Bila Salamu.
Wanabodi ninathibisha kwamba bila uwepo wa DINI ya kikristo na kiislamu basi nawahakikishia Wanaume wengi wangekufa kabla ya muda wao.
Wanawake wengi hawana huruma kwa Mwanaume namaanisha wengi na ninaposema wengi naomba nieleweke namaanisha wengi. Yaani kwenye Wanawake 10...
Mifugo plus Tunauza vichanja vya kufugia kuku wa mayai,kuku wa nyama pamoja na za kulelea vifaranga.
■BEI ZA CAGE'S/VIZIMBA
■KUKU 96 BEI 650,000/=TSH.
■KUKU 128 BEI 850,000/=TSH.
■VIFARANGA 400 BEI 550,000/=TSH.
■KUKU WA NYAMA 120 BEI 950,000/=TSH.
MAWASILIANO
#0656446991
#0774608608...
Baada ya kukutana na vidamu kwenye kuku wa KFC na bado bei kubwa mno nikaona msela sishindwi kitu nikaingia jikoni matokea hayo hapo mzigo upo safi kabisa
Asilimia kubwa ya kuku wa mahotelini wengi wao huchinjwa na wanawake aidha kunyongwa shingo au kutiwa kwenye maji moto wakiwa hai ambapo baadaye hukatwa vichwa au kushikwa mwili na kichwa Maria au Grace akachinja bila wasiwasi.
Maana kwa kuwa watu ni wabishi, fanyeni utafiti. Kwa wale wafia...
Nachojua mzungu ana hela nyingi na kama ni kula daima anapendelea kula vilivyo bora sijajua kwa maendeleo tulionayo hapa duniani kiasi cha kuanza kufuga broiler wa biashara na wanaliwa kwelikweli.
Nachojua hii teckonolojia ni ya kwao mataifa yaliyoendelea sasa swali ni je na wao wanawatafuna...
Habari za majukumu wanajamvi,
Naomba kuuliza kwa mtaji wa laki sita nifuge kuku gani kati ya hao sasso au broiler nalenga kufuga kibiashara n.b banda tayari ninalo na vyombo vya chakula na maji ninavyo pia.napatikana mwanza .
Nawasilisha naomba mawazo yenu wanajamvi natumai nitapata muongozo...
Katika Jiji la Dar es Salaam ambalo kwa mujibu wa Sensa ya Watu na Makazi wapo wakazi zaidi ya Milioni sita, shughuli mbalimbali za kibiashara zimekuwa zikifanyika kama sehemu ya Watu kujipatia kipato.
Hata hivyo, miongoni mwa biashara ambazo zimekuwa zikifanyika nyingine uibua wasiwasi na...
Hello wakulungwa
Naombeni abcde..z kuhusu kuku wa mayai aina ya layers
Nataka kufuga kuku 1000 layers
Kampuni Interchic.
Hadi waanze kutaga maximum nitakua nimetumia kiasi gani kwenye chakula n madawa (starter grower finisher nk)
Changamoto zake nk
Nb: nafuga wa nyama nina uzoefu na hao
Habari ya leo wakuu,
Ninauza dagaa kwaajili ya chakula ya kuku.
Mawasiliano: +255679903535
Napatikana Dar es Salaam
Bei:
Ndoo ndogo 15,000.
Ndoo kubwa 30,000.
Nafikiri hata sponsor wao ajitafakari misaada anayowapa Kama inafikia lengo, unalengaje Banda la kuku
Wakati adui wako anaua viongozi wa rank za juu Kila siku.
Hadi second commander KUTOKA kwa first commender anayeongeaga kwa tahadhari akiwa zake shimoni Kama kuku aliona mwewe 😀😀😀
Aug 26th, 024
Dar es Salaam, Tanzania
Saa 5:27 asubuhi
-------------------------------
Habarini madada, makaka, na wazee wenzangu!
Leo nivunje ukimya niongelee suala nyeti kidogo.
Umewahi kusaidiwa katika point ya maisha yako, na aliyekusaidia akataka uwe mtumwa wake?
Hiki kitu ni kansa...
Naombeni msaada kwa anayejua wapi nitapata machimbo ya chakula cha kuku chotara, kama uduvi, mahindi paraza, mashudu, pumba za mahindi nk kwa bei rahisi mkoani RUVUMA HASA KWA WILAYA YA MBINGA??
Kwa mahitaji ya kuku wa kufuga na kula,kienyeji na chotara nitafute,ukihitaji vifaranga na mayai ya kutotolesha tafadhali usisite kunitafuta,karibuni sana wakuu.
Ujue ukimtongoza Mwanamke halafu akishasema NDIO ama AMEKUBALI huwa ghafla unajiona huna cha kumwambia😀😀 yani maneno yote yanaisha kwa muda.
Hii Anawaambia ya mwisho sirudii tena, Ukishamtongoza akasema amekubali kuwa na wewe hapo cha kufanya ni kumwambia Weekend naomba tuonane, Usimwambie lini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.