIDI

    KWA ALIELIANZISHA NAOMBA KUJUA TUMWEKEE SANAMU WAPI HAPA UNAWEZA KUSAIDIA FAMILIA YAKO KUISHI MIAKA MINGI WAPO WALE WAZEE WA KAVU UKIONAA MAGONJWA YAKE NA MAPICHA PICHA NAKWAMBIA UNAKOMA HAKO KAMCHEZO KWA WATOTO NAONA PIA WANASAIDIKA SANA SANA NA AMUNGU AZIDI KUWABARIKI WOTE KILA LA KHERI
  9. L

    Nchi za Afrika zimehimizwa kujifunza toka kwa China ili ziweze kupata maendeleo ya kasi

    Maendeleo ya kasi ya kiuchumi na kijamii ya China, yamekuwa ni mambo yanayojadiliwa kwa kina na wasomi wengi duniani, ikiwa ni pamoja na wale wa nchi za Afrika. Moja kati ya mambo ya msingi yanayotajwa kuwa ni kiini cha maendeleo hayo ni njia ya China ya kujiletea maendeleo, ambayo wataalam wa...
  10. jikuTech

    Ni kipengele katika safari ya kujifunza TEHAMA ya Juu

  11. Nipher_21st

    Nahitaji kujifunza lugha ya kifaransa online na kupata cheti, sehemu gani sahihi ya kujifunzia?

    Sehemu gani sahihi ya kujifunza Kifaransa na kupata CHETI?
  12. Mrengwa wa kulia

    USA kupeleka kikosi Ukraine Kujifunza vita

    Mzuka umepanda. Sio mbaya kujifunza kwa aliye Fanikiwa. USA 🇺🇸 wamepeleka kikosi hiko ili kupata uzoefu wa kupambana na drone na Electorinical war fare. Zama za kupigana vita Ofisini zimesha wadia The U.S. Army has formed a new unit to learn from Ukraine's experience with drones and...
  13. D

    Ahsante Rais kuwarudisha Palamagamba Kabudi na William Lukuvi: Luhaga Mpina ana la kujifunza

    Ahsante Rais wetu kumteua Kabudi, Kabudi ni miongoni mwa binadamu wenye akili sana, watanzania wenye akili kubwa ni pamoja na Sospeter Muhongo, Kitila Mkumbo, Palagamamba Kabudi, William Lukuvi. Hawana makuu ni watulivu, utapenda wakichangia. Hongera Rais tumefurahi wananchi wako.
  14. S

    Wazazi wenye watoto wa kike, tuna cha kujifunza kwenye matukio ya binti wa SAUT-Mwanza na binti wa Buza?

    Ukizingatia "hype" ya mitandaoni watu wapo "aggressive"kutaka kuona wanaume waliofanya matendo ya kishetani kwa wale mabinti kutaka kuona wanawajibishwa haraka iwezekanavyo,huku mkuu wa mkoa na wale wanajeshi wakiwa nyuma ya nondo wakilia na kusaga meno. 2. Sisi kama wazazi wenye watoto wa...
  15. U

    Ndugu zangu nimeanza kujifunza kuhesabu kwa lugha ya kiarabu, tujifunze pamoja tuache kung'ang'ania kiingereza

    Wadau hamjamboni nyote? Nimeanza jifunza kuhesabu kwa kiarabu Nimeona niwe tofauti na Wakristo wenzangu wanaoamini kuwa kiingereza ndiyo lugha sahihi zaidi kwao kuliko lugha nyingine Kiarabu ni mojawapo ya lugha bora Duniani tena iliyotumika kushushia kitabu kitakatifu Asubuhi ya leo...
  16. THE FIRST BORN

    Simba mnaweza Kujifunza kwa Kilichomkuta Kaizer Chiefs Leo, ila kwakua nyie ni sikio la kufa subirini tarehe 8

    Habari Hongera na weekend! Nianze hivi kilichomkuta Kaizer sio kusema kanunuliwa sio kusema sijui ana udhamini wa GSM ni kapigwa Mpira unaitwa Kosa Kujisahau tu. Kwa wasiojua Kaizer Alienda Pre season nje ya Sauzi na tangu atangazwe NABI alikua hajapoteza huko Pre-Season yani ilikua full dozi...
  17. E-Maestro

    Karibu Kujifunza Kuhusu PMP® Prep Training! - ULIZA SWALI LOLOTE!!

    Habari wanajamii, Nakaribisha wote mlioko tayari kujifunza na kupata ujuzi kuhusu PMP® (Project Management Professional) kupitia PMP® Prep Master Class. PMP® ni nini? PMP® ni cheti cha kitaalamu kinachotolewa na Project Management Institute (PMI). Ni cheti kinachotambulika duniani kote na...
  18. D

    Wadau tujadili na kujifunza, ni kweli wanawake wa Kingoni wana hulka ya umalaya hata kama ni msomi?

    Wanabodi, najua humu kuna wajuzi wengi sana kwa heshima ya JamiiForums. Kuna jamaa yangu (si Mngoni) lakini alikuwa na demu wa Kingoni tena daktari kitaaluma lakini akiwa amevuka kidogo umri wa kuolewa yani over 31 years of age. Kwa madai ya huyu bwana (nihifadhi jina lake kwa hadhi ya umma)...
  19. B

    Pamoja na Kwamba Donald Trump Ni Mpinzani, aliyempiga Risasi alipatikana Muda huo huo na Amani ikarejea, Africa na Tanzania tunalo la kujifunza?

    Tukio la jaribio la kumuua Aliyekuwa Rais Wa Zamani wa Marekani na Mgombe wa Kiti Cha Urais Mh Donald Trump limeibua taharuki na sura mpya ktk siasa za Marekani. Hata hivyo kama Nchi na Kama Afrika tunalo la kujifunza kwamba Aina yoyote ya uharifu bila kujari anayefanyiwa ni nani tunapaswa kuwa...
  20. and 300

    Baada ya Korea, wasanii wapelekwe Uturuki kujifunza zaidi

    Baada ya wasanii kutoka Korea Kusini walipoenda kimafunzo, inafaa waunganishs kwenda Uturuki kujifunza zaidi kutoka Kwa Watengenezaji filamu duniani
Back
Top Bottom